South 2-1 Mexico🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
🌍 Waandaaji
Mashindano yataandaliwa kwa pamoja na:
United States
Canada
Mexico
Hii ni mara ya kwanza World Cup kuandaliwa na nchi tatu kwa pamoja.
👥 Idadi ya Timu
Timu 48 zitashiriki (badala ya 32).
Jumla ya mechi zitakuwa 104.
Hii ndiyo World Cup kubwa zaidi kuwahi kufanyika.
⚽ Mechi ya Ufunguzi
View attachment 3586820
Mechi ya ufunguzi itachezwa katika Estadio Azteca, Mexico City.
Uwanja huu utaweka historia kwa kuwa wa kwanza kuandaa mechi za ufunguzi za World Cup mara tatu (1970, 1986 na 2026).
🏟️ Fainali
Fainali itachezwa tarehe 19 Julai 2026 katika Uwanja MetLife Stadium, New York City.
Thread Hii Itahusu
Ratiba na viwanja
●Timu zilizofuzu●Takwimu na historia●Habari muhimu za mashindano●Mjadala wa kila hatua hadi fainaliHii Hapa Ratiba ya Group Stage.Inaanza Tarehe 11.06.2026 hadi Tarehe 27.06.2026...Karibu kwenye special thread ya FIFA World Cup 2026 Finals! 🌍🏆
France lazima anyanyue 🏆Hili kombe linarudi tena amerika
Wanaiheshimisha sana Africa hawa viumbe!Goalkeepers
- Édouard Mendy – Al-Ahli (Saudi Pro League)
- Mory Diaw – Le Havre (France)
- Yehvann Diouf – OGC Nice (France)
Defenders
- Krépin Diatta – AS Monaco (France)
- Antoine Mendy – OGC Nice (France)
- Kalidou Koulibaly (Captain) – Al-Hilal (Saudi Pro League)
- El Hadji Malick Diouf – West Ham United (England)
- Mamadou Sarr – Chelsea (England)
- Moussa Niakhaté – Lyon (France)
- Moustapha Mbow – Paris FC (France)
- Abdoulaye Seck – Maccabi Haifa (Israel)
- Ismaïl Jakobs – Galatasaray (Turkey)
- Ilay Camara – Anderlecht (Belgium)
Midfielders
- Idrissa Gana Gueye – Everton (England)
- Pape Gueye – Villarreal (Spain)
- Lamine Camara – AS Monaco (France)
- Habib Diarra – Sunderland (England)
- Pathé Ciss – Rayo Vallecano (Spain)
- Pape Matar Sarr – Tottenham Hotspur (England)
- Bara Sapoko Ndiaye – Bayern Munich (Germany)
Forwards
- Sadio Mané – Al-Nassr (Saudi Pro League)
- Ismaïla Sarr – Crystal Palace (England)
- Iliman Ndiaye – Everton (England)
- Assane Diao – Como (Italy)
- Ibrahim Mbaye – PSG (France)
- Nicolas Jackson – Bayern Munich (Germany)
- Bamba Dieng – Lorient (France)
- Chérif Ndiaye – Samsunspor (Turkey)
Historia inaweza kujirudia yaliyomkuta France 2002Mh France katika kundi lake hakuna wa kumtoa hapo labda kama akiwa amefikisha alama sita na mchezo mmoja mkononi anaweza gawa sare au ushindi kwa taifa la mwisho katika game