Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,823
- 7,434
England wanakikosi kizuri msimu huuHawa hawavuki 16
England wanakikosi kizuri msimu huuHawa hawavuki 16
England wanakikosi kizuri msimu huuHawa hawavuki 16
No wonder wanaishia robo fainali
Hawa makinda hawa wana balaaNo Foden no Palmer
Hii world cup ya mwaka huu inazinduliwa na wahuni wawiliSiku zinayoyoma...
Fungua dimba,
Mexico vs South Africa
Itakua game yenye magoli machache au ikasare tuHii world cup ya mwaka huu inazinduliwa na wahuni wawili
Haya mataifa mawili kwa crime issues ni hatari sana ngoja tuone uwanjani wanakitu gan
Ila hawana team ni kama brazil tuuEngland wanakikosi kizuri msimu huu
Brazili naona game pekee atayoshinda ni ile anayocheza na haiti ila game yake na Morocco itakua ngumuIla hawana team ni kama brazil tuu
Kumuacha Trent Alexander Anold wamechemshaView attachment 3592856
Hili hapa Chama Langu!!
England wataweza kufika mbaliIla hawana team ni kama brazil tuu
Hata mimi naona hivo hivo na kuna uwezekano mkubwa akafungwaBrazili naona game pekee atayoshinda ni ile anayocheza na haiti ila game yake na Morocco itakua ngumu
England wataweza kufika mbali
Kwasasa wanamtegemea raphina na vinicious huyu neyma ashakua mlamba lips ashakua majeruhi ata game ya kwanza badoHata mimi naona hivo hivo na kuna uwezekano mkubwa akafungwa
Kuna kitu nime notice kwa raphinha akiwa brazil perfomance inakua chini, nafikiri amekosa watu sahihiKwasasa wanamtegemea raphina na vinicious huyu neyma ashakua mlamba lips ashakua majeruhi ata game ya kwanza bado
Kuna muda ukifika kila kizuri kinakua kibaya ata argentina pia na Portugal baada ya Ronaldo na messi kustaafu zitashuka kisokaKuna kitu nime notice kwa raphinha akiwa brazil perfomance inakua chini, nafikiri amekosa watu sahihi