Hili litimu sijui mfumo gani utatumika ili kuwatumia wachezaji super na sisi wapenzi tupate burudani tunayostahili...
Hadi Cape Verde nchi ya watu 529,600 tu inashiriki kombe la dunia huku Tanzania nchi ya watu milioni 70 ikibaki kuishangilia Cape Verde kwenye runinga 😰😰😰Spain vs Cape Verde
Kwetu itakuwa saa moja jioni...hii poa sana
CHAWAinawezekana gentleman, halafu kumbe sijaimention Hispania, dah!