Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,863
- 14,346
Kumbe Morocco inapatikana bara gani?Morroco sio waafrika , Africa ni bara la giza na hakuna team yoyote ya Africa itafika mbali
Uafrika sio rangi bali ni bara mkuu. Ndio maana hata marekani kuna black wengi tu lakini wanaitwa wamarekani weusi na sio waafrika.
Ukisema Wamoroko sio waafrika inamaana utasema wamisri, Tunisia, Algeria na nchi zingine za northern africa sio waafrika