✅️Congo Dr
✅️✅️german
✅️agentina
😂😂😂😂 fakeni kabisa wewesie tupo mkunduni mwa dunia
Sasa sii ndio ukweli jamani🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 fakeni kabisa wewe
Ni aibu na huzuniSasa sii ndio ukweli jamani🤣🤣🤣🤣
Wee ona mambo wanayofanya wenzetu linganisha na upuuzi wetu ...sii takataka kabisa
Hata sisi inatakiwa tuungane na Wanaija tuwatimue wakina Maemaooh!! naona hii kampeni Naija wanaipush sana
Hawa jamaa hawatutaki sisi waafrika wenzao wanatutimua kule kwao ili hali wasauzi wengine wanakula maisha kwenye mataifa mbalimbali ya afrikaMmeshaanza u aguzi wakuuu....tushabikke timu za aftica au wee humpendi mdau
Brazili wanashida Gani Tena muwasagie kunguni hivyo?? Kwa Marekani ya Trump it's okay.. labda muongezee na South Africa watoke mapema kwenye makundi tu warudi kwao waungane na wenzao kwenye maandamano ya kupinga wahamiaji wa kiafrika, plus na nchi za kiafrika za kiarabu kdgo Misri ya Mohamed Salah...Tena watolewe mapema tu pamoja na marekani.
Kumbe na wewe ndo walewale mkuu, yule refarii anaenda kufanya tu temporary job na kurud na unaambiwa ana valid visa.. na fifa still hawakwepi lawama, coz km wangeshindwa kbs basi wangebadili ratiba za mechi zake achezeshee mexico na Canada na sio ku give up kabisa inatoa taswira mbaya kisokaAta ingukuwa mie siruhusu msomali nda i ya nchi yangu.
Usa hana kosa mwenye kosa fifa