2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kweli wenzetu mpira upo kwenye DNA

Haishangazi kuwaza kwanini Mugabe alikuwa tayari kupeleka mabinti wa nchi yake Brazil ili wakapewe mimba warudi Afrika wazae watoto ili kizazi kijacho kuwe na vipaji kama Brazil

Lakini hapa ni kama mzee aliwaza kwa kuangalia angle moja. Aliona nafasi ya mwanaume kurithisha vinasaba kwa mtoto.

Hakuwaza maybe ingewezekana pia mtoto angechukua tabia za mama badala ya kuwa mchezaji mpira kama alivyotarajia, mtoto angekuja kuwa mwizi?
 
Kweli wenzetu mpira upo kwenye DNA

Haishangazi kuwaza kwanini Mugabe alikuwa tayari kupeleka mabinti wa nchi yake Brazil ili wakapewe mimba warudi Afrika wazae watoto ili kizazi kijacho kuwe na vipaji kama Brazil

Lakini hapa ni kama mzee aliwaza kwa kuangalia angle moja. Aliona nafasi ya mwanaume kurithisha vinasaba kwa mtoto.

Hakuwaza maybe ingewezekana pia mtoto angechukua tabia za mama badala ya kuwa mchezaji mpira kama alivyotarajia, mtoto angekuja kuwa mwizi?
😅
 
Back
Top Bottom