Wakuu jana raphinha katunyima brazil ushindi maana yeye ndio alikuwa weak link.
Alafu hawa morocco nilishajua jinsi ya kucheza nao. Kwanza kabisa walazimishe bono apige mipira mirefu kama sio yeye mpira uende kwa yule beki black naee akipiga mipira mingi fyongo. Kipindinchapi brazil walivyofanya hivyo morocco momentum ilikata.
Pili morocco wakipata mpira wa kugombani wanampelekea diaz...huyu unakaanae benet kabisa usimpe nafasi kabisaaa.
Tatu jamaa wakipiga mpira mrefu wakiwa wanatoka hawakabi...chance kama tatu ata goli la brazili limetokana na situation kama hii.
Ila don carlo kwa kweli raphinha kumaliza mechi kazingua ukizingatia hawa majaa wana analysts hapo wana mitambo unashindwaje kuona kuwa jamaa mipira ya 50 50 anapogeza pass anapogeza defending poor. Hili bwana don carlo inabidi awakaripie analyst na assistants wake na pia yeye mwenyewe arudi kwa mtengene,a miwani yake amrekebishie
Alafu hawa morocco nilishajua jinsi ya kucheza nao. Kwanza kabisa walazimishe bono apige mipira mirefu kama sio yeye mpira uende kwa yule beki black naee akipiga mipira mingi fyongo. Kipindinchapi brazil walivyofanya hivyo morocco momentum ilikata.
Pili morocco wakipata mpira wa kugombani wanampelekea diaz...huyu unakaanae benet kabisa usimpe nafasi kabisaaa.
Tatu jamaa wakipiga mpira mrefu wakiwa wanatoka hawakabi...chance kama tatu ata goli la brazili limetokana na situation kama hii.
Ila don carlo kwa kweli raphinha kumaliza mechi kazingua ukizingatia hawa majaa wana analysts hapo wana mitambo unashindwaje kuona kuwa jamaa mipira ya 50 50 anapogeza pass anapogeza defending poor. Hili bwana don carlo inabidi awakaripie analyst na assistants wake na pia yeye mwenyewe arudi kwa mtengene,a miwani yake amrekebishie