2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kweli wenzetu mpira upo kwenye DNA

Haishangazi kuwaza kwanini Mugabe alikuwa tayari kupeleka mabinti wa nchi yake Brazil ili wakapewe mimba warudi Afrika wazae watoto ili kizazi kijacho kuwe na vipaji kama Brazil

Lakini hapa ni kama mzee aliwaza kwa kuangalia angle moja. Aliona nafasi ya mwanaume kurithisha vinasaba kwa mtoto.

Hakuwaza maybe ingewezekana pia mtoto angechukua tabia za mama badala ya kuwa mchezaji mpira kama alivyotarajia, mtoto angekuja kuwa mwizi?
Ni mojawapo ya madhara ya kuona faida pekee bila kuangalia hasara.
 
Sio Vinni tu Hawa Brazil mpira hamna kabisa, wanacheza mpira wa kizamani sana.
Anceloti hana mbinu yoyote na mpira wake wa mbio ngoja huko mbeleni wakutane na madogo janja Spain uone watakavyopigiwa ball.
Spain mnawa hype sana wazee yani sijui kwakuwa yupo Lamine au nini ila ngoja mi nitakuwa na hate watch siku hiyo
 
Mvivu sana hapendi kupress ila Morocco nao wazuri.
Kalivyo poteza pasi kakaingiwa wazimu kakaanza heka heka za kujibidiisha ili ku retrieve mpira lakini wapi.

Ubinafsi unekajaa sana. Nataka nione namna Morinho ataweza kui fix hii tabia pale Bernabeu
 
Hatimaye nimetoboa buana. Nimeangalia hadi mwisho. Sasa nikalale masaa mawili ili nikasinzie vizuri kazini... kazi zingine jau, hamna cha jumamosi wala jumapili 😂😂
Kuna haja ya Kubadilisha aina ya kazi mkuu, maana 😀😀😀😀😀.
 
Kalivyo poteza pasi kakaingiwa wazimu kakaanza heka heka za kujibidiisha ili ku retrieve mpira lakini wapi.

Ubinafsi unekajaa sana. Nataka nione namna Morinho ataweza kui fix hii tabia pale Bernabeu

Mou atawanyooosha. Niliposikia tu Mou anakuja nikasema mchezo umeisha. Mou's ego is bigger than vini and mbappe combined.
 
Spain mnawa hype sana wazee yani sijui kwakuwa yupo Lamine au nini ila ngoja mi nitakuwa na hate watch siku hiyo
Sio Yamal mkuu ni mpira wanaopiga zile pass ukichanganya na makeke ya Yamal ndo kabisa na huku pembeni umkute olmo ni 🔥.Nakumbuka EURO sikuangalia sana niliangalia Ile game yao vs Germany tena dakika ya 90 ball lililokuwa linapigwq mule ni kama orgasm 😄
Hapo hapo nikatoa nikamwambia mshikaji ili Spain wanabeba kama unabisha weka mzigo asipobeba Spain chukua hela , hela niliichukua
 
Back
Top Bottom