2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Bado mapema sana, kumbuka Argentina 2022, mechi ya kwanza walifungwa na Saudi arabia
Hata spain 2010 opening game alifungwa na switzerland the rest games akashinda akachukua world cup, hapa tunazungumzia spain ambayo 2008 ilichukua euro,2010 world cup, 2012 ikachukua euro tena,
Argentina naye amechukua copa america, akaja world cup, akaja chukua copa america tena. Tofauti na brazil ambayo imekua na form mbaya kwa muda mrefu sana.
 
Hata spain 2010 opening game alifungwa na Chile the rest games akashinda akachukua ubingwa, ika brazil ya sasa ni mbovu mnooo
Mkuu,Spain alifungwa na Switzerland Kwenye opening match ya Group H
Hiyo mechi nakumbuka Spain walidominate game kwa 72% Ball possession.
 
1000801142.jpg
 
Back
Top Bottom