Mie nipo kumcheki don carloHiyo Brazil mnayoishobokea mwisho WA siku inakuwaga miyeyusho, Brazil ya sasa sio ya zamani
Mie nipo kumcheki don carloHiyo Brazil mnayoishobokea mwisho WA siku inakuwaga miyeyusho, Brazil ya sasa sio ya zamani
Utam wa mechi ya leo ni kwamba timu zote mbili wanategemea mashambulizi toke flanks zao so hapo utamu ndio ulipokuwepoMie nipo kumcheki don carlo
Brazili wanashida Gani Tena muwasagie kunguni hivyo?? Kwa Marekani ya Trump it's okay.. labda muongezee na South Africa watoke mapema kwenye makundi tu warudi kwao waungane na wenzao kwenye maandamano ya kupinga wahamiaji wa kiafrika, plus na nchi za kiafrika za kiarabu kdgo Misri ya Mohamed Salah...
So Leo ufunguzi, I bet, Mexico2-1...
Na yule refarii wa kisomali aliezuiliwa kuingia Marekani, kala shavu Mechi UEFA Super cup na nadhani itakuwa historia mechi chini UEFA kuchezeshwa na Muafrika.
scottland,TurkeyLigi yetu hovyo sana
Hawapiti group stageEnzi za kina shilavet... Mweee jana hamna kitu yaani ingewezekana unabadili backline yoteee!!
Wee magoli mawili mnafungwa kwa mpira wa kupenyezwa unasafiri zaidi ya mita 40....mabeki hawapo serious kabisa.
Ila yule forward wao namba 19 mgongoni angalau anajituma . Yule dogo alikuwa newcastle, amoron jana sijui walimnywesha juice ya utopwinyoz 🤣🤣🤣🤣
Kalepwetaaaa kukaba hakabi mpira akiwa nao anajirusha tuu.
Kumbe ligi ya bongo haijaisha? Mimi nlikua sijui maana siifuatiliiWakuu leo tv zetu zitaungua maana ni mechi baada ya mechi. Mbeya city, yanga, singida , qatar, brazil duh balaaa hili
Saved this post....Hiyo Brazil mnayoishobokea mwisho WA siku inakuwaga miyeyusho, Brazil ya sasa sio ya zamani
Leo huenda Morocco wakaishangaza dunia ya wapenda soka...Hiyo Brazil mnayoishobokea mwisho WA siku inakuwaga miyeyusho, Brazil ya sasa sio ya zamani
Link saizi ni nyingi zama YouTubeNaomba ambaye ana app inayoweza kuangalia mpira kupitia simu naomba anotajie.
Mishale ya saa saba usikuMie nipo kumcheki don carlo
Hii unapata play store?Wala hakuna haja ya kwenda Youtube.
Kuna Fawanews.sc hapo mambo ni mukide kabisa.
Sema link kucheki games kupitia links ni zinakuwa late sana mpaka dakika na nusu hadi mbiliWala hakuna haja ya kwenda Youtube.
Kuna Fawanews.sc hapo mambo ni mukide kabisa.
Tunakesha mkuuuMishale ya saa saba usiku
Utopwinyoz leo amemla kichwa julio huko mwisho wa reliKumbe ligi ya bongo haijaisha? Mimi nlikua sijui maana siifuatilii
Nashangaa wanavyosema ya 5 kwa uboraLigi yetu hovyo sana