Miaka ya zamani ukisikia mtu amepata division one ni heshima kubwa sana kwake kuanzia shuleni mpaka mtaani anapoishi, ukipata one ya Saba kwa O-Level au ya 3 Advance basi mkoa mzima utapewa heshima yako na kuna uwezekano ukatafutwa.
Maisha siku hizi yamebadilika, hata ukipata one ya single digit (7-9) kwa O-Level au 3-5 kwa Advance hakuna atakayeshangaa maana ni kawaida sana na utakuta darasani kwenu wenye hizo one mpo zaidi ya 30.
Siku hizi watu watakushangaa ukikosa one utaonekana kiazi ajabu,ukipata division 2 hata ya 10 unaonekana umefeli.
Elimu ilikuwa zamani siku hizi kanya boya tu.
Maisha siku hizi yamebadilika, hata ukipata one ya single digit (7-9) kwa O-Level au 3-5 kwa Advance hakuna atakayeshangaa maana ni kawaida sana na utakuta darasani kwenu wenye hizo one mpo zaidi ya 30.
Siku hizi watu watakushangaa ukikosa one utaonekana kiazi ajabu,ukipata division 2 hata ya 10 unaonekana umefeli.
Elimu ilikuwa zamani siku hizi kanya boya tu.