2012 sijawahi kucheka zaidi ya hivi

2012 sijawahi kucheka zaidi ya hivi

Sasa hii ndiyo problem haswaaa! Kwenye fani zinazohusu sana "imaginations", kama uigizaji; mtu mmoja hawezi kusimamia vitu vingi na product ikawa nzuri. Never!!
 
Lakini hata hivyo nadhani kwa filamu na muziki Bongo tupo juu kwa Africa mashariki na kati jamani. Muziki wa Bongo mzuri na waigizaji wetu ni wazuri, tukifanyia kazi comment zenu zooooote tutapiga hatua sana. Tunaweza wafikia Nigeria na Ghana.
 
lazima utaskia ngoja nioshe vyombo au ngoja nilale..... yaani anaelezea jinsi ananyoigiza badala afanye matendo ndipo watazamaji tuelewe nini kinachoendelea
 
rahisi sana kwenye subtittle unakuta badala ya kumuandika baba mdogo kama uncle wao wanaandika small father..
 
rahisi sana kwenye subtittle unakuta badala ya kumuandika baba mdogo kama uncle wao wanaandika small father..

Dah. This is hilarious. Hivi zile subtitles hazina mhariri mwenye ujuzi wa Kiingereza?
 
Ukiona subtitles ni za Kiingereza kibovu kupita kiasi basi ujue hiyo ni filamu ya Kibongo.
 
Wana-extend-ije vitendo? Kuna movie niliwahi kuiona, wahusika walikuwa wanashuka mlimani, walishuka karibu dakika ishirini nzima bila hata action nyingine yeyote...yaani wanashukaaaaaaa weeeeee..........
 
Sm are talkin very slow just 2kill time.. Movie iende iende watengeneze pt 2

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Utawasikia.
Jambazi: you am going 2 shoot u now
Jamaa: why du u want 2shoot mi wat did I du?
Jambazi: I shoot u paa paa (risasi)
Jamaa: aah aah u 've shot mi now I die

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom