Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 2,507
- 7,630
Ndio huwezi kuamini hata iwejeMkuu hata wewe pia ni wale watu wa kusoma au kusikia jambo na kulimeza kama lilivo ila ku deep down no..
Basi fanya kuuliza hata kwa chatgpt ili uje kutuelezea sisi vizuri na clear.
Kitendo cha kusema ukifungwa unaweza kutoka au unaweza scan mtu.. kwa maelezo hayo kweli inaingia akilini.
Na kama upo chapter 18 je uwezi kwenda kwa sammary kumueleza huyu aliyopo chapter 7...
Unasema mpaka u experience oky sasa unazani nani atakuamini kitu ambacho ume experience na kushindwa kuelezea