zanzibar

  1. Zanzibar kuja na sheria ya adhabu za papo kwa papo kwa madereva ili kupunguza ajali za barabarani

    SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inakusudia kutunga Sheria ya Adhabu ‘’papo kwa papo’’ ili kudhibiti ajali, ambazo zimekuwa zikisababisha vifo vya wananchi wengi wa Zanzibar. Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Mustafa Aboud Jumbe wakati...
  2. Daraja la Dar es salaam to zanzibar .

    Hapa ni muonekano baada ya kukamilika litakavyokuwa nimechanya maneno ya kuambiwa na wanasiasa,ubunifu Wa injinia mfugale na akili zangu nikapata kitu kama hicho samani lakini kama nimekukwaza mpinzani Wa jiwe!!!!
  3. F

    Zanzibar ilitoa msaada wa chakula kwa Uingereza

  4. D

    Chaguzi za Zanzibar na Wabara

    Moja ya tatizo kubwa kwenye chaguzi za Zanzibar ni Wabara kuingizwa na CCM katika kupiga kura za kuchagua Rais wa Zanzibar pamoja na wawakilishi katika baraza la wawakilishi. Hili ni kinyume na taratibu kwani Wabara wanaoishi Zanzibar wanatakiwa wapige kura ya kuchagua Mbunge pamoja kumchagua...
  5. Thamani ya kura yangu Tanzania na Zanzibar haipo tena ?

    Mimi kama mzanzibari niliyeshiriki chaguzi kadhaa hapa Zanzibar za kuchagua viongozi wa nchi. Lakini mwaka 2015 umenivunja moyo kabisa baada ya kuona kura yangu ikipeperuka bila kujaliwa shida iliyonipata kwa kutumia muda wangu mwingi kujiandikisha,kuhakikiwa taarifa zanzzgu na mwisho kujipanga...
  6. J

    Balozi Seif: Zanzibar ndio inayonufaika zaidi na Muungano wa Tanzania

    Akihojiwa na mtangazaji Marin Hassan wa TBC, makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Seif amewataka watanzania kwa umoja wao kuulinda muungano kwa nguvu zote kwani umeleta Heri. Balazi Seif amesema Muungano huu unawanufaisha zaidi wazanzibar kuliko watanganyika hivyo atashangaa sana kusikia...
  7. M

    Mapokezi ya timu ya Taifa ya soka ya Zanzibar na Siasa za Tanzania

    Baada ya mapokezi ya Bombadier majuzi kule Mwanza, upande wa pili, Rais wa Zanzibar Dk Shein aliwaalika Ikulu wachezaji wa Timu ya Taifa ya Soka kwenda kula nao chakula na isitoshe akawapa na zawadi Fedha, kwa kazi nzuri waliofanya kule Kampala katika mashindano ya CECAFA!Katka hali ya kawaida...
  8. J

    Dr Shein: Tunaandaa rasimu ya kuwatambua Watanzania wanaoishi nje kisheria, tutajenga Daraja la Zanzibar - Bara

    Rais wa Zanzibar Mh Dr Shein amesema kabla hajamaliza muhula wake wa uongozi atahakikisha sheria ya kuwatambua Wazanzibari (Watanzania wanaoishi nje ya nchi inakuwepo). Pia Msemaji wa Zanzibar amesema mipango ya kujenga daraja la kuiunganisha Zanzibar na Tanzania bara imekamilika na taratibu za...
  9. M

    Hivi ni nini mantiki ya Zanzibar kushiriki mashidano ya vilabu ya Afrika na si timu ya taifa?

    Wadau hili suala huwa linanitatanisha sana! Hivi inakuwaje Zanzibar inashiriki mashindano ya Vilabu ya CAF ilihali sio mwanachama, na ndiyo linapokuja suala la Timu ya Taifa inayotambuliwa ni ya Tanzania (URT) Au kwenye vilabu Zanzibar hushiriki kama mwalikwa wa kudumu?
  10. Jina Tanganyika kwanini linaogopwa kutumika kuelezea upande wa Bara?

    Inapokea kuna suala LA kuitambulisha Zanzibar nje ya muungano tunatumia jina la Zanzibar, lakin ikiwa suala hilo linaihusu Tanganyika Basi wanakwepa na kutumia jina la muungano yaan Tanzania bara so Tanganyika.kwa ninibbasi NATO Zanzibar isitumie Tanzania visiwani. Mfano mashindano ya Moira...
  11. M

    Daraja la Zanzibar - Dar linakuja

    KWA MAGUFULI KILA JIWE LITAPINDULIWA. Daraja hili muhimu kwa uchumi wa Tanzania Bara na Visiwani ni kati ya malengo na ndoto kubwa alizonazo mkuu wetu wa nchi mheshimiwa rais Magufuli kabla ya kukabidhi madaraka mwaka 2025. Namuombea rais wetu afikie malengo haya ambayo watanzania wengi...
  12. J

    Maridhiano ya kisiasa huishia kwa kugawana vyeo na si kuleta maelewano ya wananchi mfano ni Zanzibar na Kenya

    Wananchi wanaouliza Chadema wanataka maridhiano ya kitu gani wana hoja ya msingi sana kwa sababu anayeombwa maridhiano ni serikali. Ile ilikuwa ni sherehe ya serikali ndipo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akasema wao wako tayari kwa maridhiano na kumwomba Rais na Amiri jeshi mkuu...
  13. Kwanini Zanzibar wanaadhimisha mapinduzi badala ya uhuru walioupata tarehe kama ya leo miaka 56 iliyopita?

    Kiini macho na kihoja kuliko vyote ndani ya nchi ya Zanzibar ni kuwa miaka 56 iliyopita tarehe kama ya leo walipata uhuru wao kutoka kwa mkoloni Muingereza. Sijui ni kutokana na mila walizowekewa na yule anayeandaliwa kuwa mwenye heri ila hawajawahi kuadhimisha siku hii. Mwezi mmoja baadaye ASP...
  14. Nafasi za kazi, Driver/Logistics Assistant, Unguja Zanzibar

    ROLE TITLE: Driver/Logistics Assistant TEAM/PROGRAMME: Program Implementation LOCATION: Zanzibar (Unguja) (2) GRADE: 6 TYPE OF CONTRACT: National CHILD SAFEGUARDING: Level 3 – the responsibilities of the post may require the post holder to have regular contact with or access to children or young...
  15. J

    Tumeshahama sasa tujikite kwenye ndoto ya Nyerere ya kuwa na serikali moja kwani Dodoma ni katikati ya Kagera na Zanzibar

    Baada ya Rais wetu mpendwa Dk. Magufuli kutimiza ndoto ya baba wa taifa ya kuhamia Dodoma ni wakati sasa wa kufikiria ndoto ya pili ya Mwalimu Nyerere ya kuwa na muungano wa serikali moja. Dodoma ni katikati ya ramani ya muungano wetu hivyo serikali kuhamia katika jiji hilo ni ishara nzuri ya...
  16. K

    Kauli za Maalim Seif zazua jambo Zanzibar

    Akizungumza na waandishi wa Habari juzi, Maalim Seif alifichua njama alizoziita ovu dhidi ya chama chake zilizoandaliwa na msururu wa viongozi wa CCM. Katika tuhuma hizo alifika mbali kwa kumtaja Katibu Mkuu wa CCM ndugu Bashiru kuhusika kwenye mikakati hiyo baadhi ya shutuma ni hizi. i. Ndugu...
  17. Wanaousaka urais, ubunge CCM kabla ya wakati waonywa

    Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amewaonya wanachama wa chama hicho tawala walioanza mikakati ya kusaka kupitishwa kuwania udiwani, ubunge na urais akibainisha kuwa kufanya hivyo ni makosa. Ametoa kauli hiyo leo Jumanne Desemba 3, 2019 katika ziara yake kisiwani Pemba, Zanzibar wakati...
  18. Maalim Seif Sharif: Uvumilivu sasa basi, wanachama lindeni ofisi na mali za chama

    UVUMILIVU SASA BASI, WANACHAMA LINDENI OFISI NA MALI ZA CHAMA MAELEZO YA MSHAURI MKUU WA CHAMA CHA ACT – WAZALENDO, MAALIM SEIF SHARIF HAMAD, KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI OFISI KUU YA CHAMA ZANZIBAR – TAREHE 2 DESEMBA, 2019 Chama cha ACT – Wazalendo kinazo taarifa za uhakika za kuwepo...
  19. Kwanini Bashiru Ally anaficha kilichompeleka Zanzibar ?

    Bashiru Ally ambaye ni Katibu Mkuu wa ccm anafanya ziara Zanzibar , leo inasemekana yuko Pemba , lakini kwa kauli yake mwenyewe anasema amekwenda kuimarisha chama , anadai baada ya kumaliza kazi hiyo Tanzania bara ( Tanganyika ) sasa ni zamu ya Zanzibar , hii maana yake ccm Zanzibar haikuimarika...
  20. J

    Halmashauri Kuu Taifa ya Chama cha (UPDP) imemvua uenyekiti Fahmi Dovutwa kwa kufanya kosa la kukisemea chama hicho kinyume na Katiba

    Chama cha UPDP kimemvua madaraka Mwenyekiti wake mzee Dovutwa baada ya kuvunja katiba ya chama hicho. Dovutwa aliungana na Mbowe wa Chadema kujitoa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa ilhali katiba ya UPDP haina kipengere kinachoruhusu chama chao kujitoa kwenye uchaguzi wowote. Dovutwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…