Wadau hili suala huwa linanitatanisha sana!
Hivi inakuwaje Zanzibar inashiriki mashindano ya Vilabu ya CAF ilihali sio mwanachama, na ndiyo linapokuja suala la Timu ya Taifa inayotambuliwa ni ya Tanzania (URT)
Au kwenye vilabu Zanzibar hushiriki kama mwalikwa wa kudumu?
Hivi inakuwaje Zanzibar inashiriki mashindano ya Vilabu ya CAF ilihali sio mwanachama, na ndiyo linapokuja suala la Timu ya Taifa inayotambuliwa ni ya Tanzania (URT)
Au kwenye vilabu Zanzibar hushiriki kama mwalikwa wa kudumu?