nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 72
Jamani habari za mchana,habari ya KAGODA imeshia wapi? sijasikia serikali kuwakamata watuhumia zaidi ya kusikia mtoa ushahidi kuhojiwa,je kuna progress yoyote katika hii kesi?naomba kujua maana hakuna kitu kilichonifurahisha kama alichokifanya MSEMAKWELI
Soma pia Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal
Soma pia Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal
- Kagoda: Ni Rostam
- Kagoda wamerudisha fedha, bado mnataka kuwajua?
- Waliorudisha na wale hawakurudisha pamoja na kagoda kusimama kizimbani
- How Kagoda man made secret BoT visits at night
- Big breakthrough in Kagoda probe?
- Dk Slaa ataka serikali kumkamata Kagoda
- Kagoda, EPA zatajwa muswada wa uchaguzi
- Manji aidai Kagoda bil 18.7
- Mahoka ! Manji naye aishtaki Kagoda- imebaki Rostamu kuishtaki Dowans
- Nyaraka za Kagoda: Msemakweli akataa kuhojiwa na Kamati ya EPA; Ahoji mamlaka yake
- Kwanini DPP Feleshi anatakiwa kuleta mashtaka dhidi ya RA na YM na wengin juu ya Kagoda