Kaeni mkao wa kula, msiempenda kaja - Yusuf Mehboob Manji

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Nasema hivi,

Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.

Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanachama utakaofanyika Jumapili, Juni 27, 2021. Manji amekamilisha mahitaji yote ili kuweza kushiriki Mkutano huo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za uanachama wake.

Hii siso habari njema sana kwa upande hule wa pili, ambao wengi waliomba jamaa angeendelea kubaki uzunguni ili waepuke dhahama ya kuwekwa chini ya ulinzi na mwenyekiti jeuri.

Unadhanani mashabiki wa Mikia FC wanaumia kwa asilimia ngapi baada ya kusikia hii habari.?

manji.jpg
 
Yule aliyekua mkuu wa mkoa Fulani alimfanyia fujo Sana akitambua kwa kipindi kile Manji alikua ndio mhimili wa Yanga. Kwa Sasa sijui anajisikiaje.
Acha yule mbwa alichangia sana kumumiza Manji ili Yanga ipate shida. Mungu si Athumani yeye mwenyewe havieleweki kabisa kwa sasa.
Hao aliowasaidia kufanya hujuma za kila namma ili wawe pazuri wanamwangalia kama nyanya mbovu wakati huu.
 
Nasema hivi,

Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.

Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanachama utakaofanyika Jumapili, Juni 27, 2021. Manji amekamilisha mahitaji yote ili kuweza kushiriki Mkutano huo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za uanachama wake.

Hii siso habari njema sana kwa upande hule wa pili, ambao wengi waliomba jamaa angeendelea kubaki uzunguni ili waepuke dhahama ya kuwekwa chini ya ulinzi na mwenyekiti jeuri.

Unadhanani mashabiki wa Mikia FC wanaumia kwa asilimia ngapi baada ya kusikia hii habari.?

View attachment 1826606
Kwahi kumbe Yanga huwa wanaisingizia tu TFF kumbe tatizo ni kukosekana Manji?



Sent from my X-TIGI_V13 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom