demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Nasema hivi,
Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.
Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanachama utakaofanyika Jumapili, Juni 27, 2021. Manji amekamilisha mahitaji yote ili kuweza kushiriki Mkutano huo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za uanachama wake.
Hii siso habari njema sana kwa upande hule wa pili, ambao wengi waliomba jamaa angeendelea kubaki uzunguni ili waepuke dhahama ya kuwekwa chini ya ulinzi na mwenyekiti jeuri.
Unadhanani mashabiki wa Mikia FC wanaumia kwa asilimia ngapi baada ya kusikia hii habari.?
Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.
Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanachama utakaofanyika Jumapili, Juni 27, 2021. Manji amekamilisha mahitaji yote ili kuweza kushiriki Mkutano huo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za uanachama wake.
Hii siso habari njema sana kwa upande hule wa pili, ambao wengi waliomba jamaa angeendelea kubaki uzunguni ili waepuke dhahama ya kuwekwa chini ya ulinzi na mwenyekiti jeuri.
Unadhanani mashabiki wa Mikia FC wanaumia kwa asilimia ngapi baada ya kusikia hii habari.?