MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Hivi Klabu inawezaje Kuwatishia Waandishi wa Habari za Michezo hasa kuwataka wawe tu Wanaandika na Wanatangaza Mema (Mazuri) tu ya Yanga SC ila yale mabaya Wawe wanayaficha kwa Umma wa Wanamichezo?
Haya sasa kwa taarifa ( zisizo rasmi bado japo nimezikisikia hivi punde kutoka Clouds FM Kipindi chao cha Michezo cha Hili Game ) kutoka kwa baadhi ya Mashabiki wa Yanga SC waliohojiwa zinasema kwamba leo hii Klabu hii inapanga kuwaombea Dua baya la ' Albadiri ' Waandishi wa Habari za Michezo nchini wanaoichafua Klabu yao hii (hiyo)
Sijui na Mimi Generalist nimejumuishwa humo au nimesahaulika, ila niseme tu nilifanya Maamuzi sahihi ya Kuipenda Simba SC na kuwa Mshabiki Mwandamizi wa Simba SC Timu bora na iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.
Haya sasa wana Yanga SC nasubiri mmalize Kutosemea hiyo ' Albadiri ' ili mkimaliza tu baadae mniambie Generalist nije na Taarifa ' very exclusive ' ya kuihusu Yanga SC hasa Viongozi wao wa juu Msolla na Mwakalebela kisha nimalizie na Suala la Wachezaji akina Sarpong, Ntibanzonkiza, Mukoko, Kaseke na Niyonzima.
Mmetuchokoza wenyewe tuvumiliane!!!
Haya sasa kwa taarifa ( zisizo rasmi bado japo nimezikisikia hivi punde kutoka Clouds FM Kipindi chao cha Michezo cha Hili Game ) kutoka kwa baadhi ya Mashabiki wa Yanga SC waliohojiwa zinasema kwamba leo hii Klabu hii inapanga kuwaombea Dua baya la ' Albadiri ' Waandishi wa Habari za Michezo nchini wanaoichafua Klabu yao hii (hiyo)
Sijui na Mimi Generalist nimejumuishwa humo au nimesahaulika, ila niseme tu nilifanya Maamuzi sahihi ya Kuipenda Simba SC na kuwa Mshabiki Mwandamizi wa Simba SC Timu bora na iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.
Haya sasa wana Yanga SC nasubiri mmalize Kutosemea hiyo ' Albadiri ' ili mkimaliza tu baadae mniambie Generalist nije na Taarifa ' very exclusive ' ya kuihusu Yanga SC hasa Viongozi wao wa juu Msolla na Mwakalebela kisha nimalizie na Suala la Wachezaji akina Sarpong, Ntibanzonkiza, Mukoko, Kaseke na Niyonzima.
Mmetuchokoza wenyewe tuvumiliane!!!