OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,778
Matokeo: Yanga 1-0 Biashara
Goli pekee lilofungwa na mshambuliaji wa kimataifa kutoka Burkina Faso, Yacouba Sogne lilitosha kuipa ushindi vinara wa ligi Yanga dhidi ya timu ya Biashara ya kutoka Mara.
Uwanja wa taifa leo ni Utopolo na Biashara Utd ya Musoma.
Saa 1 usiku kitanuka. Utopolo itatoboa leo,au ni maumivu yanaendelea?
Goli pekee lilofungwa na mshambuliaji wa kimataifa kutoka Burkina Faso, Yacouba Sogne lilitosha kuipa ushindi vinara wa ligi Yanga dhidi ya timu ya Biashara ya kutoka Mara.
Uwanja wa taifa leo ni Utopolo na Biashara Utd ya Musoma.
Saa 1 usiku kitanuka. Utopolo itatoboa leo,au ni maumivu yanaendelea?