Yakō Station (矢向駅, Yakō-eki) is a passenger railway station located in Tsurumi-ku, Yokohama, Kanagawa Prefecture, Japan, operated by the East Japan Railway Company (JR East).
Mwishoni nimekutag, hii ni kuonyesha kuwa nimetambua mchango wako kwangu hapa Jamii forum.
Sina mengi ya kuelezea lakini naamini kuwa hii ni zawadi na pia ni kama kumbukizi kwako.
Fanton Mahal Ahsante.
Karibu uagize spare za mini cooper kuanzia engine, vifaa vya umeme, vilainishi na mengineyo kwa jumla na rejareja
Wa ndege,Vifaa hufika ndani ya siku 5 hadi 7 na kwa meli/maji ni siku 40 kulingana upakiaji na usafirishaji.
Ndege ipo ya jumatatu, jumatano na ijumaa na kwa kilo ni dola 12...
TFF inadhalilisha wabia wake katika kuendesha mpira wa miguu nchini kutokana na chuki za watendaji wakuu wa TFF kwa Yanga. Waamuzi kuboronga mechi, kuahirishwa derby na kuchukua juu kwa juu fedha ya CRDB iliyokusudiwa kwenda Yanga kama bingwa wa mashindano ni ushahidi wa hili.
TFF imekosea sana...
Heri kwenu nyote.
Wiki iliyopita Hadi Jana nilikuwa sehemu Moja kijijni katika harakati za kukusanya mpunga Kwa wakulima.
Sehemu hiyo ni Geita wilaya ya Nyang'hwale msalala Kijiji Cha bumanda senta ya Zanzibar
Nikiwa nikiendelea na makusanyo ya mpunga maeneo hayo kumbuka Mimi ni mzaliwa wa...
Mhe Rais wewe ni mtanzania hauna Taifa kingine pia wewe ni mwanadamu jaribu kufikiria Magumu wanayopitia Chadema. Alafu fikiria ingekuwa ni wewe maana kuwa mpinzani siyo ( sin).
Let Chadema be free to work, let Tundu lisu be realised...ulifanya hayo Tuzo ya Nobel inakuhusu, pia Tuzo za Mo...
Habari ya Jumatatu waungwana..
Me navyojua mtu akikutongoza kama huna interest nae ukimkataa kwanza hata mazoea nae inabidi yafe,. Labda kama mlikua ni watu wa karibu au marafiki mnaweza mkaendelea lakini mipaka iwepo au kama ni kazi mfocus na kazi basi..
Sasa buana huyu bidada alitongozwa...
📱 SIMU YAKO IMEPOTEA au IMEIBIWA? USIHANGAIKE! TUNAWEZA KUSAIDIA! 🔍
Kama umepoteza simu yako kwa bahati mbaya, usiogope wala usikate tamaa – sisi tupo kwa ajili yako!
Tunatoa huduma maalum ya ufuatiliaji wa simu zilizopotea, kwa kutumia taarifa chache tu kutoka kwako:
🟡 Email na password...
Mara Wasipofanikiwa kukutumia kwa malengo yao watakuita Bahiri. Iwe ndugu, marafiki au, mpenzi.
Katika kitu Hatari kwenye Biashara ni kusifiwa kua unatoa sana Pesa, Biashara lazima ikushinde na itakufa hasa hizi Biashara Zetu za kutafuta pesa ya kula.
KURUHUSU BINTI YAKO AOLEWE NA KIZEE NI ISHARA UMEDHARAULIKA NA WEWE NI MASKINI WA KUTUPA!
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Unapoambiwa utafute pesa na nguvu, na kujenga Milki, himaya yako watu humaanisha kweli. Na hulenga Mambo mengi Sana
Pesa sio ulinzi tuu kwako bali pia ni ulinzi kwa...
Nimekutana nayo jana hii nilipomsindikiza jamaa kumsalimia mama wa mwanamke aliyezaa naye. Jamaa lina miaka 56 halafu binti aliyemzalisha ana miaka 24 na mama wa binti ana miaka 49, Mtoto wao sasa ana miaka mitatu.
Changamoto niliyoikuta ni kwenye salamu, binti hakumpa jamaa shikamoo lakini...
Msikilize Nape Nnauye anavyoelezea jinsi wanavyoweza kubadili matoke ya Kura yako uliyopiga bila kujali matokeo halisi ya kura.
Nape Nnaye amewahi kuwa Katibu Mwenezi wa CCM. Wakati akitoa kauli hii alikuwa Waziri wa Mawasiliano.
Unaweza Kupata Pesa kwa Kutumia AI Bila Kuacha Kazi Yako
Nafanya hivi, masaa 3 kwa siku ⏳💰
Watu wengi wanadhani lazima waache kazi ili waanze maisha mapya ya kujiajiri online.
Mimi nilifikiri hivyo pia.
Ukiangalia mitandao, unaona Influencers, wafanyabiashara, watu wa YouTube, wataalam wa...
1. Mgahawa/mama ntilie
Maeneo bora: Masokoni, migodini, stendi, karibu na vyuo au hosteli.
Faida: Mauzo ya kila siku, gharama ndogo za uendeshaji, wateja wa kudumu.
2. Udalali wa bidhaa na huduma (dalali wa kila kitu)
Kuanzia viwanja, nyumba, magari, hadi samani.
Faida,Unahitaji ujuzi wa...
Habari wakuu!
This is a lateral thinking question!(picha kutoka mtandaoni; chanzo stock photos)
Ikitokea umefukuzwa kazi ghafla, au umefilisika ghafla ! Plan B yako ya kunyanyuka tena kiuchumi ni ipi?
Kampuni nyingi zimekuwa zikitaabika sababu ya malimbikizo ya kodi toka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), malimbikizo ya madeni hayo yanatokana na faini zitokanazo na kushindwa kuwasilisha taarifa ya mapato ya biashara zao kwa wakati. Ili kufahamu nini unatakiwa kufanya …Basi soma mpaka mwisho…...
Kampuni nyingi zimekuwa zikitaabika sababu ya malimbikizo ya kodi toka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), malimbikizo ya madeni hayo yanatokana na faini zitokanazo na kushindwa kuwasilisha taarifa ya mapato ya biashara zao kwa wakati. Ili kufahamu nini unatakiwa kufanya …Basi soma mpaka mwisho…...
Pole sana mkuu hauko peke Yako tumeyapitia wengi, mim nilikuwa nanyimwa maji ya kunawa uso Ile asubuhi kwenda shule kisa maji sikuyachota, Kuna siku shule walituma vipande vya Kuni asubuhi yake nikadokoa kimoja kisiri huwezi amini alinifata mpaka shule na kanga Moja kunipokonya ukuni...
Ndugu zangu naandika huku natememeka, kulia nataka kucheka nataka yaani kiufupi sijielewi,
Nilikua nikisikia sana watu wakisema usiseme mipango yako, usiamini watu hata akiwa mzazi wako, watu wanatia nuksi, vijicho, husda kiukweli hiyo misamiati kwangu ilikua haipo kabisaaaaaaaa ila sasa...
25. Re-create yourself (Rebrand, ongeza huduma.)
Kufanya rebranding ni kitu kampuni kubwa nyingi duniani zinafanya mara kwa mara. Rebranding inakusaidia kuonekana mpya, na kuzuia mazoea kwa wateja.
Pia rebranding inakuaidia kubadirika na kuendana na mazingira ya technologia.
26. Keep your...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.