yako

Yakō Station (矢向駅, Yakō-eki) is a passenger railway station located in Tsurumi-ku, Yokohama, Kanagawa Prefecture, Japan, operated by the East Japan Railway Company (JR East).

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania JARIBU KUTOA MAONI YAKO!

    ❓ Kama ungepewa Tsh 500 Million leo, ungewekeza kwenye nini? 🏡 Ardhi 🏢 Apartment 🏠 Nyumba 🏬 Commercial Property Tuambie chaguo lako kwenye comments au WhatsApp. 👇 📞 0784 225 000 Kayinga Properties – Turning Opportunities into Investments. ✨
  2. JamiiForums Tanzania WEKEZA LEO, JENGA KESHO YAKO! 🏡

    Ardhi haiongezwi duniani, ndiyo maana uwekezaji wa ardhi na nyumba unaendelea kuwa chaguo bora. Fanya maamuzi sahihi leo kwa ajili ya mustakabali wako na wa familia yako. Uwekezaji wa mali isiyohamishika ni njia mojawapo ya kujenga utajiri wa kudumu. ✨ Jumamosi njema kutoka Kayinga Properties! ✨...
  3. JamiiForums Tanzania GEUZA NDOTO YAKO KUWA ANWANI YAKO YA KWELI! 🏡

    Jumamosi njema! Kila uwekezaji mkubwa huanza na uamuzi mmoja sahihi. Leo inaweza kuwa siku yako ya kupata nyumba au kiwanja cha ndoto zako. 📍 Viwanja vya Uwekezaji 🏠 Nyumba za Kupanga na Kuuza 🏢 Apartments na Commercial Properties 💼 Ushauri wa Uwekezaji wa Real Estate 📞 Piga Simu au WhatsApp...
  4. JamiiForums Tanzania Kama TIN number Yako inadaiwa inaweza kukuzuia kurenew Leseni ya Udereva?

    Wakuu habari. TIN number Yangu inadaiwa 2m deni la biashara na chombo Cha moto. Sasa Leseni Yangu inaenda kuexpire mwezi ujao tarehe Moja. Swàli langu je madeni Yangu yanaweza kuwa kikwazo Cha mimi kushindwa kurenew Lesen. Je Tax clearence certificate inahitajika?? Naomba muongozo Ahsante
  5. D

    JamiiForums Tanzania Usipitishe pesa yako yoyote NBC. Pesa inakaaje week nzima haifiki kwenye account

    Kichwa kinajieleza. Kama unapokea pesa yeyote kutoka Absa, Equity and the likes ya hizi bank zisizoshindana kutoa gawio serikalini, usipitishe hela yako NBC, They don't even know what they are doing. Pesa inakaaje week nzima haifiki kwenye account kutoka kwenye account ya internal ya hizo bank...
  6. JamiiForums Tanzania Demokrasia si kwa ajili yako na mimi. Ni mfumo wa kuwaserve elites.

    Mfumo wowote wa utawala huwa unawekwa na watu walioshika uchumi. Upo kuwaserve walioshika uchumi. Kabla ya ubepari kulikuwa na ukabaila. Kwenye ukabaila kunakuwa na mabwana(feudal lords/aristocrats) na watwana(serfs). Mabwana huwa wanamiliki eneo kubwa la ardhi. Wanawapangishia watwana maeneo...
  7. JamiiForums Tanzania Vipi umeshawahi kuharibu kitu cha rafiki yako? Mlimalizanaje?

    yaani unaachiwa kitu na rafiki yako mfano laptop mara inakuzimikia na bahati mbaya kuna vingine hata ukipeleka kwa fundi havifai tena kutibika au spea unakosa. hapo ni mawili ulipe pesa au urafiki pia ufe mazima. mm kama mimi sinaga tabia ya kulipisha mtu kitu. iliwahi nitokea nimenunua...
  8. JamiiForums Tanzania Je, unafahamu Credit Report yako? Taarifa yako ya UKOPAJI?

    Habari za wakati huu; Kwa wafanyabiashara na wawekezaji,kukopa ni sehemu ya ya kawaida kabisa ya maisha.Hata hivyo kuna wakati kwa kujua au kutokujua tunaonesha tabia ambazo zinaathiri uwezo wetu wa kukopa na wakati mwingine kutufanya tusikopesheke kabisa. Kwa mujibu wa sheria ya usimamizi wa...
  9. JamiiForums Tanzania Kwaheri Irene, nyuma yako mbele yetu, Innalillah Wainna Illah Rajuun, tusipuzie wanaotaka msaada na kuita matapeli

    Humu jf Kuna watu wana roho ngumu na mbaya sija pata kuona eti hadi I'd za kike, dah. Kipindi Fulani nilitukanana na jamaa humu, Kuna mtu alitaka msaada, jamaa akaanza kumita tapeli nikamvaa nikamwambia bro kama una wasiwasi usitoe sio uwe chanzo cha wengine kutotoa. Mapema majuzi nilikua...
  10. JamiiForums Tanzania Karibu sana Peter Msigwa, Roho yako ni Hai kwa CHADEMA, ila Mwili ndio Ulikua Dhaifu! Akili, Uwezo, Ubunifu, Busara zako sio za kukaa CCM, Pole sana!!

    Kwa Peter Msigwa, Akili, Uwezo, Ubunifu wake ndani ya CCM Ulikua ni 'Umefungwa'. Peter Msigwa nayemfaham yeye hawezi kaa kuvumilia Watu watekwe, Kuuwawa, Kusumbua Kanisa, Kufunga wapinzani Kufungia Chama , Maisha ya Mtanzania kua Juu, Gharama kupanda ,huku Mafisadi wachache wakijineemesha ...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    MIRADI YA MIUNDOMBINU YA MAJIJI – BAJETI YA MWAKA 2026/27 1. JIJI LA DAR ES SALAAM BRT na Maboresho Makubwa ya Barabara I. BRT Awamu ya 3: Maktaba – JNA – Gongolamboto (km 23.3) II. BRT Awamu ya 4: Maktaba – Morocco – Mwenge – Tegeta pamoja na Mwenge – Ubungo (km 30.1) III. BRT Awamu ya 5...
  12. JamiiForums Tanzania Pastor Neema anaeleza kwa uwazi matumizi ya sadaka zinazotolewa kanisani, Nini maoni yako?

    Habari wakuu? Je kwa muktadha huu ni nini maoni au ushauri wako? Karibuni Pastor Neema anaeleza kwa uwazi matumizi ya sadaka zinazotolewa kanisani, akisisitiza kuwa sadaka hizo haziendi mbinguni wala hazichukuliwi na malaika, bali zinabaki hapa duniani kwa ajili ya kuendeshea shughuli za...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Showcase za kuhamishika. Nipe oda boss nkutengenezee yako

    showcase za kuhamishika.. boss wangu hizi showcase zinabadili kabisa muonekano wa seble yako.. seble yako inakuwa 🔥🔥 boss wangu ww jiamulie mambo tu😁 kwa kunipa oda nkutengenezee showcase yako.. tupo dar mbagala 0692477610
  14. JamiiForums Tanzania Hivi Indira Gandhi alipomwambia Nyerere, "nitaimeza hiyo Tanzania yako ndani ya India yangu", alimaanisha nini? 🤔.

    Wakuu, aliyekuwa waziri mkuu wa India bibie Indira Gandhi, alipomwambia baba wa Taifa letu kuwa, "nitaimeza hiyo Tanzania yako ndani ya India yangu", alimaanisha nini? Kama Kuna anayejua kile alichomaanisha Indira binti Jawaharlal Nehru, anijuze tafadhali 😎. Mshana Jr Mbaga Jr Mzee...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kama mawazo ya binadamu yangekuwa yanaonekana kwa wengine, heshima yako ingebaki ilivyo au tungekukimbia?

    Kama mawazo ya binadamu yangekuwa yanaonekana kwa wengine, heshima yako ingebaki ilivyo au tungekukimbia? Eti, wakuu ungebaki unaheshimika au tungeona vitu vya ajabu mpaka tukakumbia?
  16. JamiiForums Tanzania 🧠⚡ JE, MAAMUZI YAKO NI YAKO KWELI… AU UBONGO WAKO UNAONGOZWA NA PSYCHOLOGY BILA WEWE KUJUA? 🤯

    Kila siku binadamu hufanya maamuzi kuhusu pesa, mahusiano, biashara, afya, kazi, na maisha kwa ujumla. Lakini ukweli wa kushangaza ni kwamba watu wengi hawaamui kwa logic pekee — akili, mazingira, emotions, habits, na psychology vina influence kubwa sana kwenye choices tunazofanya kila siku. 👉...
  17. H

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jihadhari Sana na Kitu kinaitwa Vodabima. Unaweza Kupoteza Pesa Yako. Ni Mfumo wa Kubahatisha

    Sijui ni wangapi wamewahi kukumbana na na matatizo ya vodabima. Kwa uzoefu wangu, mara tatu imetokea unalipa bima ya gari kupittia vodabima. Unapata ujumbe kuonesha pesa imetoka kulipia bima ya gari fulani kuanzia kipindi fulani mpaka kipindi fulani, hakuna ujumbe mwingine. Kwenye mfumo wa...
  18. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni eneo gani la kazi kwa maoni yako linaongoza kwa kuona warembo/watu wapya kila siku mpaka mtu anaingia kazini na furaha ya ajabu?

    Kuna baadhi ya maeneo ya kazi ukiajiriwa tu unaanza kuamini dunia bado ina furaha. Sio kwa mshahara kwanza… bali mazingira yenyewe yanakuwa kama series isiyoisha kuhusu “uhamiaji wa viumbe wazuri” Mfano maeneo ya vyuo vikuu… aisee huku ni kama Serengeti migration. Kila mwaka linaingia...
  19. JamiiForums Tanzania Ni tukio/kituko gani ambacho alifanya dada yako wa kazi hapo nyumbani hutosahau?

    Salute! Nafahamu kwa sababu mbalimbali watu wengi tunapenda kuishi na dada wa kazi majumbani mwetu Wapo watu wengi ambao wamekutana na Mikasa mbalimbali kutokana na dada hawa wa kazi. Je ,ni kituko gani uliwahi kukutana nacho kutoka kwa dada wa kazi?
  20. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unatajisikiaje shemeji yako akimuita dada yako “demu” mbele yako

    Shemeji yako akimuita dada yako demu mbele yako unaipokeaje ?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…