Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,913
- 6,603
Habari za wakti huu;
Miaka ya 90 wakati TEHAMA imepamba moto Duniani kwa tuliokuwepo kufahamu namna ya kutumia Computer ilikuwa ni TREND na ni Muhimu.Katika Kipindi waliibuka watu waliotajirika na hata waliofilisika.
Kw sasa hivi tuko katika zama za mbele zaidi ambazo ni zama za AI.Na kwa sasa hivi makampuni yanakimbizana kutengenea AGI(Artificial General Iteligence).Hizi mbio zinakuja na fursa na changamoto mbalimbali.Swala ambalo ninataka tulijadili leo ni Je Unaitumiaje AI?
Nimekuwepo hapa jukwaani kwa muda sana,katika kipindi hiki chote nimekuwa nikishiriki katika mijadala mingi.Hata hivyo kwa muda nimeona Jukwaa katika Ujumla wake alijatumia AI kama ipasavyo.Vilevile nimeona TABIA ya watu ama kukejeli matumizi ya AI au kuita AI kila jambo ambalo wanaona linaonekana kuwa BORA sana.Tabia hii imenifanya nileta Mjadala hapa ili tujadili kwa pamoja namna tunavyotumia AI na namna ambavyo tunaweza kuboresha matumizi ya AI kwa manufaa.
Wapo watu wengi sana ambao wanatumia AI katika shughuli zao ambao hawako tayari kukiri kwamba wanatumia AI,na wapo ambao kama wangeamua kutumia AI kazi zao zingekuwa BORA sana lakini wamechagua kutokutumia AI.Hii inanifanya nijiulize iwapo watu wanaogopa teknolojia hii ama tumechagua kuwa Late Adopters?
Mimi kwa sasa natumia AI kwa Asilimia karibu 70 ya shughuli zangu,katika baadhi ya shughuli natumia AI kwa Asilimia hadi 90 na nyingine natumia AI kwa Asilima 40.Ila hakuna shughuli yoyote ambayo situmii AI.Bado kuna maeneo katika maisha yangu ambapo natumia AI mfano maswali ya Afya,elimu,malezi mawasiliano ya kawaida na hata burudani.Ninatngeneza nyimbo kwa kutumia AI,picha,movies,simulizi za aina mbalimbali n.k.
Andiko hili hapa wakati wa kuliandaa nilishawishika kutumia AI ila kwa heshima ya JF nimechagua kuliandika bila msaada wa AI.Swali ambalo nataka tujiulize leo ni JE unatumiaje AI?
Utumizi wa AI una maeneo mengi sana?Unaweza kuwa mtengenezaji wa suluhu zinazotumia AI au unawezakuongeza uwezo wa AI katika kufanya mambo mbalimbali.Katika utumiaji wako wa AI ni lazima Ujiulize iwapo AI inaongeza Tija.Ni lazima tuondoke katika fikra za kwamba utumiaje wa AI sio jambo la kujivunia na badala yake tuwe tayari kukiri matumizi ya AI na zaidi tuonesha kwa wazi kabisa utumiaji wetu wa AI pale inapotulazima tumeufanyia validation ya kutosha.
Je unatumiaje AI?Karibu tujadili hasa katika biashara na ujasiriamali.Unaweza weka kabisa TOOL unayotumia,namna unavyotumia,changamoto na namna ambayo inakusaidia ila na wengine waendelee kujifunza.Niko hapa kwa ajili ya majadiliano juu ya namna bora kabisa ya kutumia AI.
Miaka ya 90 wakati TEHAMA imepamba moto Duniani kwa tuliokuwepo kufahamu namna ya kutumia Computer ilikuwa ni TREND na ni Muhimu.Katika Kipindi waliibuka watu waliotajirika na hata waliofilisika.
Kw sasa hivi tuko katika zama za mbele zaidi ambazo ni zama za AI.Na kwa sasa hivi makampuni yanakimbizana kutengenea AGI(Artificial General Iteligence).Hizi mbio zinakuja na fursa na changamoto mbalimbali.Swala ambalo ninataka tulijadili leo ni Je Unaitumiaje AI?
Nimekuwepo hapa jukwaani kwa muda sana,katika kipindi hiki chote nimekuwa nikishiriki katika mijadala mingi.Hata hivyo kwa muda nimeona Jukwaa katika Ujumla wake alijatumia AI kama ipasavyo.Vilevile nimeona TABIA ya watu ama kukejeli matumizi ya AI au kuita AI kila jambo ambalo wanaona linaonekana kuwa BORA sana.Tabia hii imenifanya nileta Mjadala hapa ili tujadili kwa pamoja namna tunavyotumia AI na namna ambavyo tunaweza kuboresha matumizi ya AI kwa manufaa.
Wapo watu wengi sana ambao wanatumia AI katika shughuli zao ambao hawako tayari kukiri kwamba wanatumia AI,na wapo ambao kama wangeamua kutumia AI kazi zao zingekuwa BORA sana lakini wamechagua kutokutumia AI.Hii inanifanya nijiulize iwapo watu wanaogopa teknolojia hii ama tumechagua kuwa Late Adopters?
Mimi kwa sasa natumia AI kwa Asilimia karibu 70 ya shughuli zangu,katika baadhi ya shughuli natumia AI kwa Asilimia hadi 90 na nyingine natumia AI kwa Asilima 40.Ila hakuna shughuli yoyote ambayo situmii AI.Bado kuna maeneo katika maisha yangu ambapo natumia AI mfano maswali ya Afya,elimu,malezi mawasiliano ya kawaida na hata burudani.Ninatngeneza nyimbo kwa kutumia AI,picha,movies,simulizi za aina mbalimbali n.k.
Andiko hili hapa wakati wa kuliandaa nilishawishika kutumia AI ila kwa heshima ya JF nimechagua kuliandika bila msaada wa AI.Swali ambalo nataka tujiulize leo ni JE unatumiaje AI?
Utumizi wa AI una maeneo mengi sana?Unaweza kuwa mtengenezaji wa suluhu zinazotumia AI au unawezakuongeza uwezo wa AI katika kufanya mambo mbalimbali.Katika utumiaji wako wa AI ni lazima Ujiulize iwapo AI inaongeza Tija.Ni lazima tuondoke katika fikra za kwamba utumiaje wa AI sio jambo la kujivunia na badala yake tuwe tayari kukiri matumizi ya AI na zaidi tuonesha kwa wazi kabisa utumiaji wetu wa AI pale inapotulazima tumeufanyia validation ya kutosha.
Je unatumiaje AI?Karibu tujadili hasa katika biashara na ujasiriamali.Unaweza weka kabisa TOOL unayotumia,namna unavyotumia,changamoto na namna ambayo inakusaidia ila na wengine waendelee kujifunza.Niko hapa kwa ajili ya majadiliano juu ya namna bora kabisa ya kutumia AI.