Ndugu Watanzania wenzangu,
Leo nasimama mbele yenu kwa moyo wa shukrani, upendo na tumaini kuu, nikitangaza Habari Njema si habari ya siasa, biashara, wala maendeleo ya kidunia, bali habari ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai, ambaye alikuja duniani kwa ajili yetu sote maskini kwa...