WIZARA YA MAJI YAOMBA BAJETI YA BILIONI 756
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso akisoma hoja ya bajeti Bungeni amesema Wizara ya Maji imeliomba Bunge liidhinishe jumla ya Shilingi 756,205,106,000 kwa ajili ya matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka 2023/24.
Akizungumza Bungeni wakati akiwasilisha...