Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kuwa wamepata chanjo bilioni 1 kwa ajili ya nchi za kipato cha chini na cha kati.
Ghebreyesus alifanya mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu ya WHO huko Geneva, Uswizi, akitumia njia ya video...
Who will be crowned winner? See the 10 finalist of the curvy competition & pick your winner. Opinion
By MzansiEveningNews |
Published 14 hours ago - 9980 views
We may have come across some news today about the happenings in South Africa and we might have reacted to them emotionally. Good...
Wanabodi
The much anticipated annual listing of the 100 Most Influential Africans of 2020 published by the continent’s premier pan-African publication, London-based New African magazine imetangazwa leo.
List hiyo iliyogawanywa katika mafungu manne, four categories of Leaders; Pathfinders...
Shirika la Afya Ulimwenguni-WHO, Alhamisi limezisihi nchi za Afrika kuandaa mipango ya kusambaza chanjo za COVID-19 kadri zitakavyopatikana.
Utafiti mpya wa WHO uligundua kuwa nchi nyingi za Kiafrika haziko tayari kwa kile kitakachokuwa harakati kubwa zaidi ya chanjo barani humo.
Kupanga na...
Amani iwe nanyi tena wadau!
Nimetoka kutazama mjadala mzito unaoihusu Tanzania katika Kamati ya Mambo ya Nje Bunge la EU.
Napenda tu kusema yafuatayo
1. Tanzania tuna hali mbaya sana. Wajumbe wa kamati hii wameijadili vibaya sana Tanzania na wengine kupendekeza hatua kali zaidi zichukuliwe...
Tedros Adhanom Ghebreyesus
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Tedros Adhanom Ghebreyesus anasema kuna kazi kubwa inayohitajika kupambana na janga la virusi vya corona licha ya kuwepo na habari nzuri wiki hii kuhusiana na mafanikio ya majaribio ya chanjo.
Akizungumza kutoka Geneva...
This video of a 44 year old woman explaining in a 13 minutes long video that she does not want to date men who are her age, because she is too beautiful for that.
This woman says that her preference in men are those who are younger than her, most probably 20 years younger than her because she...
Nukuu hii aliwahi kuitoa Hayati Nelson Mandela alipokuwa akiwapa moyo wapigania uhuru na wapinga ubaguzi wa Afrika Kusini kwa yote yaliyowapata kutoka kwa Makaburu.
Naomba niazime nukuu hii na kuipeleka kwa viongozi wa CHADEMA waliochukuliwa majumbani mwao na Polisi waliotumwa kwa lengo la...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kuwa amejiweka karantini baada ya mtu mmoja aliyepatikana na virusi vya corona kumtaja kama mmoja wa watu wa karibu waliokutana naye.
"Nimeorodheshwa kama mmoja wa watu waliokutana na mtu aliyepatikana na...
2020-10-24 10:12:31
Curvy figures are often considered the picturesque feminine ideal. Women with curvy figures typically fall under the "hourglass" body type. They have equally predominant busts and hips with a narrow waist. If you have a curvy body type, you should choose pieces that...
Tanzanians are counting 6 days to casting their votes later Wednesday next week.
So far the political rallies/campaigns have seen peaceful atmosphere allover the country. Two political figures have chiefly dominated this year's campaign. This is Mr. Lissu and president Magufuli who is seeking...
Mashirika ya kimataifa yamesema takriban watoto milioni 2 wanafia tumboni kila mwaka. Shirika la Afya Duniani, WHO, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia Watoto, UNICEF, pamoja na washirika wake wamesema vifo hivyo vinatokea zaidi kwenye nchi zinazoendelea.
Kwa mujibu wa takwimu za dunia...
Bwana Trump aliishia kutukana na kusema uongo, kutumia nguvu ku present urguments, interference kwa mwenzake wakati anaongea ... na vitu kama hivyo.! Hayo ndiyo matokeo ya CNN Instant poll!
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums.
Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.
Ndugu zangu...
world up, hope mko fit as usually ama nini!
kuna wale raia sijui wana akili gani, sijuhi wanahisi sie wanaume tumeumbwaje aani yaani kitu chochote kitacho happen utaskia "jikaze kiume" oyah haa sie wenyewe binadamu tunafeel vile vile mtuachie itikadi za kiboya
Leo nusu nimkande mshikaji...
The Saga Of Subcontracted Hit Men For Hire Who Outsourced Murder: Mtandano wa wauaji wa kukodisha waliouziana tenda ya mauaji kiasi cha Dollar 282,600.
Ndugu zangu watanzania, hii story ni fupi sana ukilinganisha na story zingine nilizowahi kuziweka humu JF, lakini inatoa funzo moja kubwa na...
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia vituo vya habari vya Clouds TV na Radio kwa siku saba kuanzia kesho Agosti 28 na adhabu ya kuomba radhi siku nzima ya leo kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo za utangazaji za Uchaguzi.
TCRA imesema kosa walilolifanya ni...
Be warned
Marriage is meant to be a lifetime affair and is definitely not meant for everyone.
But if marriage is your thing, you got to be careful when choosing your life partner. You do not want to start asking for a divorce as soon as you get into the union.
A woman is a powerful pillar in...
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema kuwa anamatumaini janga la corona litakomeshwa ndani ya miaka miwili
Akizungumza mjini Geneva, Tedros Adhanom Ghebreyesus alisema homa ya Spanish flu ya mwaka 1918 ilichukua miaka miwili kudhibitiwa.
Lakini ameongeza kuwa kuimarika kwa teknolojia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.