who

  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania WHO: Wanawake wengi hufa kutokana na utoaji mimba

    WHO na wadau wake wamefanya utafiti katika nchi 17 za Amerika ya Kusini na Karibea. WHO imeshirikiana na HRP yaani Human Reproduction Program ambacho ni chombo kikuu cha mfumo wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya utafiti katika uzazi wa binadamu ili kuboresha afya ya uzazi. Nyongeza maalum...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania WHO: Corona inaweza kuisha mwishoni mwa 2022

    Mkurugenzi mkuu wa Shirika la afya duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kwamba corona inaweza kuisha mwishoni mwa mwaka huu iwapo nchi zote duniania zitachukua hatua kabambe za kukabiliana na maambukizi. Kiongozi huyo wa WHO alilkuwa akizungumza kakitaka kikao cha 150 cha shirika...
  3. beth

    JamiiForums Tanzania WHO: Omicron imepelekea maambukizi mapya Milioni 18 wiki iliyopita

    Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amewaonya Viongozi wa Mataifa kuwa mlipuko wa Virusi vya Corona haujaisha. Amesema kwa wiki iliyopita pekee, Kirusi cha Corona aina ya Omicron kimepelekea maambukizi mapya Milioni 18 ulimwenguni kote. Ameeleza wasiwasi wake...
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Rasputin, a Siberian-born muzhik, or peasant, who underwent a religious conversion as a teenager and proclaimed himself a healer

    Sometime over the course of the night and the early morning of December 29-30, 1916, Grigory Efimovich Rasputin, a self-proclaimed holy man, is murdered by Russian nobles eager to end his influence over the royal family. Rasputin, a Siberian-born muzhik, or peasant, who underwent a religious...
  5. beth

    JamiiForums Tanzania WHO: Athari ya Kirusi cha Omicron ipo juu

    Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO limesema leo kwamba athari inayotokana na aina mpya ya kirusi cha Omicron bado iko juu baada ya idadi ya maambukizo ya virusi vya corona kuongezeka kwa asilimia 11 kote duniani wiki iliyopita Katika taarifa yake ya kila wiki kuhusu udhibiti na kuenea kwa virusi...
  6. Kifaru86

    JamiiForums Tanzania Never trust a woman who had sex with man before meeting you

    haya sio maneno yangu bali ni maneno ya mwana saikolojia tex william aliyoyazungumza mwaka 1947 ambaye nilikuwa namskiliza kupitia yotube tex william anasema mwanamke ameshawahi kushiriki tendo la ndoa kabla yako hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwako kuliko yule mtu wa kwanza aliyekutana nae...
  7. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania A rare picture of people who had sex before marriage

  8. zimmerman

    JamiiForums Tanzania African scientist who discovered Omicron variant says world’s response ‘unfair’

    Magufuli alipokataa ujinga huu, wa nchi za kiAfrika kucheza siasa za wazungu za corona, nadhani hawakumwelewa wenzake kwenye corridors of power. Ni hivi: mzungu hutumia kila fursa yoyote, liwe jambo jema au jambo baya kama janga hili la dunia kukazia ile imani yake ya ndani kabisa asiyotaka...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Theodore Hall, a scientist who gave Russia atomic secrets.

  10. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania WHO yaonya kuhodhiwa kwa chanjo kutoka na aina mpya ya kirusi cha Omicron

    Shirika la afya duniani WHO, leo limeelezea wasiwasi kwamba mataifa tajiri yanayotishiwa na kuzuka kwa aina mpya ya kirusi cha Omicron huenda yakahodhi chanjo za ugonjwa wa COVID-19 na kutatiza usambazaji wa chanjo hizo kote duniani hali itakayotatiza juhudi za kukabiliana na janga hilo. Mkuu...
  11. beth

    JamiiForums Tanzania WHO: Chanjo zilizopo zina ufanisi dhidi ya Omicron

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Chanjo dhidi ya COVID19 ambazo tayari zipo bado zinapaswa kuwalinda watu wanaopata maambukizi ya Kirusi cha Omicron, na hakuna dalili aina hiyo mpya inakataa Chanjo kuliko aina nyingine. Dkt. Mike Ryan amesema chanjo zina ufanisi mkubwa, na zimethibitisha...
  12. beth

    JamiiForums Tanzania WHO: Janga la Corona limechochea ongezeko la vifo vitokanavyo na Malaria

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema vikwazo katika Huduma ya Afya vilivyotokana na janga la COVID-19 vimepelekea vifo 69,000 zaidi vya Malaria mwaka 2020, ikilinganishwa na mwaka uliopita. Takriban watu 627,000 ulimwenguni, wengi wao watoto wadogo kutoka Mataifa masikini ya Afrika walifariki...
  13. Smarter

    JamiiForums Tanzania I Know somebody who knows somebody who knows somebody

    Habari za J3. Upande huu ni kama mida haiendi kabisaa. Ingawa KPI zimesoma. sasa, Je, Una mshkaji/rafiki who knows somebody who knows somebody who knows somebody ambae ana connection/ Info/ product/service expatriate unayoitaka? Nafikiri ni muhimu sana kutengeneza hizi Network. Ni kama...
  14. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Winston Leonard Spencer Churchill, the British leader who guided Great Britain and the Allies through the crisis of World War II

    November 30, 1874: "Winston Leonard Spencer Churchill, the British leader who guided Great Britain and the Allies through the crisis of World War II, is born at Blenheim Palace in Oxfordshire, England. Churchill came from a prestigious family with a long history of military service and joined...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania WHO inasimama na mataifa ya Afrika, chonde chonde msifunge mipaka

    Wakati idadi ya nchi zinazotangaza marufuku ya safari za ndege kwa mataifa ya Kusini mwa Afrika ikiongezeka kutokana na hofu ya aina mpya ya virusi vya COVID-19 vya Omicron, shirika la afya la Umoja wa Mataifa ulimwenguni WHO leo limezisihi nchi kufuata sayansi na kanuni za kimataifa za afya za...
  16. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania The London office worker who became an Arabian princess after marrying Middle Eastern King

    They started talking after the king wore a fancy dress costume When one thinks of British royalty, one might think of Queen Elizabeth II, Buckingham Palace, or Harry’s red hair. One won’t necessarily think of an East London secretary, who has a penchant for pineapple juice. Well, introducing...
  17. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania The Pope who wouldn't give Henry VIII what he wanted

    On this day in history: November 18th, 1523 - Cardinal Giulio de' Medici became Pope Clement VII. In Henry VIII reign, he is known as the Pope who wouldn't give Henry what he wanted: A divorce to Queen Katherine of Aragon to marry Anne Boleyn. Pope Clement VII was head of the Catholic Church...
  18. beth

    JamiiForums Tanzania WHO: Idadi ya wavutaji sigara yapungua ulimwenguni

    Shirika la afya duniani WHO, limesema idadi ya wavutaji sigara duniani imepungua kwa kasi katika miaka ya hivi karibuni. WHO imezitaka nchi kuongeza hatua zaidi za udhibiti wa kukomesha uraibu wa Tumbaku. Katika ripoti iliyotolewa leo, WHO inasema kwa mwaka 2020 watu bilioni 1.30 walikuwa...
  19. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Late Oba Sir Olateru Olagbegi, A successful Polygamous who left behind 117

    Allow me to introduce to you (Late) Oba Sir Olateru Olagbegi, A successful Polygamous who left behind 117 children, 111 were university graduate,35 were lawyers including 10 High Court judges.25 were surgeon,22 chartered accountants and 23 Engineers. Olateru alikua Chief wa kabila la Yoruba...
  20. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Joseph Vissiavionovich Stalin was a Georgian revolutionary and Soviet political leader who governed from 1924 until his death in 1953

    Joseph Vissarionovich Stalin was a Georgian revolutionary and Soviet political leader who governed the Soviet Union from 1924 until his death in 1953. He served as both General Secretary of the Communist Party of the Soviet Union and Chairman of the Council of Ministers of the Soviet Union
Back
Top Bottom