African scientist who discovered Omicron variant says world’s response ‘unfair’

zimmerman

JF-Expert Member
Feb 17, 2011
1,628
3,155
Magufuli alipokataa ujinga huu, wa nchi za kiAfrika kucheza siasa za wazungu za corona, nadhani hawakumwelewa wenzake kwenye corridors of power.

Ni hivi: mzungu hutumia kila fursa yoyote, liwe jambo jema au jambo baya kama janga hili la dunia kukazia ile imani yake ya ndani kabisa asiyotaka hata ijulikane, aliyonayo dhidi ya mtu mweusi, kwamba sisi tu viumbe wa kutawaliwa kimwili, kiroho na kiakili.

Na sisi tulivyo mamburula tunacheza siasa zao tu. Huyu mbotswana analalamika nini sasa kuhusu nchi yake kuwekwa red list baada ya kuitangazia dunia kwamba amegundua omicron? Kuna msemo usemao "Play by the rules set by others and you will always be a slave in an expensive tuxedo. Set your own rules to live as a free man".
------------------------------------------
Chauncey Alcorn
Sat, December 18, 2021, 1:56 AM
“How do you reward the countries that alert you of a potential dangerous pathogen with travel bans?” Sikhulile Moyo told NPR.

The global reaction to the discovery of the COVID-19 Omicron variant in Africa is a huge disappointment to scientist Sikhulile Moyo.

“We were saddened,” Moyo recently told NPR of he and his fellow researchers. “For me, personally, I felt that after two years into the epidemic, clearly as the global health community, we could be responding better and coordinating better.”


<strong>Sikhulile Moyo</strong> serves as lab director of the Botswana-Harvard AIDS Institute Partnership. (Credit: Twitter)
Sikhulile Moyo serves as lab director of the Botswana-Harvard AIDS Institute Partnership. (Credit: Twitter)
Moyo serves as lab director of the Botswana-Harvard AIDS Institute Partnership team that detected the Omicron variant in November. He’s also a research associate for the Harvard T.H. Chan School of Public Health.

He told NPR in an interview published Thursday that he and other scientists in Africa were disturbed when the United States, the U.K. and other nations started issuing travel bans against eight African nations — including South Africa and Botswana — in late November after the latter two nations warned the world about Omicron.

“How do you reward the countries that alert you of a potential dangerous pathogen with travel bans?” Moyo said. “My country was put on a red list, and I didn’t feel good about that. We know the repercussions.”

Flights to and from Botswana were canceled following the travel ban, which limited imports coming into the country, according to Moyo.

On Dec. 2, the nation’s president, Mokgweetsi Masisi, told CNN the travel bans were unacceptable, inhumane and demeaning.

“A lot of businesses lost millions,” Moyo said. “And our vaccine supply was being threatened because of delays on the way. Quite a trail of destruction.”

Masisi said four foreign diplomats who tested positive for Omicron, “came from a number of countries,” including some nations in Europe, according to the New York Times, though he declined to present evidence. Moyo said the economic fallout in Botswana has motivated locals to condemn him and his fellow researchers.

“A number of people are saying, ‘You scientists, you bigmouths, look what you’ve done. You’ve locked out Christmas,'” he said.

But Moyo stopped short of saying the reaction to Omicron’s discovery in Africa was racist.

Annual United Nations General Assembly Brings World Leaders Together In Person, And Virtually
The President of Botswana, Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi, speaks at the 76th session of the United Nations General Assembly at U.N. headquarters on September 23, 2021 in New York City. (Photo by Spencer Platt/Getty Images)
More
“I would call it an unfair treatment of African countries,” he said. “The Alpha variant was raging in the U.K. [months ago], and none of the countries put the U.K. on the red list. Because we understand that it’s a global village. Of course, we enhanced border screening, enhanced requirements for entering into the country, including maybe a quarantine and testing. But it was never shutting our door, because we understand that these viruses don’t respect our natural borders.”

The World Health Organization classified omicron as a “variant of concern” on Nov. 26. U.S. officials did the same four days later. Since then, the mutated virus, which is easier to catch than the original version of COVID-19, has spread throughout the world. U.S. health officials have found Omicron infected patients in at least 36 states as well as Puerto Rico and Washington D.C., according to the C.D.C.

Moyo said the disparity of vaccine distribution in wealthy and poorer nations could cause the pandemic to drag on longer.

“We have a significant part of the world that is less than 20% vaccinated,” he said. “If we increase vaccination in those countries, we are going to reduce the chances of this virus … giving it room to circulate in other parts of the world and generate more mutants.”

Getting more people vaccinated around the globe is the key to bringing the pandemic to an end, according to Moyo.

“If we really do our best and cover the world, I think we can win it together,” he said. “But if we try and do our own corners and not take care of what’s happening in other countries, I think we’ll still have another two, three years of this pandemic.”
 
Kuwa mgunduzi wa kirusi hakuili nchi yake nafasi ya upendeleo kutowekwa kwenye red list.
 
Magufuli alipokataa ujinga huu, wa nchi za kiAfrika kucheza siasa za wazungu za corona, nadhani hawakumwelewa wenzake kwenye corridors of power.

Ni hivi: mzungu hutumia kila fursa yoyote, liwe jambo jema au jambo baya kama janga hili la dunia kukazia ile imani yake ya ndani kabisa asiyotaka hata ijulikane, aliyonayo dhidi ya mtu mweusi, kwamba sisi tu viumbe wa kutawaliwa kimwili, kiroho na kiakili.

Na sisi tulivyo mamburula tunacheza siasa zao tu. Huyu mbotswana analalamika nini sasa kuhusu nchi yake kuwekwa red list baada ya kuitangazia dunia kwamba amegundua omicron? Kuna msemo usemao "Play by the rules set by others and you will always be a slave in an expensive tuxedo. Set your own rules to live as a free man".
------------------------------------------
Chauncey Alcorn
Sat, December 18, 2021, 1:56 AM
“How do you reward the countries that alert you of a potential dangerous pathogen with travel bans?” Sikhulile Moyo told NPR.

The global reaction to the discovery of the COVID-19 Omicron variant in Africa is a huge disappointment to scientist Sikhulile Moyo.

“We were saddened,” Moyo recently told NPR of he and his fellow researchers. “For me, personally, I felt that after two years into the epidemic, clearly as the global health community, we could be responding better and coordinating better.”


<strong>Sikhulile Moyo</strong> serves as lab director of the Botswana-Harvard AIDS Institute Partnership. (Credit: Twitter)
Sikhulile Moyo serves as lab director of the Botswana-Harvard AIDS Institute Partnership. (Credit: Twitter)
Moyo serves as lab director of the Botswana-Harvard AIDS Institute Partnership team that detected the Omicron variant in November. He’s also a research associate for the Harvard T.H. Chan School of Public Health.

He told NPR in an interview published Thursday that he and other scientists in Africa were disturbed when the United States, the U.K. and other nations started issuing travel bans against eight African nations — including South Africa and Botswana — in late November after the latter two nations warned the world about Omicron.

“How do you reward the countries that alert you of a potential dangerous pathogen with travel bans?” Moyo said. “My country was put on a red list, and I didn’t feel good about that. We know the repercussions.”

Flights to and from Botswana were canceled following the travel ban, which limited imports coming into the country, according to Moyo.

On Dec. 2, the nation’s president, Mokgweetsi Masisi, told CNN the travel bans were unacceptable, inhumane and demeaning.

“A lot of businesses lost millions,” Moyo said. “And our vaccine supply was being threatened because of delays on the way. Quite a trail of destruction.”

Masisi said four foreign diplomats who tested positive for Omicron, “came from a number of countries,” including some nations in Europe, according to the New York Times, though he declined to present evidence. Moyo said the economic fallout in Botswana has motivated locals to condemn him and his fellow researchers.

“A number of people are saying, ‘You scientists, you bigmouths, look what you’ve done. You’ve locked out Christmas,'” he said.

But Moyo stopped short of saying the reaction to Omicron’s discovery in Africa was racist.

Annual United Nations General Assembly Brings World Leaders Together In Person, And Virtually
The President of Botswana, Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi, speaks at the 76th session of the United Nations General Assembly at U.N. headquarters on September 23, 2021 in New York City. (Photo by Spencer Platt/Getty Images)
More
“I would call it an unfair treatment of African countries,” he said. “The Alpha variant was raging in the U.K. [months ago], and none of the countries put the U.K. on the red list. Because we understand that it’s a global village. Of course, we enhanced border screening, enhanced requirements for entering into the country, including maybe a quarantine and testing. But it was never shutting our door, because we understand that these viruses don’t respect our natural borders.”

The World Health Organization classified omicron as a “variant of concern” on Nov. 26. U.S. officials did the same four days later. Since then, the mutated virus, which is easier to catch than the original version of COVID-19, has spread throughout the world. U.S. health officials have found Omicron infected patients in at least 36 states as well as Puerto Rico and Washington D.C., according to the C.D.C.

Moyo said the disparity of vaccine distribution in wealthy and poorer nations could cause the pandemic to drag on longer.

“We have a significant part of the world that is less than 20% vaccinated,” he said. “If we increase vaccination in those countries, we are going to reduce the chances of this virus … giving it room to circulate in other parts of the world and generate more mutants.”

Getting more people vaccinated around the globe is the key to bringing the pandemic to an end, according to Moyo.

“If we really do our best and cover the world, I think we can win it together,” he said. “But if we try and do our own corners and not take care of what’s happening in other countries, I think we’ll still have another two, three years of this pandemic.”
👇👇

Screenshot_20210717-125057.png
 
Usilete siasa kwenye afya za watu mkuu
Anayeleta siasa ni nani kama si hao hao walioamua kuitumia corona kudhihirisha ubaguzi wa rangi uliojificha?

Si hao hao ambao mwanzoni walisema tutaokota maiti barabarani Afrika?

Iliposhindikana maiti kuokotwa barabarani wakakimbilia kwenye western supremacist mentality ya afya ya binadamu: utawasikia "low rate of vaccination in Afrika is a breeding ground of new virus of concern".

Sasa na hili lianasayansi la Botswana linajiingiza kichwa kichwa kwenye trap bila kutafakari kwa kina. Wanasayansi wa China au Urusi wasingeweza kufanya ujinga huo.
 
You are right kutawaliwa was the baddest thing kuwahi kutokea katika historia ya mwafrika. Hatukuwahi kurecover,

Hao Chinese hawakuwahi kutawaliwa na taifa lingine at least kwa historia ya miaka 1000 iliyopita. Mtu aliye huru kifkra anafanya mambo yake kulingana na anavyoona inafaa. That's what Magufuli was trying to do, he was playing by his own rules not by the phony rules set by others. And bro, we were doing so great.....so fine.....so free.... as a state up until about 9 months ago.
 
You are right kutawaliwa was the baddest thing kuwahi kutokea katika historia ya mwafrika. Hatukuwahi kurecover,

Hao Chinese hawakuwahi kutawaliwa na taifa lingine at least kwa historia ya miaka 1000 iliyopita. Mtu aliye huru kifkra anafanya mambo yake kulingana na anavyoona inafaa. That's what Magufuli was trying to do, he was playing by his own rules not by the phony rules set by others. And bro, we were doing so great.....so fine.....so free.... as a state up until about 9 months ago.
Wachina walitawaliwa na Wajapan.

Wayahudi wamepitia madhira mazito ya kitumwa ila wamesimama.

Magufuli alikuwa ni mpumbavu mjinga na huo upumbavu na ukipaza wa kibishi ndio uliomuua.
 
You are right kutawaliwa was the baddest thing kuwahi kutokea katika historia ya mwafrika. Hatukuwahi kurecover,

Hao Chinese hawakuwahi kutawaliwa na taifa lingine at least kwa historia ya miaka 1000 iliyopita. Mtu aliye huru kifkra anafanya mambo yake kulingana na anavyoona inafaa. That's what Magufuli was trying to do, he was playing by his own rules not by the phony rules set by others. And bro, we were doing so great.....so fine.....so free.... as a state up until about 9 months ago.
Usimpatie sifa Magufuli asizokuwanazo,jamaa alikuwa mbaguzi,katili na zaidi ya yote mwongo.
 
Wachina walitawaliwa na Wajapan.

Wayahudi wamepitia madhira mazito ya kitumwa ila wamesimama.

Magufuli alikuwa ni mpumbavu mjinga na huo upumbavu na ukipaza wa kibishi ndio uliomuua.
Japanese conquest of China 1931–1945 huwezi kuita hiyo ukoloni. Hizo ni conquests tu za kushambulia na kuteka ardhi sehemu fulani za nchi fulani. Nchi nyingi zilifanya hivyo pia Japan hakujikita kutaka kubadilisha mila, desturi na tamaduni watu wa nchi walizoshambulia. Hicho ni tofauti sana na utumwa na udhalilishaji wa mzungu alichomfanyia mwafrika.

Usitake kupuuza legacy ya ukoloni kwa maisha ya leo ya mwafrika. Kufanya hivyo ni kujenga kizazi shallow sana kifikra na kama kweli aina yako ya kuwaza inawakilisha watu wengi wa kizazi cha leo, pengine ndiyo maana hizi nchi zetu ni rahisi sana kurubuniwa na cheap propaganda na simple slogans za wakoloni mamboleo.

Achana na wayahudi maana wote tunajua nini maandiko matakatifu yanatwambia kuhusu watu hao.
 
Yeah, bila shaka jamaa alitangulia sana kifkra na kimawazo. Maoni yangu binafsi ni kwamba pengine watanzania hawakustahili kuwa na kiongozi kama yeye. Wengi bado kujitambua.

Well said mkuu…km wazungu wenyewe wamefunikwa akili na capitalist sembuse sisi mkuu…alikuwa mbele sana JPM, watanzania bado kujitambua baadooo…tuombe Mungu tu atudondeshee kiongozi mzalendo km yeye tena..bila hivyo watanzania tutazidi kusaga meno…

Kibaya zaidi maisha haya magumu tunaona ni haki yetu…kawaida kusweat bila kupata chochote in return…unatafuta hela kwa jasho pesa inaishia hospitalini na matibabu usipate…ignorance at its best..,cycle of poverty…
 
Majanga yakitokea kwao ni sawa...

Ila yakitokea Africa ni kama vile ndiyo mwisho wa Dunia...
 
Back
Top Bottom