BREAKING: MADAGASCAR QUITS WORLD HEALTH ORGANISATION OVER COVID-19 SCANDAL
Madagascar President, Andry Ranoelina, has removed his country from the World Health Organisation. He angrily said: "Europe created organizations with the desire for Africans to remain dependent on them. Africa has found...
Wimbi la tatu la janga la COVID-19 kwa kirusi cha Delta linasambaa kwa kasi barani Afrika na mpaka sasa nchi 16 za bara hilo zimebainika kukumbwa na kirusi hicho.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya duniani (WHO), kirusi hicho kinasambaa kwa kasi zaidi barani Afrika kuliko wakati wowote ukilinganisha...
DON NALIMISON NALIMI (born June 28, 1980), known professionally as DJ. DON NALIMISON, is rapper, RnB singer, songwriter, and record producer. Born and raised in KAHAMA, TANZANIA, EAST AFRICA, his biological father is an American Citizen by birth and his biological Mother is Tanzanian citizen by...
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ulaya, Hans Kluge amesema Wimbi jipya la Maambukizi haliwezi kuepukika ikiwa Wananchi na Viongozi hawataendelea kuwa na nidhamu
Wiki iliyopita maambukizi mapya yaliongezeka kwa asilimia 10 ambapo baadhi ya vichocheo vilivyotajwa kusababisha hali hiyo ni...
Shirika la Afya Duniani(WHO) limetangaza kuanzisha kituo cha kutengeneza chanjo za #COVID19 zinazotumia mRNA Afrika Kusini
Kituo hicho kitasaidia kuwapa utaalamu na leseni kampuni za Uchumi wa Kati na Chini kuzalisha chanjo hizo
Hadi sasa chanjo zinazotumia mRNA ni Astrazeneca na Moderna...
We Africans are blessed with longevity, you just have to know, which natural herbs to take. We drink, we eat and bath with natural herbs that keep us going. We may not be doctors that treat people in hospitals but we know the right herbs to keep us strong.
Nelson Golihlahla Mandela died when he...
Mkurugenzi wa Shirika la Afya (WHO) Afrika, Matshidiso Moeti amesema Afrika inakabiliwa na wimbi la tatu la mlipuko wa COVID-19 ambapo maambukizi mapya yameongezeka kwa 30% wiki iliyoisha na vifo kwa 15%.
Asilimia 76 ya maambukizi mapya yametajwa kutokea katika Nchi tano za Afrika Kusini...
Shirika la Afya Duniani limeonya kuwa kasi ya COVID-19 ni kubwa kuliko ile ya mgawanyo wa Chanjo, ikisema ahadi ya Mataifa ya G7 kutoa dozi Bilioni moja Nchi masikini haitoshi kwani uhitaji ni mkubwa.
WHO imesema zaidi ya 10,000 wanapoteza maisha kila siku na Jamii hizo zinahitaji Chanjo hivi...
Shirika la Afya Ulimwenguni WHO, limesema nchi tajiri kiviwanda za kundi la G7 zina uwezo wa kutoa dozi milioni 100 za chanjo ya Corona kwa nchi maskini mwezi Juni na Julai pekee kusaidia kufikia malengo ya utoaji chanjo duniani kote katika mkutano wao wa kilele wiki hii.
Mkuu wa WHO Tedros...
Afisa wa Juu wa Shirika la Afya Duniani amesema WHO haina mamlaka ya kuilazimisha China kutoa taarifa zaidi kuhusu asili ya mlipuko wa Virusi vya Corona
Hivi karibuni Nadharia ya kuvuja kutokea Maabara iliyopo Wuhan kwa bahati mbaya imekuwa na mjadala mpya baada ya Wanasayansi kadhaa kutaka...
The assassination attempt was carried out in the same style as those that led to the death of over 28 people, including top government officials, in the past seven years.
President Museveni has vowed to “defeat” armed assailants who attacked and injured former Works and Transport minister Gen...
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Watumishi wote wa Afya na Wazee ulimwenguni wangekuwa wamepata Chanjo dhidi ya COVID19 ikiwa zingegawanywa kwa usawa
Amesema Serikali ambazo zinatoa chanjo kwa watu katika makundi yasiyo hatarishi zinafanya hivyo kwa...
Nimejaribu kuifikiri na kuichambua kauli iliyotolewa na WHO Director General sijafika mwisho ila ni kauli inayofikirisha sana.
"COVID-19 not a priority: COVID-19 does not register as a priority for the millions of people affected by the conflict because of the myriad other threats they face...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema takriban watu Milioni 5 Tigray Nchini Ethiopia wanahitaji msaada hususan wa Chakula na wengi wanapoteza maisha kutokana na njaa.
Mkuu wa Shirika hilo, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema pamoja na ukosefu wa chakula, huduma za Afya zimeharibiwa na...
Kenyan scholar, Prof Washington Yotto Ochieng, the man who solved the London transport crisis, has been promoted to serve as a faculty head at United Kingdom's Imperial College.
Kenyan High Commissioner to UK Manoah Esipisu made the announcement on the evening of Saturday, May 15, that Yotto...
India ni nchi inayotengeneza na kutoa chanjo ya Corona kwa wingi zaidi kwa nchi za Afrika kupitia mpango wa COVAX, lakini wimbi jipya la maambukizi ya virusi linalotokea nchini humo litasababisha ugumu kwa utoaji wa chanjo. Kutokana na nchi nyingi za Afrika kumaliza sehemu ya kwanza ya chanjo...
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ni Mtu 1 kati ya 500 kutoka Nchi za kipacho cha chini ndio ana uwezo wa kupatiwa Chanjo ya COVID19 ikilinganishwa na Nchi zilizoendelea ambapo mtu 1 kati ya 4 amepata Chanjo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) António Guterres amesema hakuna...
WHO imetoa idhini ya dharura kwa Chanjo dhidi ya COVID19 iliyotengenezwa na Kampuni ya China ya Sinopharm. Imeshauri itolewe kwa dozi mbili kwa walio na miaka 18 na kuendelea.
Japokuwa Chanjo hiyo tayari imetolewa kwa Mamilioni ya watu China na sehemu nyingine, idhini ya WHO ni mwongozo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.