whatsapp

  1. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Soon inakuja whatsapp ya kiswahili

    Kampuni ya meta iko mbioni kushusha whatsapp yenye menu za kiswahili ili kueleweka zaidi wa jamii ya watumiaji wa kiswahili. Kiswahili cha kenya ndicho kitatumika maana kenya ndio inajulikana kwa kiswahili. Ila mimi sijawahi penda kutumia kiswahili kwenye apps au social media au hata menu za...
  2. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya kutumia whatsapp kwenye PC

    Habari ni majanga kidogo nimepata kwa sasa sina simu ya smart na whasapp ya pc inataka uscan je nijinsi gani nitaweza kuitumia kwa kusajili namba moja kwa moja. Ahsante
  3. Fifteen

    JamiiForums Tanzania mwenye link ya whatsapp for pc

    habari wakuu naomba mwenye link ya whatsapp for pc ambayo tatumia bila kulink na mobile phone
  4. beth

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

    Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake akisisitiza, "Ukiona anakupigia simu ya aina hiyo mpeleke mbele ya Tume ya Utumishi wa Mahakama" Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa...
  5. Sir John Deere

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeleft group la WhatsApp la Familia ya mke wangu

    Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka. Je, nitakuwa nimekosea?
  6. Vannyram

    JamiiForums Tanzania Software ya kulock whatsapp

    Samahani wakuu Naomba msaada wa kupata software inayofanya kazi ya kulock account ya mtu ya whatsapp ili asiweze kutumia na kuirudisha ktk hali yake ya mwanzo bila ya kuwa na simu hiyo karibu. Asante.
  7. Mawematatu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mtandao maarufu wa WhatsApp GB hii kitu kitaalamu inakaaje

    Habari za Xmas niende Moja kwa Moja kwenye mada. Majuzi nilijiunga na mtandao huu. Hapo nyuma nikiwa natumia WhatsApp ya kawaida sikuona hizi mambo....kwa namna WhatsApp GB ilivyo ukiwa online nakuona na ninaambiwa kabisa XY is online. Na mengine mengi.
  8. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Group Admin kuwa na uwezo wa kufuta jumbe kwenye group la WhatsApp.

    Group Admin kuwa na uwezo wa kufuta jumbe kwenye group la WhatsApp. Mtandao wa WhatsApp kufanya maboresho na kuruhusu kiongozi wa kikundi (Group Admin) uwezo wa kufuta jumbe kwenye kikundi. Hivyo group Admin atakuwa na uwezo wa kudhibiti mijadala kwenye group boresho hili WhatsApp wamepanga...
  9. Kasomi

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Unafanya Majaribio Ya Mfumo Wa Kutuma Na Kupokea Crypto

    Miezi sita iliyopita kampuni ya Meta ilitoa Wallet yake ya Crypto ambayo inaitwa Novi Wallet na inatumia Stablecoin ya Pax Dollars (USDP) ambayo ni crypto yenye thamani sawa na Dola 1. WhatsApp imeanza majaribio ya kuunganisha Wallet ya Novi na WhatsApp hivyo utaweza kutuma na kupokea pesa...
  10. Kasomi

    JamiiForums Tanzania WhatsApp imeweka mfumo wa "Disappearing Messages" kwa chatting mpya

    Wiki hii WhatsApp inaweka uwezo wa kuchagua mfumo wa Disappearing Messages katika chats zote mpya. Disappearing Messages ni option ya kuamua chats zifutike baada ya masaa 24, Siku 7 au Siku 90. Mfumo mpya unaofanana na mfumo wa Snapchat, utawezesha watumiaji kuweka option ya Disappering...
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania WhatsApp na iMessages inawapa FBI taarifa nyingi za watumiaji

    Taarifa za FBI zimeonesha wanaweza kupata taarifa nyingi za watumiaji wa mitandao ya kijamii ya WhatsApp na iMessage ambapo mitandao kama signal na Telegram imeonekana kutotoa taarifa nyingi za watumiaji Hata ukiwa mtumiaji wa Iphone FBI hupewa taarifa hizo na kampuni muda wowote...
  12. Daktari wa Manchester

    JamiiForums Tanzania Whatsapp hidden secrets

    Habari za mda huu. nIngependa kushare nanyi baadhi ya tips unazoweza ukazitumia kuifanya Whatsapp Yako ionekane vizurii na yenye mvutoo mbinu ya kwanza 1.Font style.ni namna maneno unayotype yanavyoonekana inaweza ikawa bold,italic,monospace za kadharika pia na strike through unachotakiwa...
  13. Kasomi

    JamiiForums Tanzania WhatsApp inafanya majaribio ya kuweka sehemu ya kuzuia “Last Seen” isionekane kwa baadhi ya contacts

    WhatsApp inafanya majaribio ya kuweka sehemu ya kuzuia “Last Seen” isionekane kwa baadhi ya contacts. Kwa kawaida unaweza kuzuia “Last Seen” isionekane iwe inaonekana kwa marafiki zako tu; unaweza kuchagua iwe inaonekana kwa watu wote; au unaweza kuchagua isionekane kwa mtu yoyote. Mabadiliko...
  14. Kasomi

    JamiiForums Tanzania WhatsApp imetoa App mpya kwa watumiaji wote wa Windows

    WhatsApp imetoa app mpya kwa watumiaji wote wa Windows. App mpya ya WhatsApp imebadilishwa UWP (Universal Windows App) yote ili kuendana na Windows 11 na Acrylic graphics Effects mpya za Windows. Kwa sababu inatumia mfumo mpya, Inafunguka faster sana (chini ya sekunde 2); ina maboresho ya...
  15. Kasomi

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Imefanya maboresho Sehemu ya Backup

    Mfumo wa End-to-end encryption unazuia WhatsApp, mitandao ya simu na kampuni za Internet kuona kinachoendelea katika mazungumzo, messages na files. Lakini hapo mwanzo mfumo huo ulikwepo katika chats na calls za WhatsApp tu. Wahuni na hackers wakitaka kuchunguza chats zako walikuwa wanatafuta...
  16. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Facebook wabadili jina, sasa kuitwa Meta

    Hivi karibuni facebook walitangaza kuwa watabadili jina. Leo wametangaza jina lao jipya kuwa ni Meta. Meta ilikuwa initiative ya mke wa Mark, leo Facebook imebadili jina na kujiita Meta. Nguvu ya mapenzi hii. Karibu meta. --- Facebook has changed its corporate name to Meta as part of a...
  17. Richard

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Kuanzia tarehe 1 November WhatsApp kuacha kutumika kwenye baadhi ya simu za iPhone na Android

    They are doing it again! WhatsApp moja ya mitandao maarufu duniani ya kijamii, kuanzia jumatatu ijayo ya tarehe 1 November itasitisha kutumika kwake kwenye baadhi ya simu za iPhone na zimu za Android. Simu zote za Android zenye toleo la OS 4.0.4 hazitaweza kutumia WhatsApp ikiwa ni pamoja na...
  18. Ferruccio Lamborghini

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Simu ambazo ifikapo mwezi Novemba 2021 hazitaweza kuingia WhatsApp

    MAELFU Ya watu duniani wanatumia mtandao maarufu wa WhatsApp kuwasiliana na ndugu, jamaa na watu wao wa karibu kwa meseji na video lakini watu wengi watashindwa kuitumia huduma hiyo kutokana na mifumo ya simu zao kuanzia mwezi Novemba mwaka huu. Kwa mujibu wa ripoti zilizotolewa na chapisho la...
  19. mama D

    JamiiForums Tanzania WhatsApp will stop working on loads of old phones in November 2021

    2021 is about to end in the next three months and that means there is another cycle of WhatsApp ending support for some Android smartphones and iPhones. WhatsApp has shared a list of devices that will no longer support the WhatsApp messaging app starting November 1, 2021. In general, these...
  20. Kasomi

    JamiiForums Tanzania WhatsApp kufanya maboresho kwenye mfumo wa ujumbe sauti (Voice notes)

    Mtandao wa WhatsApp unao milikiwa na kampuni ya facebook unafanya maboresho kwenye ujumbe sauti yaani voice notes. Awali mtandao huo ulikuwa unalazimika mtumiaji kurudi kwenye Application yake endapo akitumiwa ujumbe wa sauti. Hivyo mwanzo ukitumiwa ujumbe wa sauti endapo haupo kwenye...
Back
Top Bottom