wenzangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi nyie wenzangu huwa mnawezaje kula viporo?

    Siko hapa kumbeza yeyote, ila kuna kitu mimi binafsi kimenishinda kabisa katika maisha yangu. Huwa naona na kusikia watu wanasifu kiporo cha wali maharage au wali kisamvu na chai ya maziwa eti ni kitamu sana. Mimi binafsi toka nikiwa mdogo chakula chochote kilicholala huwa siwezi kukila,yani...
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Vp wana manyuuu wenzangu, bado mna imani na kocha amorim?

  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Wana CCM wenzangu tutulieni kwanza tupewe Mwongozo namna ya kumjibu Polepole. Tunaruka na kukanyagana wenyewe

    Wana CCM wenzangu tutulieni kwanza tupewe Mwongozo namna ya kumjibu Polepole. Tunaruka na kukanyagana wenyewe. Jamaa ameharibu sana. Sasa tusikurupuke tu tunazidi kujidhalilisha. Tunaonekana vilaza. Simu zinapigwa kuwaomba watu wa IT wajaribu kutupa maelekezo ya kulifukia hili. Ninyi vilaza...
  4. Seran

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Naombeni kuuliza kwa unyenyekevu, mabinti Sayuni wenzangu mnawezaje kuendelea kuishi mkiwa single bila kushiriki dhambi ya uzinzi? Mimi binafsi najikuta kama ni vita ngumu, hasa wakati mwingine hisia zinapozidi. Je, mnaweza kushiriki mbinu au njia mnazotumia kudhibiti mwili na hisia hadi pale...
  5. McLaren

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Kwa utaratibu huu uliopo kwenye harusi ya kabila hili la Kinigeria, wanaume wenzangu tungetoboa kweli?

    Wakuu, Nimekutana na video hii ya harusi ya watu wa kabila moja huko Nigeria, nimewaza sana kwa vyuma vilivyokaza sidhani kama wanaume wa Kitanzania hasa wa Daslam wangeweza. Huu utaratibu uko huko kwenye kabila moja la Nigeria linaitwa Ijaw ambapo mwanamke akiwa Bi Harusi kwenye harusi yake...
  6. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenzangu hebu tujitathimini hivi Karne ya sasa ni yakushangaa nyumba ya mtu tena kwa mtu mzima? Hii ni aibu!

    Tunatia aibu kwakweli unaona kabisa mtu mzima amesoma lakini bado anashangaa nyumba za watu kwa kulalamika as if amekatazwa naye kujenga nyumba Kama hyo anayoishangaa, hebu vitu Vingine acheni viwapite. Eti oooh! Marehemu kaacha nyumba kubwa Sana, ww inakuhusu Nini? Eti oooh siasa inalipa kwani...
  7. P

    JamiiForums Tanzania NANENANE: Jumla ya Trekta 500, Power Tiller 800, Magari 44, pikipiki 6,444, Vishikwambi 5,426 na vipima udongo 143 vimenunuliwa ndani ya miaka 4

    ||| Rais Samia amenunua vitendea kazi kwa ajili ya sekta ya kilimo magari 44, pikipiki 6,444, vishikwambi 5,426, na vipima afya ya udongo 143, Trekta 500, Power Tiller 800 ndani ya miaka minne. Tumenunua na kusambaza vitendea kazi kwa ajili ya kuboresha huduma za ugani na kuimarisha uzalishaji...
  8. Pearce

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu, tujihadhari na ahadi za rejareja au kuahidi unamuoa mtu

    Wanawake wa siku hizi, Hawataki mchezo kabisa. Na atakuuliza kabla ya kukutana nae kimwili siku hiyo kama utamuoa. Ogopa sana kutokana na hamuhamu zetu wengi hapo ili tu kuridhisha mwili huwa tunatamka kukubali. Na shida huanzia hapo katika ulimwengu wa roho inakuwa kama kiapo cha neno...
  9. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Wapenda mitungi wenzangu - njooni hapa tuitetee Pombe

    Maskini pombe, haina mdomo wakumsema mtu vibaya, haina miguu kusema itamfata mtu nyumbani kwake, yenyewe imejitulizia ndani ya kifungashio chake kimya.... lkn kutwa kuchwa ipo midomoni mwa watu kusemwa vibaya na kusingiziwa malalamiko kibao. Hebu cheki hapa baadhi ya hali/mambo ambayo pombe...
  10. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Wanayanga wenzangu huyu Kouma mnamwonaje?

    Nmeona ingizo jipya la huyu Kouma (tamka K with U) je mnamwonaje? Anaweza kutufikisha mbali? Maana tayari kuna team Kouma imejipambanua ikimpigia debe na kutangaza jersey yake mgongoni na jina lake kuuuuubwa.
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya wale Wanaume wenzangu tunaopenda Wanawake wenye Mizigo (Makalio) na hatuwapendi Mbaumbau (Wasionayo) tumepewa Ukweli Kamili na Mtaalam

  12. K

    JamiiForums Tanzania Wahenga wenzangu tukumbuke ya kale

    Hakika ya kale ni dhahabu ,ni mengi tuliyafanya enzi zetu lakini kutokana na sayansi na teknolojia mambo yamebadilika kabisa. Haya ni machache kati ya mengi tuliyofanya enzi zetu. 1: kijiji kizima kulikuwa na duka moja la ushirika siku bidhaa ikiletwa wananchi wanajipanga mstari kupokea japo...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Wabahili wenzangu tukutane hapa, umekusaidia au kukurudisha nyuma, ulijuajaje wewe ni bahili, umerithi ama kujifunza

    Sikujua mimi ni bahili mpaka nilipoona watu wengi wakiniita mbahili lakini mimi nilikuwa naonaga kawaida tu, Imekuwa ni mazoea kwangu kuwa sensitive sana hata kwa utofauti wa bei ndogo, nahisi maumivu Kitu flani nikikuta elfu 50 duka flani na nikaenda duka la mbali kinauzwa elfu 52 nipo tayari...
  14. ngara23

    JamiiForums Tanzania Wanasimba wenzangu tujikumbushe ahadi za Jay Rutty, muda wa utekelezaji ndo huu

    Kampuni ya Jay Rutty ndo ilishinda zabuni ya kutengeneza na kuuza jezi za Simba na kuwa waliweka mezani zaidi ya billion 38, Hilinlilikuwa jambo tamu masikioni mwa wanasimba Mbali na mapesa hayo Jay Rutty aliahidi ahadi kedekede 1. Kujenga uwanja Bunju wa Mashabiki zaidi ya 10,000 Hadi Leo...
  15. The Supreme Conqueror

    JamiiForums Tanzania Ahmed Ally: Yanga wapo hatua 10 mbele zaidi wana Simba wenzangu tuamkeni watatawala soka letu uwanjani hadi katika maamuzi

    AMEANDIKA AHMED ALLY Nimeona taarifa kutoka kwa @jemedarisaid kuhusu Nyuma Mwiko kumuwekea pingamizi Mgombea Urais wa TFF Wallace Karia, sina mashaka na taarifa zake lakini kamati ya uchaguzi ya TFF itatoa taarifa ya uchaguzi na tutathibitisha zaidi Kitendo cha Nyuma Mwiko kumwekea Wallace...
  16. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Zesheni ndio Nini wazee wenzangu?

    Hili neno limeenea Kila mahali sijui Lina maana Gani?
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana Simba SC Wenzangu hapa JF hivi huyu Shabiki Mandala siyo 'Pancha' kweli?

    Kila Siku ninavyozidi kumtizama katika Mitandao mbali mbali naona kama vile simwelewi na kama vile ni Pancha Kubwa.
  18. M

    JamiiForums Tanzania Nimeapply field tangu mwezi 4 bado sijapata field. Naomba usaidizi

    Habari zenu Wana JF. Nimeapply Kwa Ajili ya Field Tangia mwezi wa 4 ila bahati mbaya mpaka sasa sijapata field. Mwenye msaada anisaidie tafadhari Tunaanza field tarehe 21/7 na kumaliza tarehe 12/9 nipo mwaka wa pili UDSM Course ni BCOM IN BANKING AND FINANCIAL SERVICES. Natanguliza shukrani
  19. Sheffer95

    JamiiForums Tanzania HIvi wanaume wenzangu mlifanyaje?

    Unakuta una mtaka mwanamke umfanye mchepuko wako na umpe maisha ila anakukataa. Lakini unapata stori anatoka na wanaume za watu, ambao umewazidi kila kitu kuanzia maisha, n.k na anateseka tu kila siku ila wewe ukimwambia umfanye mchepuko na umuhudumie vizuri na kumjengea hakutaki? Hivi...
  20. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Simba ila mashabiki wenzangu ni mambumbumbu ila Mimi nimegoma kuwa mbumbumbu

    Mwaka wa nne hatuna hata kombe la kahawa na tumeambulia vichapo vikali kutoka Kwa watani wetu Yanga Goli 5 na kufungwa mechi 5 halafu mbumbumbu wenzangu mmekua mbumbumbu kiasi kwamba tulikua tunamtukana Mangungu kwamba katyuza halafu ghafla tukasahau Kwa chawa wakina kisugu na kina mzarami...
Back
Top Bottom