kadiri kasimba
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 588
- 1,144
Tatizo la kutokuhuzuria vikao ndo Haya sasa,
Wanaume na nyie baadhi yenu Kuna kaushamba flani mnako Tena kanaboa saana ndo maana hata mnavyo tongoza wadada wanawakataa ......mfano mtu.....
👇
anakuja inbox 📥 anakwambia dada mambo ...wajibu poa....anakuliza unakaa wapi....wamjibu pengine mwanza....anakuliza umeolewa au una mpenzi...unamjibu ninae au Sina.....anakuliza una miaka mingapi...wamjibu ......kibaya zaidi anamalizia kukuambia lete story.....duh so sad ðŸ˜ðŸ˜ kwa kweli inatia huluma Kuna wanaume kutongoza ni mtihani........Sasa mpaka mdada wawatu anajiuliza huyu kaka ni mwandishi wa habari au.maana so kwa maswali hayo.....wewe unataka utelezi binti kuwa na mke au mpenzi inakuhusu nini.....unamuliza miaka unataka umpelekeee jeshi.......unamwambia lete story zipi hizo story unataka akuletee....... kiukweli Kuna wanaume wanakera kama madomo zege........yaani mdada wawatu umemuita amekuheshimu kasimama badala ukamwage sera unaenda kumuhoji maswali yasio na msingi kuliko kwenda kwenye point.......angalau fika tanguliza samahani kwa muda wako kama hutojali nisaidie no ako nikitulia ntakuchek wewe anasimama unaenda kumuliza una mpenzi......
Muwe mnahudhuria vikao!
Wanaume na nyie baadhi yenu Kuna kaushamba flani mnako Tena kanaboa saana ndo maana hata mnavyo tongoza wadada wanawakataa ......mfano mtu.....
👇
anakuja inbox 📥 anakwambia dada mambo ...wajibu poa....anakuliza unakaa wapi....wamjibu pengine mwanza....anakuliza umeolewa au una mpenzi...unamjibu ninae au Sina.....anakuliza una miaka mingapi...wamjibu ......kibaya zaidi anamalizia kukuambia lete story.....duh so sad ðŸ˜ðŸ˜ kwa kweli inatia huluma Kuna wanaume kutongoza ni mtihani........Sasa mpaka mdada wawatu anajiuliza huyu kaka ni mwandishi wa habari au.maana so kwa maswali hayo.....wewe unataka utelezi binti kuwa na mke au mpenzi inakuhusu nini.....unamuliza miaka unataka umpelekeee jeshi.......unamwambia lete story zipi hizo story unataka akuletee....... kiukweli Kuna wanaume wanakera kama madomo zege........yaani mdada wawatu umemuita amekuheshimu kasimama badala ukamwage sera unaenda kumuhoji maswali yasio na msingi kuliko kwenda kwenye point.......angalau fika tanguliza samahani kwa muda wako kama hutojali nisaidie no ako nikitulia ntakuchek wewe anasimama unaenda kumuliza una mpenzi......
Muwe mnahudhuria vikao!