NAUNGANA NA SPIKA NDUGAI, VIJANA WENGI SIO WAAMINIFU, TENA WAVIVU
Na, Robert Heriel
Kauli ya SPIKA NDUGAI ni kauli thabiti yenye ukweli kwa 100% ndio maana naungana nayo.
Ndugai anamadhaifu yake mengi tuu lakini kwenye hii kauli yake yupo sahihi. Vijana wengi watampinga, watamtukana...
Wakuu kwema!
Zamani wazee wetu walikuwaga wajinga wengi wao walitishana mambo ya hovyo sana.
Hakuna uwepo wa Albadili wala laana ya mzazi wengi walilogwa.
Wazee wote wanajua hili kuwa hawana uwezo wa kumlaani mtu/mtoto akalaanika. Ninao ushahidi usio na shaka wa wazee waliowahi kujieleza...
Wanawake wa siku hizi sio kama wa zamani. Zamani wanawake walikuwa na mapenzi ya kweli. Mtu alikuwa anakaa kwenye ndoa na mahusiano bila stress. Mtu alikuwa anatunza, anasomesha na kisha kuoa bila kukwazana.
Siku hizi mambo yamebadilika sana. Watu wameamua kujidunga mitungi na kwenda homu...
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wafuasi wa Shujaa wetu juu ya kitendo cha baadhi ya Watanzania wenzetu kumsema shujaa wetu kwa mabaya.
Malalamiko haya si mitaani na kwenye mitandao ya kijamii tu bali mpaka kwa baadhi ya viongozi wa serikali na bungeni.
Walalamikaji wanadai wanaoneza ubaya...
Habari wadau;
Ni hivi;Nilitembelewa na wakaguzi wa TRA ofisini kwangu.Walipofika walianza kuniuliza maswali mengi na nikawapa nyaraka zote walizotaka na kwa mujibu wa Taarifa zangu kodi yangu nilishalipa yaani sikuwa na deni.
Basi baada ya kuona niko safi wakaanza kuniuliza maswali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.