sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
kwa sasa nadhani wengi mmekuwa mashuhuda wa matokeo ya form 4 na form 6, hapo zamani ufaulu ulikuwa ni mdogo sana, si ajabu kukuta darasa zima lina division 4 na 0 pekee, Na linapokuja swala la ufaulu basi zanzibar ilikuwa ikishika mara kwa mara namba za mwisho, wazanzibar wengi walikuwa wanafeli kupita maelezo.
Ila kuanzia miaka ya 2018 matokeo ni mazuri mno kote Bara na zanzibar, Sikuhizi ufaulu umeongezeka mno, Ni kawaida sama kukuta darasa halina division 0 na 4, hata zikiwepo basi za kumulika kwa tpchi.
Ufaulu huu unaashiria kwamba sasa wazanzibari wengi wameanza kujaa vyuoni ili kusomea taaluma mbali mbali na kuhitimu huku wakiwa na sifa za kupata ajira katika fani kama uhandisi, udaktari, uhasibu, tehama, ualimu, n.k. Mimi ni shuhuda nmeona wazanzibar kibao sikuhizi katika vyuo vya huku bara, hususan kuanzia 2019.
miaka ya nyuma wazanzibari wengi sana walikuwa wanapata divisioni 0 na 4 nyingi sana kuliko mkoa wowote Tanzania, wengi wakawa hawana sifa za ajira, Walippata hizo division 4 wengi ndio hawa mnawaona polisi, jkt, jwtz, n.k
Sasa nilikuwa naona ni bora zanzibar waanze kupewa ajira za huku bara walau asilimia 25 za ajira maana hata ajira zimekuwa zikitangazwa mara chache, basi zinapotangazwa wachukuluwe wazanzibar 25% na sio 21%
Mfano zikitangazwa ajira za Tra, Bot, Nssf, Bandarini, Pccb, n.k basi katika kila watu 100 kuwepo na wazanzibar 25 na sio 21,
Asanteni sana,
Ila kuanzia miaka ya 2018 matokeo ni mazuri mno kote Bara na zanzibar, Sikuhizi ufaulu umeongezeka mno, Ni kawaida sama kukuta darasa halina division 0 na 4, hata zikiwepo basi za kumulika kwa tpchi.
Ufaulu huu unaashiria kwamba sasa wazanzibari wengi wameanza kujaa vyuoni ili kusomea taaluma mbali mbali na kuhitimu huku wakiwa na sifa za kupata ajira katika fani kama uhandisi, udaktari, uhasibu, tehama, ualimu, n.k. Mimi ni shuhuda nmeona wazanzibar kibao sikuhizi katika vyuo vya huku bara, hususan kuanzia 2019.
miaka ya nyuma wazanzibari wengi sana walikuwa wanapata divisioni 0 na 4 nyingi sana kuliko mkoa wowote Tanzania, wengi wakawa hawana sifa za ajira, Walippata hizo division 4 wengi ndio hawa mnawaona polisi, jkt, jwtz, n.k
Sasa nilikuwa naona ni bora zanzibar waanze kupewa ajira za huku bara walau asilimia 25 za ajira maana hata ajira zimekuwa zikitangazwa mara chache, basi zinapotangazwa wachukuluwe wazanzibar 25% na sio 21%
Mfano zikitangazwa ajira za Tra, Bot, Nssf, Bandarini, Pccb, n.k basi katika kila watu 100 kuwepo na wazanzibar 25 na sio 21,
Asanteni sana,