Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Akizungumza kwenye kipindi cha Clouds 360 Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Sheria ya Ulinzi wa Taarifa ni ya msingi katika Tanzania ya kidijitali, ili watu wajiamini na kuwa huru
Haki hii ya Faragha ipo kwa mujibu wa Ibara ya 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na wadau mbalimbali wamekuwa wakihamasisha kutungwa kwa sheria ya kulinda na kuhifadhi faragha
Hivi karibuni kulikuwa na malalamiko ya wananchi kuwa mawasiliano yao yanaingiliwa bila utaratibu wala sheria inayoeleweka
Haki hii ya Faragha ipo kwa mujibu wa Ibara ya 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na wadau mbalimbali wamekuwa wakihamasisha kutungwa kwa sheria ya kulinda na kuhifadhi faragha
Hivi karibuni kulikuwa na malalamiko ya wananchi kuwa mawasiliano yao yanaingiliwa bila utaratibu wala sheria inayoeleweka