Naamini imekuwa ni shangwe kwa watumishi husika kwa ongezeko la mshahara kwa 35% ambayo ni kutoka 370 000 hadi 500 000 ambayo ni sawa na 130 000,
Kitanzania hii pesa inaweza kuwa kubwa kulingana na mahitaji yetu ya kila siku ambayo ni ya lazima(pia hutegemeana na mtu), Lakini pia inaweza kuwa ni...
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Frank Kailembo amekemea wanasiasa wanaowasemea watumishi wa umma na kueleza kuwa yapo majukwa na taratibu za kisheria zinazowapa mwanya wa kuwasilisha changamoto zinazowakabili.
Kailembo amesema hayo katika madhimisho ya Siku ya...
Watumishi Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC),makao makuu na Kampasi ya Dar es Salaam
wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ‘Mei Mosi’ ambayo kimkoa yamefanyika katika wilaya ya Kinondoni kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es Salaam
Mgeni Rasmi...
Ingekua enzi za Magu kwanza kusingekua na sherehe pili angetoa tamko gumu kumeza la kuchapa kazi lakini huyu mama ndio kwanza kesho watumishi kibao hawataingia kazini mpaka jumatatuuuu na kodi zetu zimewalipa leo kwenda Singida
Wanabodi
Utangulizi,
Hili ni bandiko elimishi la kuelimisha watu humu dhana ya uwajibikaji.
Je unajua kuwa mwajiri mkuu。wa watumishi wote wa umma,wakiwemo watumishi wote wa serikali,Bunge,Mahakama,wizara,idara,na wakala za serikali,na mashirika yote ya umma,mwajiri wao mkuu ni Rais wa JMT na...
Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameshiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani 'Mei Mosi' 2025 yenye Kauli mbiu 'Uchaguzi Mkuu 2025 Utuletee Viongozi Wanaojali Haki na Maslahi ya Wafanyakazi, Sote Tushiriki'.
Maadhimisho hayo yamefanyika Kimkoa...
"Hoja nyingine imekuwa ni upungufu wa wafanyakazi ambayo Waheshimiwa wabunge wameeleza, nataka nitoe tu taarifa kuwa tumepata kibali cha kuajiri watumishi 570 kwa mwaka 2024/25, utaratibu unakamilishwa, watumishi hao waweze kupangiwa majukumu yao.
Serikali pia imepanga kuajiri watumishi wengine...
Yaani hakuna wa kumsumbua mwenzake. Mtu akipata mwanya anazichota tu.
Aiseee hatari.
Ndio maana sasa hivi mtu anaanzisha campaign yake yoyote anaibatiza tu kwa jina la mama anakwenda kuchukua pesa
Mimi nataka nianzishe campaign ya "mama kaupiga, 2025 njia nyeupe"
Ukiwapigania Watanzania...
Wasalam mabibi na mababu,
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza, Toka mwezi March tarehe 24 kulitoka tangazo la mikopo ya Hazina isiyo na Riba kwa watumishi takriban Halmashauri Nyingi Tu Nchini, Dirisha la kuomba kupitia Hazina Portal liliwekwa mpaka Tarehe 5 April. Baada ya hapo kukawa na...
Habari za jioni.
Nimeshindwa kupata usingizi kutokana na wimbi la mawazo.
Wakuu Take home yangu 613K Mimi ajira mpya mwaka jana ila nimekuwa na wimbi la mawazo na kuona kama sitaweza kutoboa labda nIpate washauri wengine wa maisha labda.
Nnafanya kazi mkoani,ila kadri siku zinavyoenda ninaona...
Tangu Jumamosi nilidhani wangelipwa, lakini hadi leo kimya. Isije kuwa wameshalipwa wakaamua kunyamaza.
Biashara imekuwa ngumu jamani—wadeni wangu, kama mmepokea malipo, tafadhali msinisahau.
Katika moja ya mambo ambayo nchi yetu imerithi kutoka kwa wakoloni ni hili la kuwalipa mishahara mapema watumishi wa majeshi hasa JWTZ na kuwaacha watumishi wengine wakisota kwa muda inatakiwa ukomeshwe kama sio kupigwa vita kabisa. Sote tunafahamu kuwa katika nchi yetu kumeundwa vyama...
Si vyema kutaja idadi ya Wakristo walioko kwenye utumishi wa umma ila kila mtu anajua kuwa Wakristo wako wengi sana kwenye corridor za majengo ya umma.
Leo ni sherehe muhimu sana kwa Wakristo kuliko sherehe zote.
Mishahara mara nyingi inatoka tarehe 21-24 za kila mwezi. Wangewahisha tarehe 17-19...
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Zungu ametoa wito kwa madaktari na wauguzi kote nchini kuwa na utu wanapowahudumia wagonjwa, hususan wale wanaoshindwa kulipia gharama za matibabu kwa wakati.
Akizungumza bungeni leo Alhamisi Aprili 17, 2025 wakati wa kipindi cha...
Unajua, kuwa mtumishi wa umma, haimaanishi utaishi kwa kutegemea mshahara tu, inabidi ujishughulishe either na biashara au kilimo. Kilimo kwa mtumishi inawezekana lakini kwa kutegemeana na eneo husika.
Watumishi wengi wanakuwa wanakimbilia kufanya biashara ili angalau kuongeza kipato chao. Iwe...
Itakumbukwa mwaka jana watumishi walioajiriwa 2005 kurudi nyuma waliseleleka hadi daraja G by default bila kujali daraja alilokuwepo!
Je, ajira za 2006 na kuendelea tukae mkao wa kula mwezi ujao?
Leo nawaletea stori nne (4) ambazo zinawachelewesha watumishi (waajiriwa) kwenye maendeleo binafsi.
1. KUSIMULIANA STORI ZA MPIRA, MAPENZI NA POMBE:
Hii ni kwa watu wengi, lakini kwa wafanyakazi (waajiriwa) imeshamiri sana. Waajiriwa wanapokuwa kwenye uhuru wa kupiga stori hasa wakati wa Lunch...
Pichani: Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF, Ndg. Eliudi Sanga, akitoa somo Kuhusu Nafasi ya Kasi na Viwango katika mduara wa utoaji huduma (service delivery cycle time) kwa watumishi wa NHIF hivi karibuni.
"Service delivery cycle time" refers to the total time it takes to complete a service request...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.