aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 1,212
- 2,002
Hakuna watu nawacheka kimoyomoyo kama washkaji wenye watoto wakike tupu.
Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuza😁
Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewe😕😕
Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuza😁
Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewe😕😕