Hili la wanawake kuwa na wanaume wengi limekuwa kama sheria waliyoipitisha wenyewe.
Yaani asilimia ndogo sana wanawaume zao baasi, hawa 1970 hadi 1990, hawa wa 2000 kuja 2010 asilimia kubwa wana mabwana zaidi ya wawili watatu, nani kawaruhusu?
Kama huamini na kama ni kidume chukua mtoto wa...