watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Imezidi sasa na tena ni dharau kwa Watanzania. N wakati wa CCM kuondoka sasa tumechoka!

    Hali ya kisiasa nchini imeendelea kuwa mbaya na demokrasia yetu inazidi kutoweka kwa kasi kubwa. Tumefika pahali vyama vya upinzani vinafutwa kienyeji hivi. Juzi tuliona CHADEMA wakinyimwa ruzuku, leo wamefungiwa kabisa kushiriki siasa! Nafikiri ni wakati wa mfumo CCM kuondoka madarakani kwa...
  2. Bramo

    Kataa CCM = Kataa Ushabiki wa Simba na Yanga

    Moja ya Vichaka ambavyo Chama Cha Mapinduzi,CCM Kimejifichia ni kupitia Ushabiki wa Simba na Yanga. Hiki Kichaka kimewatoa kwenye Mstari Wa Tanzania kuacha kufuatilia Mambo Muhimu kwa mustakabali wa Maisha yao, mfano kuimulika na kuiwajibisha Serikali katika utendaji wake. Kwa sasa wa Tanzania...
  3. Stuxnet

    Grok: Kuna Watanzania 21 Millioni kwenye social media

    Kwa mujibu wa AI ya Grok; Idadi ya Watanzania kwa Ujumla: Kulingana na sensa ya 2022, idadi ya Watanzania ilikuwa milioni 61.7, na inakadiriwa kuwa itaongezeka hadi milioni 77.9 ifikapo 2030, ikiwa na ongezeko la takriban watu milioni 1.6 kila mwaka. Hii inamaanisha kuwa mnamo 2025, idadi ya...
  4. Idugunde

    Gwajima hawezi kujibiwa kwa propaganda za kitoto. Watanzania ni watu waelewa wanajua mbivu na mbichi

    Kuleta propaganda yaani uongo kwenye siasa ili kurubuni watu ni upuuzi. Fikiria mzee Ali Kibao alivyowauma Watanzania. Yaani mchana kweupe watu wanamchukua kama kuku na kisha kuuliwa Alafu tunaambiwa kuwa kifo ni kifo tu... Leo wanaibuka Masheikh, Wasanii machawa, wapuuzi wajinga na...
  5. L

    Leo John Heche Anawadharau Watanzania waliopanga Nyumba?

    Ndugu zangu Watanzania, Nimesikitishwa sana ,kuchukizwa sana ,kushikwa na hasira kali sana na kumchukia sana Heche niliposikia akitoa kauli za dharau na kejeli kwa susan Kiwanga kwa sababu tu aliishi kwenye nyumba ya kupanga. Hii maana yake nini? Maana yake ni kuwa Heche na CHADEMA kwa ujumla...
  6. fakhbros

    Sauti ya waliosahaulika Tanzania

    NO REFORM, NO ELECTION: SAUTI YA WALIOSAHAULIKA TANZANIA Na Kamgisha Abeid: Wakati taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu mwingine, sauti ya wanyonge inazidi kufunikwa na makelele ya wanasiasa. Lakini sasa, kutoka kwenye vijiwe vya kahawa, masoko ya wakulima, shule za kata, viwanda vya...
  7. ChawaWaMama

    Rais Dkt Samia, watanzania tunajivunia wewe kuwa Rais Wetu

    GTs, Kwa kweli, taifa letu la Tanzania limebarikiwa mno kuwa na Rais mwenye busara na utulivu kama Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hata wakati ule wa misukosuko ya kisiasa na mijadala kuhusu kifo cha Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, aliendelea kuonesha hekima na utulivu wa hali ya juu...
  8. TODAYS

    Kwa Wale Wasiojihusisha na Siasa tu!. - This is Your Message Soma

    Unamsikia binti anasema “Mimi siasa sio vitu vyangu” Kikubwa nakula nashiba nalala naamka! Au kijana wa maana kabisa anakwambia “Mimi ishu za siasa sizimii kabisa zinanipotezea muda” Kikubwa uhai tu!!. Binti au kijana huyo huyo akienda kupanda mwendokasi akakutana na zile mbilinge mbilinge...
  9. R

    Wala haina mvuto, watanzania wameikataa, hakuna aliyetiki.

    CCM Mmekataliwa, hakuna aliyetiki hata mmoja ukimuacha Mwigulu , Makalla na Nchimbi na vichawa vidogo. Hao nao moyoni mwao wanaimba No reforms, No election No reforms, No election No reforms, No election No reforms, No election No reforms, No election No reforms, No election No reforms, No...
  10. Crocodiletooth

    Ukimya wa serekali yetu, unamaanisha, inashughulikia kimya kimya kelele za watanzania.

    Nafurahi kuona serekali yetu inachukuwa hatua za kimya kimya kushughulikia wote wanaojihusisha na matendo ya utekaji na matendo yote yasiyo mema, Napongeza kwa hatua ya ukimya huu, na pia kwa sasa watanzania wakae na kujidai kifua mbele, taarifa za siri zinaeleza baadhi ya watekaji...
  11. M

    Watanzania wasipopata mabadiliko kutokea ndani, Watayatafuta kutokea nje

    Katika miaka ya 1990's Mwalimu Nyerere alipokuwa akiongea na waandishi wa habari. Aliongea kwa kirefu sana kuhusu watu kujaribu kutumia mataifa ya nje kushinikiza mabadiliko ndani. Akasema tujitahidi mambo yetu tuyamalize humuhumu sisi wenyewe. Akatolea mfano wa baadhi ya marais wa Afrika wa...
  12. M

    Bodi ya Ligi, waambieni watanzania rasmi kuwa Yanga haitocheza na Simba Juni 15 ili watu waendelee na shughuli zao, mkikaa kimya mtaua biashara za wat

    Yanga wameshasema hawachezi, wengine wanasema wanadanganya na wengine wanasema wako serious kwa sababu hadi leo hakuna tiketi zinazouzwa, wengine wanaona Yanga wameanza mazoezi mapema na hivyo wanashangaa Yanga aanze tizi mapema la kumkabili Prisons, tizi gani hilo? Sasa ushauri wangu mechi ya...
  13. Crocodiletooth

    Baadhi ya mambo ambayo Chaumma itawapatia Watanzania (sera)

    Naomba nionyeshe Furaha yangu pale chama cha kisiasa kinapokuwa kikijinadi zaidi kuliko kulalama, kana kwamba kinaonewa chenyewe tu! (kinalia lia)
  14. T

    Hizi coverage za Ikulu ndio zimekosa ushawishi hivi .? Watanzania 2 tu kwa zaidi ya saa 3 .?T

    Ndugu Kwamba coverage za Ikulu ndio zimekosa watazamaji mpaka kufikia Watanzania 2 kwa zaidi ya saa 3 .? Inabidi msigwa afanye kitu, aanze kulipia viewers kama Harmoniza na Diamond walivyokuwa wanafanya
  15. M

    UTAFITI: Tukikikuza kilimo kwa 10% tu tutafuta umasikini wa Watanzania kwa 50%- David Kafulila

    Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika kituo cha ITV kwenye kipindi cha DK 45 amesema yafuatayo namkuu, " Kwanza ni kweli kwamba umasikini Tanzania haujaisha ila ni kweli kwamba Tanzania Umasikini Umepungua sana hasa awamu ya sita hapa...
  16. Lord Denning

    Huku Ufisadi wa kutisha, Huku Utekaji, Mauaji na Unyanyasaji wa Kingono. Watanzania kweli tuna bahati Mbaya

    Wakati maisha ya Mtanzania wa kawaida yakizidi kuwa magumu huku huduma za msingi kama matibabu ya uhakika, madawa hospitalini, maji safi na salama, elimu bora na ya uhakika kwa watoto wetu vikizidi kuwa kizungumkuti hali si hali nchini Tanzania. Wakati maelfu ya vijana wakiwa hawana ajira huku...
  17. L

    Watanzania tutamlinda, kumpigania na kumtetea Rais Samia kwa gharama yoyote ile

    Ndugu zangu Watanzania , Watanzania Tutamlinda , Kumpigania,kumsemea na kumtetea kwa gharama yoyote ile Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Hatupo kwaajili ya CHADEMA wala CCM; Tupo kwaajili ya Kulisimamisha taifa la Tanzania na kuwapa nguvu watanzania kwa Haki

    Mpo Salama! Hakuna cha CCM wala Chadema. Hakuna cha Tundu Lisu wala Samia Suluhu! Hatumtetei yeyote na hatupo kwaajili ya yeyote. Tupo kwaajili ya Watanzania wote. Hatukubali Mtanzania yeyote aonewe. Iwe ni Mkubwa au ni mdogo. Iwe anahadhi au hana hadhi. Ndio maana tunapiga Kelele watu...
  19. ngara23

    Media zetu zipo kutupumbaza Watanzania maksudi, TCRA ratibu Vipindi vyenye tija

    Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari hapa Tanzania nimegundua ndo mipango mikakati wa kuwapumbaza Watanzania na kuwa Fanya masikio na akili zao yasikie mambo madogo ya kipuuzi Media za Tanzania Haiwezekani media zinatumia saa nzaidi ya 8 kuchambua Simba na Yanga kila siku, hivi mpira wenyewe...
  20. T

    Watanzania hatuna amani ni uoga tunadanganywa

    Watu wanafanya mambo ya hovyo kwa kisingizio ya kulinda amani na utulivu wa nchi. Najiuliza hiyo amani iko wapi kama tu ukitoa maoni unaanza kuwindwa, watu wakitekwa na kuuwawa polisi wanakaa kimya kwa kupumbaza watu uchunguzi unaendelea lakini mtu akisema ukweli polisi wanatumwa kwake kuzingira...
Back
Top Bottom