Waungwana, Shalom Shalom na kwa jamaa zangu Asalaam aleykum,
Kama ambavyo kichwa husika hapo juu kilivyo, wacha nisiwapotezee muda nijielekeze moja kwa moja kwenye maswali kwa Watanzania wenzangu.
Nimekuwa nikisikia tu kitu kinachoitwa Deep State ingawa kiundani sikijui.
Hapa JF bila shaka...