johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Kwa upande wa udiwani matokeo yaliyokwishatoka yanaonyesha CCM ikiwa mbele kwa kuzoa kata nyingi.
Hata ubunge hakuna Mgombea wa Upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa na tayari kiongozi mkuu wa CHADEMA ameshapoteza kiti chake cha ubunge kule Machame.
CCM tunawashukuru sana Watanzania kwa kutuchagua.
Angalizo kwa viongozi wa CCM waliochaguliwa ni moja tu kwamba CCM bila Upinzani ni sawa na Dini bila Shetani.
Hebu fikiria kidogo maisha bila shetani nani wa kumsingizia dhambi?
Maendeleo hayana vyama!
cc: Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto
Hata ubunge hakuna Mgombea wa Upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa na tayari kiongozi mkuu wa CHADEMA ameshapoteza kiti chake cha ubunge kule Machame.
CCM tunawashukuru sana Watanzania kwa kutuchagua.
Angalizo kwa viongozi wa CCM waliochaguliwa ni moja tu kwamba CCM bila Upinzani ni sawa na Dini bila Shetani.
Hebu fikiria kidogo maisha bila shetani nani wa kumsingizia dhambi?
Maendeleo hayana vyama!
cc: Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto