Watanzania tulikubali suala la tozo mpya za miamala halafu leo tunaanza kulalamika!

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,890
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.

Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
 
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.

Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
Kwani wewe ni mmoja ya wagonga meza, ama una maana ipi? Kwama sii mmoja ya wagongameza tuambie tulikubaliana wapi? Na lini Bila kusahau wapi na saa ngapi?
 
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.

Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
... huo ndio ukweli wenyewe. Let's learn in a hard way kwa ujinga wetu!

Nendeni kwenye mikutano ya kisiasa/kampeni mkasikilize na kuchuja sera na ilani - hatuna nafasi sisi!

Someni sera za vyama na ilani zao mpate mwanga wa jinsi zitakavyosaidia au kuumiza maisha yenu watanzania - hayatuhusu sisi!

Fuatilieni vyombo vya habari mjue yanayojiri nchini na Bungeni kwa manufaa ya maisha yetu na vizazi vyetu - mambo ya wanasiasa hayo!

Sikilizeni hotuba za viongozi wa kisiasa na kuzichambua kwa umakini - fiesta iko mtaani leo!

Kutakuwa na mikutano ya kisiasa kuhusu Katiba Mpya - hayatuhusu, tumpigie kura Diamond ashinde!

Jamani saa mbili usiku wekeni taarifa ya habari kuna jambo zito la kitaifa - kaangalie chumbani kwako na mkeo sisi tunaangalia mchezo!

Siasa ndio kila kitu ndiyo inayoamua maisha yetu ila ndicho kitu kinachopuuzwa zaidi na watanzania! Unapopuuza siasa unapuuza maisha yako hivyo tusilalamike wala kumsingizia mtu; ni matokeo ya upumbavu wetu wenyewe!
 
Kuna wapumbavu wengine wanailaumu chadema eti ni kwa nini hawapazi sauti
... ha ha ha! Kama kuna taasisi imejitahidi kuwapigania watanzania lakini always inaambulia matusi kutoka kwa baadhi ya watanzania basi ni Chadema! Hadi unajiuliza hivi hawa watu wana akili kweli? Anyway, ngoja tujifunze kwa njia ngumu labda tutatia akili.
 
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.

Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
Tuanze kuanza kuwapopoa mawe majimbon hawa wabunge vilaza waliowekwa pale na Magufuli
 
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali,...
Utajuaje kama Nia ya ndani ni kuwagombanisha kati ya B mkubwa na watz kwa faida yake maana siasa za kiafrika ni fitna na uchawi vinaenda sambamba,
 
Tena kuna watu walipiga na mapambio mengi kuwakilishwa na hao wabunge wao.

Sasa kelele za tozo za miamala wanalalamika nini tena.
 
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.

Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
Akili ziko matakoni ama?
Ninyi ndio mnaopinga katiba yenye kuwawajibisha wabunge wapumbav
 
Tozo katika miamala siwezi kusema chochote kingine zaidi ya kusema ni unyang'anyi uliohalalishwa kisheria,ni vile basi tu hatuna jinsi
 
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.

Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.
Ni lini uliwahi kukaa na Mbunge wako ukamuagiza mambo ya kuongea Bungeni?
 
Wabunge ni wawakilishi wetu. Tumewapeleka wakaisimamie serikali kwa niaba yetu. Kama wawakilishi wetu wamekubali maana yake tunaowakilishwa tumekubali.

Kama hawa wawakilishi wameenda kukubali kitu ambacho hatujawatuma, tuwalalamikie wao na kuwawajibisha na si serikali. Zaidi ya hapo tutulie.

Hao wabunge hawakuchaguliwa na wananchi, bali walichaguliwa na hiyo hiyo serikali, ndio maana wanalinda maslahi ya serikali. Usitake kutuletea story za kutuvuruga boss.
 
Back
Top Bottom