wasanii

  1. Q

    JamiiForums Tanzania Hongera GenZ, Simba na Yanga kwisha Wasanii kwisha, tuendelee hivi hivi hadi wote tuongee lugha moja.

    Hatuna budi kuwapongeza GenZ kwa kufanikisha zoezi hili, ilikuwa huwezi kuongea chochote vijiweni zaidi ya simba na yanga au diamond na kondeboy leo ni tofati kabisa. Kiuhalisia huwezi kuishi bila siasa, huwezi kuukuza mpira ukaiacha siasa inayoendesha huo mpira, kuwa mimi ni Simba damu damu...
  2. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Gen z kuja na kampeni ya kuacha kutumia huduma za airtel Tanzania kama walivyofanya kwa wasanii wao ndio wanawapa hela ya kula

    Gen z kuja na kampeni ya kuacha kutumia huduma za airtel Tanzania kama walivyofanya kwa wasanii wao ndio wanawapa hela ya kula. Vita ni vita
  3. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Saida Karoli na Rose Muhando hawa ndo wasanii bora wa muda wote Tanzania

    Hapa Tanzania itatuchukua miaka mingi kupata vipaji kama Saida Karoli na Rose Muhando. Hawa ndo wasanii bora wa muda wote hapa Tanzania.
  4. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania "Kuji-brand" ni kitu kinachowatafuna wasanii wengi kimyakimya na kuja kuumbuka vibaya kama mkubwa Fella

    "Kujibrand", "Kulinda brand" ni mambo yanayowaumiza wasanii wengi kimyakimya na baadae kuja kuumbuka vibaya mambo yanapowazidia. Wasanii wengi wanadhani "Branding" ni kuishi maisha feki ya kitapeli ili uonekane wa thamani huku ukiteketea ndani kwa ndani. Mkubwa Fella kwa sasa anaomba michango ya...
  5. ngara23

    JamiiForums Tanzania Dudu baya amjibu mkewe mkubwa Fela aliyelalamika kuwa mmewe ametengwa na wasanii baada ya kuwa mgonjwa mahututi

    Mapema wiki hii mke wa mkubwa Fela amelalamika kuwa wasanii ambao mkubwa Fela aliwasaidia Sasa hawapokei simu wala kutoa msaada, mkubwa Fela amekosa pesa za matibabu yupo hoi nyumbani kwake hana huduma wala msaada wowote Dudu baya amebainisha kuwa 1. Mkubwa Fela alifanya dhulumu nyingi na...
  6. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Izzo Business aachia nyimbo akiwachana wasanii na mamlaka zilizopo bila kupepesa

    Moja ya jambo la kushangaza ni Msanii wa Hip-hop, Izzo Business kuachia kibao akishusha mistari kuwachana wasanii wenzake waliokuwa hawapiganii haki za wananchi badala yao walirundikana kwenye semina na kampeni za chama kimoja kama mchwa. Badala ya kupinga vikali matukio yaliyokuwa...
  7. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Wasanii Shilole na Wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu

    Wasanii shilole na wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu. Bora kugombana na mtu mmoja au wawili sio na watanzania wote unachogombea kwanza hukijui yani ni mbumbumbu ngoja upate shida huone kama utasaidiwa.
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna ushetani gani unapelekea wasanii kubadilika mfano Nickelodeon

    Kuwe ni Bongo movie, Hollywood, Disney, Pddy music na n.k Hakuna sehemu itawaacha salama wengi labda wakubali masharti ambayo wamudu kuendelea na umaarufu. Kuna television inaitwa Nickelodeon na ndio channel ya watoto wanayopenda sana ambayo iliibua vipaji vya waigizaji watoto wengi. Ila...
  9. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Baada ya wasanii kususiwa kazi zao, vijana wanaofanana na wasanii hao wamejikusanya ili kuchukua nafasi zao

    Kitendo cha wasanii wa Tanzania kususiwa kazi zao na jamii Yao kimewaibua vijana wanaofanana na wasanii hao na kuwafanya wajikusanye pamoja ili kwenda vijijini kujaribu bahati zao za kupiga show za Chaka to chaka wakiamini hawatatambulika kama ni feki,Maeneo waliyoainisha kwenda ni Chunya...
  10. Mnyenz

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa tanganyika : 50 Cent alikataa kuimba kwenye kampeni za Trump licha ya kuahidiwa usd 3 milion(bilion 7 madafu)

    Baada ya mgombea wa republican Donald Trump kukoswa risasi katika kampeni zake, wimbo wa 50cent MENY MEN ulitrend na ikawa anthem kwenye kampeni zilizofuata baada ya tukio lile. Kampeni zilipofika Newyork, team ya kampeni wakamuita 50cent aje kupafomu kwenye kampeni hizo. Chama cha Trump...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Uraibu wa pombe na dawa za kulevya umechangia kushuka kwa wasanii wengi, kuharibu maisha yao, mali zao, uhusiano wa kijamii na hata kupoteza maisha

    Chidi Benz - Madawa ya kulevya Ray C - Madawa ya kulevya, kwa sasa kajirudi yupo ulaya Vanessa Mdee - alinusuika kupotea kwa Unywaji wa pombe kupitiliza, Langa - Madawa ya kulevya, RIP Nhwea - Madawa ya kulevya , RIP Kuna producer flani maarufu inasemekana nae alianza kutumia drugs alinusurika
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wasanii kwisha habari yao, tuhamie kwa waandishi wa habari, hakuna kusoma, kusikiliza na kununua magazeti yao

    Mbiu hii ipigwe kote kwenye viunga vyote vya mitandao ya kijamii, kila alipo mpenda haki tarifa hizi zimfikie kwa namna yoyote ile Nani asiyejua? Vyombo vya habari ni chombo kikiamua kutekeleza majukumu yake, nchi inaweza kushinda vita dhidi ya adui bila hata kutumia silaha Cha ajabu katika...
  13. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasanii hawaadhibiwi, wanawajibishwa kwa kupuuza maslahi ya umma

    Kwa takribani kipindi cha miezi miwili sasa, nchini Tanzania kumeshuhudiwa kampeni za kimtandao zinazoendeshwa na baadhi ya watu maarufu na wanaharakati, zikihamasisha umma kusitisha kuzipa sapoti kazi za wasanii wa Tanzania. Kampeni hizi zimehusisha kutosikiliza nyimbo zao, kutohudhuria...
  14. R

    JamiiForums Tanzania We can do without Wasanii

    Wasanii siyo Oxygen. We can do without thém! After all, by 99.9% are a product of classroom failure! They are Iron Boys to entertain the State! as documented by Plato in The Theory of a State Muwe na siku NJEMA!
  15. S

    JamiiForums Tanzania BASATA imewatosa wasanii

    Wakati wasanii wakikaangwa na mashabiki kwa kukosa matamasha na uungwaji mkono kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii, hatuoni BASATA wakifanya juhudi zozote kuwasaidia. Wapo kimyaaaaa, kama vile BASATA imefutwa. Mpk wadau binafsi kama Majizzo wanachukua hatua ya kuja mbele ya vyombo vya habari...
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Shilole: Watanzania wasitununuie wasanii, tutakula wapi? wachukulie imepita

    Dozi inakolea Shilole anasema ataanda Show yake na watanzania watajaa kwani hawataacha kwenda kuona viuno live. Anasema watanzania msiwabanie wasanii watakula wapi?
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Je, ni Wasanii wana jukumu la kuikosoa serikali pale inapokosea? Twende kazi

    Hamjambo wote! 1. Kumekuwa na vuguvugu mitandaoni la kuwapiga Pin Wasanii kwa sababu mbalimbali. 2. Nitaeleza sababu halisi bila kuficha kama ifuatavyo; a) Wasanii kutokemea maovu yanayohusishwa na Dola. Hii ndio sababu kuu. Ambayo wananchi wanaona Wasanii hawapo upande wao isipokuwa upande wa...
  18. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kama Samuya atatoboa na wasanii watatoboa kwa vile wote ni wasanii na wakatili

    Kichwa cha habari kiko wazi. Tofauti ya wasanii wa kisiasa na kisanaa ni namna wanavyopatikana. Wanaweza kufanya lolote hata kujidhalilisha au kuwadhalilisha, kujidhulumu au kuwadhulumu, kujidanganya au kudanganya wengine na mengine kama hayo ili tonge liingie mdomoni. Ni viumbe wanaopenda...
  19. BIG BROTHER ALEX

    JamiiForums Tanzania Wasanii kukaushiwa si masikhara, Dogo Janja apiga show bure Arusha bila raia kusogea

    Kupitia page ya Instagram ya kado media imeonyesha tukio la kushangaza, msanii MKUBWA Arusha na diwani dogo JANJA akipiga show ya Vodacom ya wazi isiyo na kiingolio, kichekesho hakuna raia hata mmoko aliesogea, mzee KAIMBA mwenyewe na watu wa Vodacom walio andaa hio hafla aisee watu hawana...
  20. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Wasanii kuboost views kuwavimbia Gen Z ni kujidanganya wenyewe

    Kiufupi huu mchezo wanaouanza utawaponza wenyewe na tumeona na tumethibitisha msanii mario kutumia maroboti kuboost views huku akijitamba kwa kuwashukuru mashabiki ilihali anajua kabisa mshabiki halisi hatuna mpango nae.. Nyimbo ya Mario leo imefika viewz mil 1+ youtube lakini cha kushangaza...
Back
Top Bottom