wasanii

  1. M

    Wasanii kwisha habari yao, tuhamie kwa waandishi wa habari, hakuna kusoma, kusikiliza na kununua magazeti yao

    Mbiu hii ipigwe kote kwenye viunga vyote vya mitandao ya kijamii, kila alipo mpenda haki tarifa hizi zimfikie kwa namna yoyote ile Nani asiyejua? Vyombo vya habari ni chombo kikiamua kutekeleza majukumu yake, nchi inaweza kushinda vita dhidi ya adui bila hata kutumia silaha Cha ajabu katika...
  2. JanguKamaJangu

    PostGE2025 Wasanii hawaadhibiwi, wanawajibishwa kwa kupuuza maslahi ya umma

    Kwa takribani kipindi cha miezi miwili sasa, nchini Tanzania kumeshuhudiwa kampeni za kimtandao zinazoendeshwa na baadhi ya watu maarufu na wanaharakati, zikihamasisha umma kusitisha kuzipa sapoti kazi za wasanii wa Tanzania. Kampeni hizi zimehusisha kutosikiliza nyimbo zao, kutohudhuria...
  3. R

    We can do without Wasanii

    Wasanii siyo Oxygen. We can do without thém! After all, by 99.9% are a product of classroom failure! They are Iron Boys to entertain the State! as documented by Plato in The Theory of a State Muwe na siku NJEMA!
  4. S

    BASATA imewatosa wasanii

    Wakati wasanii wakikaangwa na mashabiki kwa kukosa matamasha na uungwaji mkono kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii, hatuoni BASATA wakifanya juhudi zozote kuwasaidia. Wapo kimyaaaaa, kama vile BASATA imefutwa. Mpk wadau binafsi kama Majizzo wanachukua hatua ya kuja mbele ya vyombo vya habari...
  5. Just Pray

    Shilole: Watanzania wasitununuie wasanii, tutakula wapi? wachukulie imepita

    Dozi inakolea Shilole anasema ataanda Show yake na watanzania watajaa kwani hawataacha kwenda kuona viuno live. Anasema watanzania msiwabanie wasanii watakula wapi?
  6. Robert Heriel Mtibeli

    PostGE2025 Je, ni Wasanii wana jukumu la kuikosoa serikali pale inapokosea? Twende kazi

    Hamjambo wote! 1. Kumekuwa na vuguvugu mitandaoni la kuwapiga Pin Wasanii kwa sababu mbalimbali. 2. Nitaeleza sababu halisi bila kuficha kama ifuatavyo; a) Wasanii kutokemea maovu yanayohusishwa na Dola. Hii ndio sababu kuu. Ambayo wananchi wanaona Wasanii hawapo upande wao isipokuwa upande wa...
  7. The Father of All

    Kama Samuya atatoboa na wasanii watatoboa kwa vile wote ni wasanii na wakatili

    Kichwa cha habari kiko wazi. Tofauti ya wasanii wa kisiasa na kisanaa ni namna wanavyopatikana. Wanaweza kufanya lolote hata kujidhalilisha au kuwadhalilisha, kujidhulumu au kuwadhulumu, kujidanganya au kudanganya wengine na mengine kama hayo ili tonge liingie mdomoni. Ni viumbe wanaopenda...
  8. BIG BROTHER ALEX

    Wasanii kukaushiwa si masikhara, Dogo Janja apiga show bure Arusha bila raia kusogea

    Kupitia page ya Instagram ya kado media imeonyesha tukio la kushangaza, msanii MKUBWA Arusha na diwani dogo JANJA akipiga show ya Vodacom ya wazi isiyo na kiingolio, kichekesho hakuna raia hata mmoko aliesogea, mzee KAIMBA mwenyewe na watu wa Vodacom walio andaa hio hafla aisee watu hawana...
  9. Bani Israel

    Wasanii kuboost views kuwavimbia Gen Z ni kujidanganya wenyewe

    Kiufupi huu mchezo wanaouanza utawaponza wenyewe na tumeona na tumethibitisha msanii mario kutumia maroboti kuboost views huku akijitamba kwa kuwashukuru mashabiki ilihali anajua kabisa mshabiki halisi hatuna mpango nae.. Nyimbo ya Mario leo imefika viewz mil 1+ youtube lakini cha kushangaza...
  10. Waufukweni

    Mwananchi: Mwigulu tunaona unatufokea kisa hatuwasapoti wasanii. Kama wanakufa njaa waajiri kwenye mabasi yako wawe wanapiga show

    Mwananchi huyu amemchana Waziri Mkuu Mwigulu baada ya kauli yake kuhusu wasanii kutoungwa mkono na wananchi. Amesema; "Tunaona unatufokea kisa hatuwasapoti wasanii. Sasa, kama unaona kwamba wasanii watakufa njaa na mliweza kuwaajiri wakati wa kampeni, hata sasa hivi unaweza ukawaajiri kwenye...
  11. technically

    Ndugu Mwigulu wasanii wafanye kazi na 98% ya waliomchagua Samia

    Ndugu Mwigulu Samia alipata kura million 32 Ndugu Mwigulu wasanii watumie akili yao yote maarifa yao yote nguvu zao zote kufanya kazi. Kama waliunga mkono CCM na CCM inaungwa mkono na watu 32milon Mining'ono yanini? Kuna shida gani ? Ndugu Mwigulu Mchezaji anayecheza Manchester United...
  12. Hance Mtanashati

    Wabongo wengi hawana mikazo, wameshaanza kuwashobokea tena wasanii licha ya kudhihakiwa

    Nimesikitika kuona wabongo wanajirudi tena kwa wasanii kama mazezeta. Idadi ya followers kwa wasanii inaanza kurudi kwa kasi kama hapo awali. Mfano huyu diamond nyodo anawaletea na bado kuna majinga yamejirudisha kum follow upya . Marioo juzi kabla hajatoa wimbo wake alitema shiti za...
  13. Mafyangula

    PostGE2025 Damas Ndumbaro: Wasanii wa Tanzania hawajavunja sheria kwa kuuza kazi zao au kushiriki katika kampeni za CCM

    Damas Ndumbaro: Kazi ya Sanaa ni haki ya msingi ya binadamu, kama inavyotambuliwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 18 (a). Vilevile, sanaa ni ajira na biashara halali. Wasanii wa Tanzania hawajavunja sheria kwa kuuza kazi zao au kushiriki katika kampeni za Uchaguzi Mkuu...
  14. R

    PostGE2025 Mpoki: Suala la wasanii na wananchi ni kama mpangaji na mwenye nyumba, wasanii sikilizeni wananchi

    " ukifuatilia sana hili sakata la wasanii na wananchi kwanza huwezi kugombana na mwenye nyumba, wewe msanii ni mpangaji na mwananchi ni mwenye nyumba. Alafu hata sisi watu wazima tunakuambia unaanza kulamaba uzi ndo upitishe kwenye tundu haulambi tundu ndo upitishe kwenye uzi na kuna muda hata...
  15. Pakome

    Wananchi wanalaumu kuhusiana na kauli ya dharau iliyotolewa na Diamond Platinumz, Ommy Dimpoz, Jux na Marioo na siyo masuala ya kisiasa

    Ni makosa makubwa kuwashutumu Wananchi kuwa wanachukizwa na matendo ya Wasanii kujihusisha na Siasa Swala la kujihusisha na Siasa ama Chama cha Siasa ni haki ya kila Mwananchi na Mwananchi hapangiwi au kulazimishwa kuchagua Chama cha Siasa na wala sio kosa Kisheria au Kikatiba kuchagua chama...
  16. MamaSamia2025

    PostGE2025 Ninamuunga mkono Jimmy Mafufu kuwa hakuna sababu ya wasanii kuomba msamaha kwa yeyote kwa sababu hakuna walipokosea

    Yote niliyotaka kuandika tayari kayasema komredi Jimmy Mafufu. Msanii wa filamu Jimmy Mafufu ameibuka na kukanusha kuomba radhi, akisisitiza kuwa hawakufanya kosa lolote linalohitaji kuombwa msamaha. Amesema kuwa hata kama wananchi wataamua kutoendelea kununua kazi zao, bado wao wataendelea...
  17. Fbn

    Harmonize inakuwaje kusema wasanii tumewakosea wakati una album ya mtu aliyetukosea kabisa

    Huyu dogo umaskini ulikuwa haki yake na haki yake kabisa. Kukaa kimya watu wakufikirie bado unajikosha mbele ya maumivu ya watu walionyanyasika kwa kila aina ya maumivu. Kwa sasa dunia nzima ishawakataa mkaona kenya ni karibu,kumbe ghana nayo,ikaja naijeria na nchi nyengine. We si ndo ulikuwa...
  18. Fbn

    Kihoro kipo wana CCM kinawafata na wasanii wenu

    Unajua asilimia kubwa wengi tumezoea kuona mambo mengine kwenye jamii. Ila kihoro kipo tena kwa sasa kina wakumba watu ambao hawa kutegemea kuwa watafika hapo. Kihoro ni yale matendo uliyofanya au kuzania wewe ni bora mwisho wa siku unajikuta wewe sio bora na kukuacha umeshikwa mdomo wazi na...
  19. Q

    PostGE2025 Tukimalizana na Wasanii, wanaofuata ni Wachungaji na Makanisa yao ya kitapeli

    Kama tumeamua kuisafisha nchi hawa watu ni hatari zaidi ya wasanii. Wasanii wao wanatafuta pesa kwa njia yeyote hata kwa kuungana na wauaji they don't care kulingana na shule zao za hapa na pale. Wachungaji wao (sio wote) wengi wamesoma ili watapeli watu, mbali ya kutafuta pesa kwa ushirikina...
  20. DR HAYA LAND

    PostGE2025 Kama CCM ilipata kura milioni 32; Je, hao wasanii wanataka sapoti ipi tena? Hao watu mil 32 si wanaweza kujaza show

    Ikiwa Chama CHETU kilipata kura Mil 32 Maana yake hawa ni watu wazima karibia nusu ya watz wote Ikiwa Kazi ya mziki n.k ni ushawishi na uliwashawishi watu mil 32 je hawatoshi kusapoti muziki wako Naitafakari hoja ya Majizo.!
Back
Top Bottom