Mbiu hii ipigwe kote kwenye viunga vyote vya mitandao ya kijamii, kila alipo mpenda haki tarifa hizi zimfikie kwa namna yoyote ile
Nani asiyejua?
Vyombo vya habari ni chombo kikiamua kutekeleza majukumu yake, nchi inaweza kushinda vita dhidi ya adui bila hata kutumia silaha
Cha ajabu katika...
Kwa takribani kipindi cha miezi miwili sasa, nchini Tanzania kumeshuhudiwa kampeni za kimtandao zinazoendeshwa na baadhi ya watu maarufu na wanaharakati, zikihamasisha umma kusitisha kuzipa sapoti kazi za wasanii wa Tanzania. Kampeni hizi zimehusisha kutosikiliza nyimbo zao, kutohudhuria...
Wasanii siyo Oxygen. We can do without thém!
After all, by 99.9% are a product of classroom failure!
They are Iron Boys to entertain the State! as documented by Plato in The Theory of a State
Muwe na siku NJEMA!
Wakati wasanii wakikaangwa na mashabiki kwa kukosa matamasha na uungwaji mkono kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii, hatuoni BASATA wakifanya juhudi zozote kuwasaidia. Wapo kimyaaaaa, kama vile BASATA imefutwa.
Mpk wadau binafsi kama Majizzo wanachukua hatua ya kuja mbele ya vyombo vya habari...
Hamjambo wote!
1. Kumekuwa na vuguvugu mitandaoni la kuwapiga Pin Wasanii kwa sababu mbalimbali.
2. Nitaeleza sababu halisi bila kuficha kama ifuatavyo;
a) Wasanii kutokemea maovu yanayohusishwa na Dola.
Hii ndio sababu kuu. Ambayo wananchi wanaona Wasanii hawapo upande wao isipokuwa upande wa...
Kichwa cha habari kiko wazi. Tofauti ya wasanii wa kisiasa na kisanaa ni namna wanavyopatikana. Wanaweza kufanya lolote hata kujidhalilisha au kuwadhalilisha, kujidhulumu au kuwadhulumu, kujidanganya au kudanganya wengine na mengine kama hayo ili tonge liingie mdomoni.
Ni viumbe wanaopenda...
Kupitia page ya Instagram ya kado media imeonyesha tukio la kushangaza, msanii MKUBWA Arusha na diwani dogo JANJA akipiga show ya Vodacom ya wazi isiyo na kiingolio, kichekesho hakuna raia hata mmoko aliesogea, mzee KAIMBA mwenyewe na watu wa Vodacom walio andaa hio hafla aisee watu hawana...
Kiufupi huu mchezo wanaouanza utawaponza wenyewe na tumeona na tumethibitisha msanii mario kutumia maroboti kuboost views huku akijitamba kwa kuwashukuru mashabiki ilihali anajua kabisa mshabiki halisi hatuna mpango nae..
Nyimbo ya Mario leo imefika viewz mil 1+ youtube lakini cha kushangaza...
Mwananchi huyu amemchana Waziri Mkuu Mwigulu baada ya kauli yake kuhusu wasanii kutoungwa mkono na wananchi. Amesema; "Tunaona unatufokea kisa hatuwasapoti wasanii. Sasa, kama unaona kwamba wasanii watakufa njaa na mliweza kuwaajiri wakati wa kampeni, hata sasa hivi unaweza ukawaajiri kwenye...
Ndugu Mwigulu
Samia alipata kura million 32
Ndugu Mwigulu wasanii watumie akili yao yote maarifa yao yote nguvu zao zote kufanya kazi.
Kama waliunga mkono CCM na CCM inaungwa mkono na watu 32milon
Mining'ono yanini? Kuna shida gani ?
Ndugu Mwigulu Mchezaji anayecheza Manchester United...
Nimesikitika kuona wabongo wanajirudi tena kwa wasanii kama mazezeta.
Idadi ya followers kwa wasanii inaanza kurudi kwa kasi kama hapo awali.
Mfano huyu diamond nyodo anawaletea na bado kuna majinga yamejirudisha kum follow upya .
Marioo juzi kabla hajatoa wimbo wake alitema shiti za...
Damas Ndumbaro:
Kazi ya Sanaa ni haki ya msingi ya binadamu, kama inavyotambuliwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 18 (a). Vilevile, sanaa ni ajira na biashara halali.
Wasanii wa Tanzania hawajavunja sheria kwa kuuza kazi zao au kushiriki katika kampeni za Uchaguzi Mkuu...
" ukifuatilia sana hili sakata la wasanii na wananchi kwanza huwezi kugombana na mwenye nyumba, wewe msanii ni mpangaji na mwananchi ni mwenye nyumba. Alafu hata sisi watu wazima tunakuambia unaanza kulamaba uzi ndo upitishe kwenye tundu haulambi tundu ndo upitishe kwenye uzi na kuna muda hata...
Ni makosa makubwa kuwashutumu Wananchi kuwa wanachukizwa na matendo ya Wasanii kujihusisha na Siasa
Swala la kujihusisha na Siasa ama Chama cha Siasa ni haki ya kila Mwananchi na Mwananchi hapangiwi au kulazimishwa kuchagua Chama cha Siasa na wala sio kosa Kisheria au Kikatiba kuchagua chama...
Yote niliyotaka kuandika tayari kayasema komredi Jimmy Mafufu.
Msanii wa filamu Jimmy Mafufu ameibuka na kukanusha kuomba radhi, akisisitiza kuwa hawakufanya kosa lolote linalohitaji kuombwa msamaha.
Amesema kuwa hata kama wananchi wataamua kutoendelea kununua kazi zao, bado wao wataendelea...
Huyu dogo umaskini ulikuwa haki yake na haki yake kabisa.
Kukaa kimya watu wakufikirie bado unajikosha mbele ya maumivu ya watu walionyanyasika kwa kila aina ya maumivu.
Kwa sasa dunia nzima ishawakataa mkaona kenya ni karibu,kumbe ghana nayo,ikaja naijeria na nchi nyengine.
We si ndo ulikuwa...
Unajua asilimia kubwa wengi tumezoea kuona mambo mengine kwenye jamii.
Ila kihoro kipo tena kwa sasa kina wakumba watu ambao hawa kutegemea kuwa watafika hapo.
Kihoro ni yale matendo uliyofanya au kuzania wewe ni bora mwisho wa siku unajikuta wewe sio bora na kukuacha umeshikwa mdomo wazi na...
Kama tumeamua kuisafisha nchi hawa watu ni hatari zaidi ya wasanii. Wasanii wao wanatafuta pesa kwa njia yeyote hata kwa kuungana na wauaji they don't care kulingana na shule zao za hapa na pale.
Wachungaji wao (sio wote) wengi wamesoma ili watapeli watu, mbali ya kutafuta pesa kwa ushirikina...
Ikiwa Chama CHETU kilipata kura Mil 32
Maana yake hawa ni watu wazima karibia nusu ya watz wote
Ikiwa Kazi ya mziki n.k ni ushawishi na uliwashawishi watu mil 32 je hawatoshi kusapoti muziki wako
Naitafakari hoja ya Majizo.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.