wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Wapi The Bold na wasimuliaji wengine bingwa? Makabrasha ya siri (classified files) ya uchunguzi kifo cha J.F Kennedy hatimae yameachiliwa

    Kuna habari ya kuamsha shauku ya wapenda simulizi za kiuchunguzi na kijasusi zinazunguka huko ulimwenguni baada ya Raisi D.Trump kusaini amri ya kuruhusu kabrasha (files) za uchunguzi kesi ya kuuwawa Raisi JF Kennedy. Hatimae zimeachiwa. Watu wengi walisubiria taarifa hizi wakiamini huenda...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hezbollah Waliishia wapi, Purukushani yao imeisha kabisa

    FaizaFoxy Hivi wale vijana machachari wa Hezbollah waliendaga wapi? Wamebaki wala Mirungi wa Houthis ndio wanasumbua sumbua. Hezbollah hata online hawaonekani Hamas wamesalitiliwa na kila mtu 😅 😅 😅
  3. Faana

    JamiiForums Tanzania Tuliotumia hii teknolojia tukututane hapa tunakumbuka wapi

    Binafsi nakumbuka early 70s kuna mzee mtaani kwetu Mr. Kiyavitende ilikuwa ukisafiri kwenye gari hilo anafika sehemu anafungua bonnet na kudai injini ni ya moto mno hivyo abiria ongezeni nauli ili safari iweze kuendelea
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Yanga kumeanza kuchangamka. Huyu wa wapi huyu? Si kawaida

    Hii si kawaida huyu dogo atakuwa ametumwa na Mikia. Yanga huwa hatuna mambo kama haya. Tunasubiria kusikia Hersi atasemaje juu ya jambo hili. Atupe maelekezo au kama si yeye basi manara.
  5. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Gari za Masoud Kipanya zimeishia wapi? Mbona hatuzioni barabarani? Je, bado hajakidhi vigezo au kuna ya gizani tusiyoyajua?

    Gari za Masoud Kipanya zimeishia wapi? Mbona hatuzioni barabarani? Je bado hajakidhi vigezo au kuna ya mvunguni tusiyoyajua? Miaka kadhaa iliyopita Masoud Kipanya alizindua gari na habari zikasambaa kila kona ya nchi lakini jambo la kushangaza mpaka sasa ukimya umetawala wala hatujui...
  6. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Hivi kama hapa kuna mmeru na mwenzake mchaga pale kuna mnyaki huku yupo mkurya, wote vinanda, utachagua wapi?

    Halafu unaambiwa lazma wali uliwe (ufunge harusi). Utaenda wapi? Zingatia: Hakuna mambo ya NONE of the above (wala kataa ndoa haipo🚮🚮). NB: Muda mwingine inabidi jichomoe akili kidogo, usiwe siriaz kupitiliza🤣
  7. mimi mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Nazitafuta sana hizi perfume. Wapi nitazipata kwa DSM?

    Mwenye kufahamu wapi naweza pata hizi perfume za kiarabu. Nimezitafuta sana bila mafanikio kuna duka walikuwa wanauza mtaa wa jangwani halipo tena siku hizi. 1. Al Rehab Avenue 2. Al Rehab Silver 3. Rasasi La Yuqawam
  8. Knock life

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Mtulia aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni 2015-2020 , watu wanataka kujua maendeleo yake ya Afya maana kuna ile karma ya Akwilina je imemrudia?

    Huyu Jamaa anaitwa Mtulia aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni 2015-2020. Mwaka 2017 alijiuzulu ubunge na akahamia Ccm . Wakati wa uchaguzi mdogo chadema walinyimwa viapo kwa mawakala wake. Na ndipo waliandamana na mwisho kikatokea kifo cha Akwilina. Naomba kujua ile dua na karma imeshamfikia...
  9. kiss ov love

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kubadili fedha za kigeni?

    Habari za asubuhi wana jukwaa, poleni na mfungo wa Ramadhani na Kwaresma, naomba msaada wa kufahamishwa wapi pa kubadilishia fedha za kigeni kwa hapa Dar. Asanteni😊🙏
  10. dr namugari

    JamiiForums Tanzania Mkenya aliyepazwa kunyongwa jana huko Vietnam amefikia wapi ?

    Toka jpili march 16 mkenya aliyepatikana na dawa za kulevya ktk nch ya Vietnam alitarajiwa atanyongwa march 17 saa 8.30 za usku. Hadi kufika Leo sijaona taarifa yoyote kuhusu mkenya huyo na serekali ya kenya ili kuwa ina haha kutafuta jinsi ya kumnasua mwezao huko Vietnam asinyongwe...
  11. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Haji Manara anapata wapi nguvu ya kuichonganisha Yanga Vs TFF?

    Kitendo cha Manara kuitisha Press Conference na kuizungumzia Yanga kwa Lugha za kushurutisha timu dhidi ya TFF na Rais wa TFF bila kuwepo msemaji wa Yanga Alikamwe, ni kuivunja heshima Yanga. Yanga ni taasisi yenye heshima nchini ikijihusisha na Soka na bidhaa za soka, lakini kitendo...
  12. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Mnaokaa Mbweni na capripoint -Mwanza, mmeajiriwa wapi?

    Sidhani kama kuna mfanyakazi wa local government kwenye hii mitaa, oi watu wana hela Dah, Watu wamepambana kweli kweli sio mchezo, huko sidhani kama ardhi/kiwanja mtu anaweza kupata chini ya million 30. Mfano capripoint Mwanza, juzi nilikua na mwanasheria mmoja akanambia kafunga mkataba wa...
  13. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kero za Biashara za ma bar makubwa yalivyo kuwa matapeli ila TRA mpo wapi?

    Nimekumbuka niliingia bar kubwa kinywaji nilichouziwa bei ilikuwa zaidi ya thamani ya ukweli ila nilipotaka kulipia kwa vile mimi na VAT na TIN kama mfanya biashara ilikuwa ni kukwepana tu.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Huu wimbo naweza download wapi?

    Ni Wimbo wa Roman Catholic unaanza na mtu anaongea maneno harafu wanaanza kuimba wimbo unaitwa Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu utuhurumie sisi na Dunia nzima Ntaweza kuupakua wapi!? msaada tafadhali
  15. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Tanzania Tukiwa tunaadhimisha miaka minne ya kifo cha hayati Magufuli, huyu mlinzi wake nilikuwa namkubali, yuko wapi siku hizi?

    Tukiwa tunaadhimisha miaka minne ya kifo cha Magufuli, aliyepata kuwa Rais wa awamu ya tano. Leo naomba nifahamishwe kuhusu huyu mlinzi wake, nilikuwa namkubali sana, yuko makini na hana papara kama yule bonge. Jamaa alikuwa mrefu na anaonekana ni mtu wa mazoezi, mtulivu sana, yuko wapi siku hizi?
  16. R

    JamiiForums Tanzania wataalam wa kushusha mizigo, ni wapi nitaipata muvi ya Lucky Seven quality nzuri

    Jumapili ya leo nataka niangalie hii muvi pamoja na watoto nimeshindwa kuipata, nakuja kwenu wataalam wa kuyajua machimbo ya links na torrents nawaomba mnisaidie
  17. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wapi wanauza Mic za Blue Yeti au SnawBall ice kwa DSM

    Naomba mnisaidie ni wapi naweza kupata Microphone hizo Blue Yeti au SnawBall ice kwa DSM. Mimi binafsi nimezunguka Kariakoo na baadhi ya maduka sehemu nyengine kama Makumbusho lakini sikufanikiwa kuzipata hizo microphone. Wauzaji wengi wanasema hawana hizo microphone. Mwenye kujua naomba...
  18. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Je, Nimwinde Wapi Mpenzi Wangu? Mwisho wa Kutembeza CV Barabarani!

    Wadau wa Jamiiforums, Habari Zenu? Natumai mpo fresh na maisha hayajakubana sana kama viatu vya ndugu yangu Juma vilivyojaa viraka. Leo nimekuja na kero kubwa inayowasumbua wengi, hasa mabachelor wa mtaani kutafuta mpenzi! Yaani, kila siku unakutana na dada mmoja barabarani, unajifanya kama...
  19. walikuyu

    JamiiForums Tanzania Maisha ya msanii wa kikongo "Lady Isa" yupo wapi na anafanya nini kwa sasa

    Jamani wakulungwa hatujambo humu! Natumai wote mko powa kabisa, jamani kuna uyu mwanadada anaitwa Lady Isa nakumbuka kuna kibao chake kimoja nilikuwa nakipenda sana kama sikosei ni tamaa iliua fisi, kiukweli nikisikiliza hii Ngoma huwa napata hisia fulani hivi. Hivi uyu mdada kwa sasa yupo wapi...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Kati ya Bank na law firm wapi pazuri kufanya kazi

    Habari viongozi...nilikua naomba ushauri kati ya bank position ya marketting ambayo sijasomea na law firm position ya administrative officer wapi penye manufaa ukifanya kazi interms of career development,financial benefits na potential for growth... NB.Zote nimepewa probation period ya miezi sita
Back
Top Bottom