wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Hawa sijui kama hata wanajua wanapokwenda na wamepanga kwenda wapi

    Wanakoelekea wakiwa peke yao njia imeziba. Hapo chini kuna wanakoelekea wenzao ambako hakuna matumani ndiko wenzao wanakotoka.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Waya wa umeme ukitumbukia baharini, umeme unafika mpaka wapi?

    Eti wakuu, kwa mfano nguzo ya umeme ikianguka (mfano Kigamboni) na waya ukaingia baharini, umeme unaweza ukaleta madhara kwa umbali upi?? Hadi Zanzibar au mpaka Ulaya?? Wataalam wa Electricity mje kutupa elimu huku.
  3. JamiiForums Tanzania Umghaka yuko wapi?

    Kifupi.... Huyu jamaa alikuwa hataki umchoshe wala yeye hakutaka kutuchosha....Huyu jamaa yuko wapi siku hizi!? ...alikuwa anatuburudisha sana stori zake hapa JF... Ni miaka mingi imepita sijamsikia ama kuona stori yake mpya ya 2024 au 2025 hapa....kwani alikua anahadithia kwa kusisimua na...
  4. JamiiForums Tanzania Akamatwa akiiba mkate kanisani (Eucharist), hua inafanyiwa kazi gani hii mikate??

    Wakuu kwema... Labda wenye ujuzi wa mambo ningependa mnijuze hivi kwanini watu wanaiba hii mikate?? Mikate hii inaweza kupatikana madukani mtu ukanunua na kufanyia mambo yako hata kama ni kunywea chai. Lakini kwanini watu hawa hua wanasubiria mikate hii ikishafanyiwa mageuzo na kua Mwili na...
  5. JamiiForums Tanzania Usinyooshe mkono ukiwa hujui wapi Mbingu ilipoanguka

    Nature is always brutal si kwa sababu inachukia, bali kwa kuwa haijifunzi. Maji hayakubali kubebwa, bali hubeba. Mwanga haufuati giza, bali hulivunja. Waliokaa kimya ndani ya kelele wamezoea kutafuna pumzi badala ya mikate. Nguzo za uhai hazisimamishwi na sarafu, bali na kivuli cha dhamira...
  6. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi Ya Wachezaji Wazee Yanga hawaonekani,hivi Wamepotelea Wapi?

    Naomba taarifa za Yao Yao na Mkude, hivi Hawa Watu bado ni Wachezaji Wa Yanga.?
  7. JamiiForums Tanzania Vibe na weekend nambie leo una vibe wapi?

    Leo n weekend nipo Moro town maeneo ya kambalage Nala Bata πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,wewe upo wapπŸ€·πŸ½β€β™‚οΈπŸ˜‚ Anastasia21 Tumwesige senior
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mlisema hakuna wakumzuia Magufuli! Yuko wapi leo? Yatatokea tena na tena tendeni haki!

    Mlisema hakuna wakumzuia Magufuli! Yuko wapi leo? Yatatokea tena na tena tendeni haki!. Tuliwaambia wakati wa Magufuli na tunarudia tena. Kama kweli mnapenda viongozi na Tanzania wekeni mifumo ya haki bila hivyo Mungu atasafisha mwenyewe na kuondoa wale wote wasiopenda kutoa haki. Yule...
  9. JamiiForums Tanzania Gesi ya Mtwara inatumika wapi?

    Watu walipigwa huko mtwara kuhakikisha gesi inakuja dar, hata baada ya hapo 1. Umeme ulikua bado unasumbua 2. Bei ya gas majumbani haijashuka 3. Na bei ya umeme haijashuka, hata baada ya bwawa la Rufiji nalo kukamilika,. Anaenufaika na hii gesi ni nani?
  10. JamiiForums Tanzania Wapi Kilipo Kiwanda Cha Kutengeneza Vocha Hapa Tanzania?

    Najaribu Kuuliza Kwa Hapa Tanzania Niwapi Kilipo Kiwanda Cha Kutengeneza Vocha Ambazo Zinatumika Kwenye Mitandao ya Simu Asante
  11. JamiiForums Tanzania Huyu jamaa yuko Wapi!? Sasa hivi angepiga hela

    Na huenda angefanikiwa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚βœοΈβœοΈβœοΈ
  12. JamiiForums Tanzania KERO Responded Posta ya Dar kuna chemba zinatiririsha maji taka barabarani, Mamlaka hazijaona, mbona zipo kimya?

    Eneo la Posta barabara inayotokea kwenye Kanisa la KKKT kuelekea Karemjee kuna chemba zimepasuka zinatiririsha maji taka, hali ni mbaya hasa kwa watembea kwa miguu. Tunaomba mamlaka zitafute suluhu ya hii changamoto, njia nzima imejaa maji taka hali ambayo inaleta kero na hofu ya Watu kupata...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Bingwa wa kulike kapotelea wapi?

    Wana JF,kuuliza si kosa,kuna huyu jamaa,hana baya na mtu si mwingine ni mwenzetu Rarara rerere,Sijaziona like zake kitambo! Ni hayo tuu wenzangu.
  14. U

    JamiiForums Tanzania Mama Tanzania! Nduguzo wa wapi?

    Wewe ni nani? Ni Nini Mama Tanzania We ni wapi ni yupi Maji na bahari,maji baridi Kwenu ni wapi asili ni ipi Iwe karibu nyumbani Kilimanjaro,Dunia juu zaidi Watoto wako ni wapi Wavivu? Walegevu? Wenye fikra?wasubirivu? Mbaya wako ni yupi? Kwa Baba mtoto hukua? Wanaume.ni wapi? Ushajaa ni upi...
  15. JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya , Ofisi ya CAG, Tuelezeni Ukweli kuhusu NHIF, hii FAIDA ya NHIF imetokea wapi? CCM mpaka lini mtaendelea kua Waongo??.

    Mods msiunganishe Uzi Huu, lengo ni Wahusika wake na majibu !! Hili ni Bandiko la MwanaJF Megalodon ambalo wengine hatukuliona hili mapema !!. Ni Ukweli ulio Wazi, Kwa miaka mitatu mfululizo ya nyuma , kote Report ya CAG ilionyesha NHIF imepata Hasara kubwa. Mwaka 2023 ,Hasira ilikua Kubwa...
  16. Y

    JamiiForums Tanzania Wapi napata chemical bukoba

    Habari walee wanaoifahamu bukoba wapi naweza nikapata duka linalouza chemical bukoba
  17. JamiiForums Tanzania Yupo wapi James Mbatia ukimya wake unaleta sintofahamu

    Kwa sisi tunaomjua mbatia ni mwanasiasa Nguli na anapenda sana haki, mbona yupo kimya sana na haonekani kwenye media. Tulitarajia hili suala la Bandari na bajeti ya kipumbavu iliyopitishwa bungeni na wasiojitambua angekuwa kawapa vidonge vyao ila no any information about him Je, yu Wapi Mbatia...
  18. JamiiForums Tanzania Picha: Hapa ni wapi?

    Hapa ni wapi? Ile milima kwenye background ni wapi?
  19. V

    JamiiForums Tanzania Hasara kila kona, Tunaelekea wapi

    Mdhibiti mkuu wa mapato na matumizi wa serikali yetu ya Tanzania ameyataja mashirika yetu makubwa ya serikali jina yanavyojiendesha kwa harasa , kuanzia ATCL mpaka Tanesco. . Kwa kufanya kwa biashara kwa hasara ina maana kipato kwa serikali kinapungua au kinakosekana kabisa hivyo kuathiri deni...
  20. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hukumu ya ally kamwe iliishia wapi?

    Ndugu zangu kuuliza sio ujinga. Ally kamwe si alifungiwa kujihusisha na mpira kwa miaka miwili? Imekuwaje anaendelea kujihusisha na mpira hadi hili sakata la tabora limetokea nimeshangaa sana kuwa bado ni msemaji wa yanga mbona manara alipofungiwa aliachia ngazi?.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…