We mtu hatujafahamiana vyema
Siku moja tu ndani ya masaa 5 unaomba Hela, buku tano ?
Sio kwamba hatuna pesa, ila hizi tabia dadeq , tunawaona matapeli nyinyi.
Basi angalau vuta time kidogo wengine tuna goals juu yenu ila mnakuwa wehu
Ni umasikini au?