Alijua haina risasi ndio maana alikubali kupigaTukutane kwenye commentsView attachment 3572855
Alijua atapigwa tu na wale majambazi , pengine majambazi wangempiga nyingi akaona bora yeye mke atampigaa kwa hurumaTukutane kwenye commentsView attachment 3572855
Alimradi wanahisi wewe ni wa Kiume inatosha sana kuwa kaka yao!Kwani wanaujua umri wanguš
Shebela mimi sio kaka yenu nikija PM usinipe shikamoo kakaAlimradi wanahisi wewe ni wa Kiume inatosha sana kuwa kaka yao!
Kinakuacha unajichetua, unajikomba na kujimaliza kwa kila namna halafu mwishowe kinakuambia eti "mi nakuchukulia kama kaka yangu"Nikaambiwa ujue tunakuchukulia kama kaka yetu!
Kwahiyo.. Yaani mimi NI KAMA KAKA YAO..! Lakini sio kaka yao maana hatunq hata vinasaba vya DNAš
Sasa Kwann mke au mume asingewanyooshea hao majambazi na kujaribu kuwapiga?Tukutane kwenye commentsView attachment 3572855
DuuhMi nakuona kama mjomba angu kabisa