comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,667
- 12,052
Yani jana Kuna dogo nimemnunua hapo mjini moshi ni majanga.
Yani mikosi haiishi nimechukua majanga matupu, kupoteza vitu, bahati imekua mbaya sana, mpaka sasa ni hasara tuu, Kila nitakachogusa kinakua kibaya, mpaka sasa nshakula hasara ya 300k.
Au yule sio mtu lilikua jini nini.
Yani sijawah kulala na mwanamke mwenye mikosi kamayule.
Ile ni laana.
Sasahivi nabak na makoloni yangu yaleyale.
Nikizidiwa Sana nitapanda mnazi kwa mkono mmoja.
Yani mikosi haiishi nimechukua majanga matupu, kupoteza vitu, bahati imekua mbaya sana, mpaka sasa ni hasara tuu, Kila nitakachogusa kinakua kibaya, mpaka sasa nshakula hasara ya 300k.
Au yule sio mtu lilikua jini nini.
Yani sijawah kulala na mwanamke mwenye mikosi kamayule.
Ile ni laana.
Sasahivi nabak na makoloni yangu yaleyale.
Nikizidiwa Sana nitapanda mnazi kwa mkono mmoja.