wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. akatiwanya

    Kwa nini wanawake wa sikuizi hawaogopi madeni!?

    Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu hawa wanawake wa siku hizi sipati majibu kwa nini wamekuwa wakorofi wa kutupwa hasa linapokuja suala la hela, Kuna malalamiko mengi uko mitaani yanayowahusu hakina dada na hakina mama wakilalamikiwa kutolipa madeni yanayotokana na haidha kukopeshwa hela...
  2. Komeo Lachuma

    Mwanamke akikupenda akiwa na hisia au hata asipokupenda ukamwandaa, Inaitika nakwambia

    Kuna mtu nlimsikia anasema siku moja alikuwa na demu wake akasahau mafuta ya nazi. Alitumia mate mpaka yakakauka. Nikajiuliza why atumie mate au mafuta ya nazi? Mwanamke akikupenda akiwa na hisia au hata asipokupenda ukamwandaa vizuri ukakiita kipapiro/papuchi. Inaitika. Nakwambia... Unaiandaa...
  3. W

    kumbe wasukuma wa vijijini huvaa sketi kuvutia wanawake ?

    Si Wasukuma wote huvaa vazi hili, lakini limezoeleka sana kwa wachungaji wa ng’ombe porini na vijijini.
  4. Dogoli kinyamkela

    Wanaume, Acha Kutembelea Wapenzi Wanaokulemea!Kama unataka uhusiano wenye mafanikio na amani, ni muhimu kuepuka wanawake ambao wanakuleta mzigo

    Wanaume, Acha Kutembelea Wapenzi Wanaokulemea! Kama unataka uhusiano wenye mafanikio na amani, ni muhimu kuepuka wanawake ambao wanakuleta mzigo wa ziada badala ya kukuinua. Hapa kuna alama za mwanamke anayeweza kuwa mzigo (liability) kwako: 1. Mwanamke Asiyekuwa na Pesa za Usafiri Anadai...
  5. babukijana

    Mabinti, wakwe. Wanawake.

    Hivi huwa mna matatizo gani? Hili haliusiani na siasa tafadhali sana. Hapa ilipoandikwa tuende hapo. Wewe binti leo umekua vimaziwa hivyo Mabazazi wananyonya. Wewe binti umezaliwa baba yuko wapi "mamaa oooh: Aliimba dr remmy Wema ku**nyoooko.. Haya kwenye majukumu tupeane tu jinsi ya kupiga...
  6. Uwesutanzania

    Wanawake poleni sana

    Nimejaribu kuwaza kama ingekuwa sisi wanaume ndio tunatolewa barua na ndio ingekuwa tunatongozwa, Afu ukute ni msichana fulani hivi mrefu si mrefu mfupi si mfupi yaani haeleweki afu ndio anakuja kwenu kuleta barua, Nimejaribu kufikiria ni msichana fulani hivi jirani yetu hapa ambaye kiufupi...
  7. R

    PreGE2025 Mwenyekiti wa ngome ya Wanawake ACT Janeth Ritte atoa wito kwa wanawake kuungana kuitoa CCM Madarakani

    Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa ACT Wazalendo Janeth Ritte ametoa wito kwa wanawake kuungana na chama cha ACT Wazalendo ili kuitoa CCM madarakani kwa kile alichodai kuwa baadhi ya matukio yanayotokea nchini yanawaathiri wanawake ikiwemo kupotea kwa watoto " Wanawake amabao ndio wenye...
  8. Dr. Mariposa

    Dodoma wanawake wamejazia kiunoni kushuka chini na hamkuwahi kusema!!!

    Guys nipo Dodoma kwa muda, sasa jana nikapata wasaa wa kutembea tembea mitaani nijionee mji/jiji, basi nikawa napita chocho kwa chocho, mtaa kwa mtaa kila mwanamke ninayemuona kajazia makalio na miguu, nikadhani labda hawa vijana wamevaa vigodoro nikaanza kuwaangalia wanawake watu wazima hao...
  9. Fbn

    Vanvera: Kifaa cha Karne ya 19 Kilichowawezesha Wanawake Kuficha Gesi(ushuzi) kwa Umaridadi

    Katika karne ya 19, kulikuwa na kifaa cha kipekee kilichoundwa mahsusi kuwasaidia wanawake kushughulikia matatizo ya gesi tumboni—bila aibu wala kusumbua waliokuwa karibu nao. Kifaa hiki kiliitwa Vanvera. Vanvera ilikuwa kama pedi au kisahani kidogo kilichotengenezwa kwa vifaa vilivyoweza...
  10. Its Pancho

    Kwa upande wa Rhumba na zouk kwa wanawake na wanaume kuna wa kumfikia oliver Ngoma???

    I salute you kinsmen. Mimi sio kijana wa zamani kwamba najua nyimbo za zamani hasa hizo rhumba sijui zouk ila nikiri nilizipenda nyimbo hizi kutoka kwa mzee wangu ambaye alikuwa anazipenda sana . Sasa nimefuatilia sana nikaja kugundua huyu bwana Oliver Ngoma hakuna mpaka ambaye atavunja...
  11. Waufukweni

    Baraza la Wazazi CCM, Kahama: Midoli inadhalilisha Wanawake, inachochea mmonyoko wa maadili katika Jamii

    Baraza la Wazazi la Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limeishauri Serikali kutoa mwongozo wa namna bora ya matangazo ya biashara za nguo za ndani za wanawake kwa kutumia midoli ambayo imetajwa kuchochea mmonyoko wa maadili katika Jamii. Ushauri huo umetolewa na Baadhi...
  12. DuaZaMama

    Viongozi wa Dini wanawake mbona hamsemi kuhusu hali ya siasa nchini

    ===== Wakuu viongozi wetu wa Dini wamekuwa wakizungumzia hali ya siasa nchini lakini ni hawa viongozi wa jinsia ya Wanaume (ME). Wamekuwa wakiikosoa serikali na kuitaka kuwasikiliza wananchi juu ya mabadiliko hawa akina Gwajima wasema mengi kuhusu utekaji sasa vipi kuhusu viongozi wa dini...
  13. Mshana Jr

    Misuko ya kisasa kwa wanawake tuu

  14. BigTall

    PreGE2025 'Siasa chafu' kikwazo kwa Wanawake na Vijana kushiriki Siasa zenye tija, hujenga hofu na 'kuchochea uchawa'

    Tanzania ina idadi kubwa ya vijana na wanawake. Kwa mantiki hiyo, makundi haya yanapaswa kuwa na nafasi kubwa katika maamuzi ya kisiasa, hata hivyo hali ya sasa inaonesha kuwa ushiriki wao bado ni mdogo, hasa katika nafasi za juu za uongozi na kisera. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya...
  15. W

    Israel inatumia marubani wa kike kuishambulia Iran, wanawake wakipewa nafasi nao wanaweza !

    Kwa mara ya kwanza Jeshi la Israel walijaribu kutumia marubani wa kike 26 October 2024, waliweza kushambulia kambi ya jeshi la iran, kuua askari wanne na kuharibu mifumo ya ulinzi iliyojaribu kuwazuia , waliweza kufika Tehran kupiga doria na kurudi salama Israel. Round hii wameenda wengi zaidi...
  16. H

    Wadau wakutana kujadili suala la ukatili wa kijinsia kwa wanawake wanasiasa

    Na Mwandishi wa Habari Hub Zanzibar, Juni 12, 2025 Katika juhudi za kukuza ushiriki wa wanawake katika siasa na demokrasia, Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA-Zanzibar) kimeandaa kikao kazi cha siku mbili kilichowakutanisha wadau kutoka taasisi 15 zisizo za kiserikali...
  17. Equation x

    Mahusiano ya kuwa na wanawake wengi na uchumi

    Nimejaribu kuwaza sana, baada ya kuwa na watoto kadhaa kwa hizi pisi kali zangu. Nikaona njia ya kuwaweka pamoja leo na kesho ni kuwashirikisha katika kutekeleza mawazo yangu kibiashara, ili wao na watoto wao waweze kupata chochote pamoja na kujivunia kuwa na mwanaume mwenye upeo wa kuona...
  18. S

    Swali kwa wanawake wa JamiiForums?

    Habari zenu wanawake na warembo wa jamiiforums? Swali kwenu " Kwanini hampendi kuwa kwenye mahusiano na wanaume wafupi"? Je, shida yao kuu ni nini? nipo kwenye utafiti fulani, naombeni maoni yenu.
  19. Smile Digital Stationery

    Ila kuna wanawake wamekubuhu

    Helo wana JF, Hello wana NRNE Tuchangamshe genge kidgo wakati tukiendelea na nyundo za ugoko ya #NOREFORMSNOELECTION *** Kuna tukio nilishawahi kulishuhudia ktk nyumba nilokuwa nimepanga miaka ya nyuma kidogo, kiukweli jambo lile sikulichukulia ktk hali ya kumchukia Stering, ila nilijifunza...
Back
Top Bottom