Msemo wa "ameingia cha kike" itakua unawahusu Sana wanaume kuingia cha "kike" kuliko wanawake kuingia cha kike.
Utafiti nilifanya, nimegundua, huko wanakoingia ni CHOONI.
Sasa sijajua iwapo mwanaume ataingia cha kike, atashindwaje kukojoa, nilidhani mwanamke akiingia cha kiume, atashindwa...