wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Fbn

    Hivi kwa nini wanawake warembo wengi ukimuuliza nikufungulie biashara gani lazima katika biashara hizi 4 ukosi kuambiwa moja wapo

    Sijawahi kusikia mwanamke mrembo kusikia akiniambia kuwa anapenda kufunguliwa duka la vifaa vya ujenzi zaidi ya kuambiwa 1.duka la nguo. 2.duka la kuuza vipodozi. 3.Mini pub. 4.Saloon. Huu ni utafiti nikiwa kwenye usumbufu wa michepuko.
  2. Think2

    Hizi tabia za wanawake za Kizaramo ni za kweli?

    Wanajipendezesha sana nje, lakini ndani ni wachafu. Si ajabu kuvaa nguo mpya kama dela wakati hata kuoga hajaoga. Na sehemu anayolala inaweza kuwa chafu kabisa. Wana midomo sana. Hata ukiwamsha usiku wa manane, bado wako tayari kukuhoji na kukuchambua. Wanapenda sana muziki wa asili, hasa...
  3. M

    Wanawake wengi wenu mkishapewa barua za uthibitisho mnabadilika kabisa

    Picha linaanza mnapokuwa kwenye mahusiano mnakuwa na adabu, utii na usikivu Mnafichaga rangi zenu halisi mna pretend sana Mwanamke atajishusha sana, kupokea cm Kwa wakati, mesej zinajibiwa Kwa wakati na akichelewa kujibu mesej au asipopokea cm ataandika essay kuelezea hali halisi mpka...
  4. kyagata

    Ni wanawake au wanaume wa kabila gani ambao umewahi kukutana nao kimwili kwa wingi?

    Bila kuwapotezea muda na mambo ya salamu. Nitaanza mimi. Wanawake na makabila yao niliyowahi kuwala ni kama ifuatavyo Wakinga 15 Wapare 12 Wanyakyusa 10 Wachaga 09 Wahaya 06 Wasukuma 05 Wahehe 04 Wabena 04 Wanyamwezi 02 Wameru 01 Wagogo 01 Wangoni 01 Mkenya 01 Mzungu 01 Mwarabu 01 Mzambia 01
  5. Think2

    Wanawake wa kikurya ni nomaa

    Wewe kama ni kabila tofauti na wakurya sikushauri uoe mwanamke wa kikurya sababu ni hizi ◇ wengi wao ni wababe sana ugomvi hauwezi kuisha ◇ kwenye kupigana jitahidi visu mapanga unaweka mbali 😁 ◇ mwanamke wa kikurya humpigi bali mnapigana ◇ Wanaviburi vya asili sana ◇ ugomvi kidogo wanakimbilia...
  6. Think2

    Desturi za wasukuma

    ◇Mwanaume wa kisukuma ni ngumu kutangulizana na mkewe either mmoja aanze kutoka mwingine aje kwa nyuma ala kuondoka kwa pamoja hio sahau ◇ Ukienda usukumani chakula kizuri kama nyama ya kuku, mapaja na viongo vingine vitamu hupelekwa kwa wanaume ◇ wanaume kula na wanawake ni marufuku. Wanawake...
  7. Allen Kilewella

    Huyu Binti Kwa kusema hivi anaweza kukamatwa?

    Nimejiuliza kama maneno ya huyu Binti yanaweza kumweka matatani hata kukamatwa? Huyu hapa.
  8. CM 1774858

    RECORD MAJAJI WANAWAKE: Kati ya majaji 83 aliowateua Rais Samia tangu aingie madarakani mwaka 2021 Asilimia 41% au 35 ni wanawake ilikufikia 50|50

    Katika azma ya kuifanya Tanzania kinara wa kupunguza pengo la uwiano wa kijinsia kuelekea dira 2050, Rais Smia ameteua ya Majaji 35 wanawake 41%. Uwiano wa kijinsia ni moja ya shabaha ya msingi inayopewa kipaumbele mahususi na Dira2050 ambapo Tanzania inalenga kuwa kinara barani Afrika na...
  9. Mindyou

    Kwanini darasani hatujafundishwa kuhusu wanawake hawa walioshiriki kupigania Uhuru wa Tanganyika?

    Wakuu, Nimekutana na picha hii na nimepata maswali sana. Hawa ni wajumbe wa tawi la wanawake la TANU wakiagana na Mwalimu Nyerere usiku wa kuamkia safari yake ya Umoja wa Mataifa mwaka 1955 Kutoka kulia: Bi. Chiku bint Said Kisusa, maarufu Mama Sakina, Bi. Titi Mohamed, kushoto wa kwanza ni...
  10. Powell Gonzalez

    Lazima nioe wanawake wawili

    Mimi, Powell Gonzalez lazima nioe wanawake wawili. Wa kwanza atakuwa mtu wa kabila au asili yoyote lakini wa pili lazima awe anatokea Ujerumani. Namaanisha 'A German girl', elewa neno 'German girl' usikurupuke.
  11. BarakaMkekusi

    Sababu inayofanya wanawake wasikupende

    https://youtu.be/FvGS_o-ERdw?si=s75p6yIZTv9iyq2X Huu ni ukweli mchungu
  12. Komeo Lachuma

    Asilimia 95 na zaidi ya Wanawake wa sasa wanalichukia hili Tangazo

    Anachosema huyu mtangazaji wa hili Tangazo ni cha kweli kabisa kwa asilimia 95 na zaidi. Hizi issues zipo ila sijui kama zina dawa. Dawa nzuri ilikuwa ni kwa mwanamke kutulia tu. Wala asiwe na mambo mengi na kuhangaika.
  13. Hamissi Hamza Jr

    Gentlemen commandments//the art of winning women psychology

    1.Kama Una Mwanamke Unaempenda Usimuoneshe Kama Unampenda Sana au una muhitaji Sana 2.Ukitaka Mawasiliano naye Mpe Namba yako usichukue yake". Kukiwa na Mazingira complicated ya kukulazimisha kuchukua yake Ukichukua Pitisha siku tatu au week ndio umtafute 3.Ukimproach Mwanamke akikutaa...
  14. R

    Wanandoa wa Los Angeles wakamatwa kwa Tuhuma za Kudanganya Wanawake wabeba mimba kwa niaba, Watoto 21 wachukuliwa na Serikali

    Watoto ishirini na moja wako chini ya uangalizi wa shirika la ustawi wa watoto nchini Marekani (California), wakati mamlaka zikichunguza wanandoa kutoka eneo la Los Angeles kuhusu tuhuma za kuwadanganya wanawake wabeba mimba kwa niaba (surrogate mothers) kutoka maeneo mbalimbali nchini Watoto...
  15. BabaMorgan

    The pain ya kusingiziwa mtoto wanawake acheni huu unyama

    Nikiwa kama victim wa kusingiziwa mtoto ambaye kwa mazingira asilimia mia moja sio wa kwangu nawaombeni sana dada zetu kuacha huu unyama.
  16. R

    Bilioni 82 zimetumika kwa ajili ya mikopo kwa wanawake, watoto na wenye ulemavu

    Zaidi ya Tsh. Bilioni 82 zimetumika kwa ajili ya mikopo ya asilimia kumi ya Wanawake, watoto na wenye ulemavu Rais Samia anaingia madarakani mwaka 2021, mikopo ya 10% iliyotolewa na halmashauri zote nchini ilikuwa ni Bilioni 22.3 ambayo vikundi vya wanawake walipata 4%, vijana 4% na watu wenye...
  17. The redemeer

    Kwanini baadhi ya wanawake huwa katili na wenye roho mbaya?

    Swali lako linaeleza hali unayoiona kwenye jamii, lakini ili kulijibu kwa haki na kwa undani, hebu tuchambue kiukweli: ✅ 1. Si wanawake wote Kwanza, kumbuka si wanawake wote wana roho mbaya au ukatili. Kuna wanaume wenye roho mbaya pia. Tabia mbaya haibagui jinsia, bali: ✅ 2. Chanzo ni malezi...
  18. Mstahiki Mea

    Ndoa ya wanawake Wengi Ruksa Uganda

    🇺🇬Wanaume nchini Uganda sasa wanaweza kuoa wake wengi kisheria, Mahakama ya Katiba imeamua. ✍Uamuzi huo umekuja baada ya Chama cha Wanawake Wanasheria (WPI) kupinga mila hiyo ya wanaume kuoa zaidi ya mwanamke mmoja. Kundi hilo la watetezi lilisema kuwa mitala inadhalilisha, inadhuru, na...
  19. Manyanza

    Kwanini baadhi ya Wanawake huwaumiza zaidi Wanaume wanaowapenda kwa dhati?

    Hili ni swali zito na lenye uchungu, ambalo wanaume wengi wamewahi kujiuliza baada ya kuupenda kwa dhati na kuumizwa vibaya. Hebu tulichambue kwa uhalisia na kwa undani. Kwanza, swali hili si kuhusu wanawake wote, bali linahusu mwenendo fulani katika uhusiano maalum. Kwa hiyo: Kwa nini baadhi...
Back
Top Bottom